Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola yatishia W. Afrika

Mawaziri wa afya 11 kutoka nchi za Afrika magharibi wanakutana Ghana,kutafuta mkakati wa kudhibiti kuenea kwa Ebola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ebola yatishia utaifa wa Liberia

Liberia inakabiliwa na tisho kubwa kwa utaifa wake huku janga la Ebola likiendelea kuenea kwa kasi kubwa nchini humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mfuko wa Ebola waahidiwa Afrika

Makampuni na wafanyabiashara waahidi kusaidia nchi zilizoathirika na Ebola

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola kutokomezwa Afrika magharibi

Nchi za Afrika magharibi zimekubaliana kuweka mikakati ya pamoja kupambana na ugonjwa wa Ebola

 

11 years ago

Mwananchi

Ugonjwa wa ebola unavyoitikisa Afrika

Wakati wakuu wa mataifa ya Guinea, Sierra Leone na Liberia wanakutana kwenye mji mkuu wa Guinea, Conakry kwa ajili ya kungalia jinsi gani ya kupambana na ugonjwa wa ebola, Shirika la Afya Dunia (WHO), limetangaza kutoa Dola za Kimarekani 100 milioni ili kukabiliana na janga hili ambalo hadi sasa limegharimu maisha ya Waafrika zaidi ya 730. 

 

11 years ago

BBCSwahili

Ebola yatikisa Afrika Magharibi

Homa ya Ebola wakati huu inasemekana kuwa kali zaidi kuliko wakati mwingine wowote

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Ebola imeleta changamoto ya kifedha Afrika’

BAADA ya kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola, imeelezwa kuwa dunia itayumba kiuchumi kutokana na kushindwa kuendesha shughuli za kibiashara kutoka nchi moja hadi nyingine. Akizungumza katika mahafali Chuo cha Fedha...

 

10 years ago

Michuzi

Afrika Isinyanyapaliwe kwa sababu ya Ebola - JK

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia Baraza Kuu la 69 la Umoja wa Mataifa siku  ya Alhamisi ambapo pamoja na  masuala mengine alitoa wito kwa Jumuiya ya Kimataifa wa    kutoinyanyapa Afrika    kwa sababu ya Ebola na kusisitiza kuwa Afrika ni  Bara la lenye nchi 53 na  kwamba si   nchi zote zenye Ebola kauli iliyopigiwa makofi na wajumbe wa Baraza Kuu la 69 waliokuwa wakimsikiliza ikiwa ni  ishara ya kuunga mkono kauli yake.
Na Mwandishi Maalum, 
New ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola: Hofu yatanda Afrika Mashariki

Mataifa ya Afrika Mashariki sasa yanapanga mikakati ya kuzuia Ebola kuenea katika ukanda huu baada ya Ebola kuzuka DR Congo.

 

10 years ago

Habarileo

Watanzania 5 kutibu ebola Afrika Magharibi

MADAKTARI watano wa afya wamejitolea kwenda kutoa huduma katika baadhi ya nchi za Afrika Magharibi zilizoathiriwa na ugonjwa wa ebola. Wataalamu hao walioondoka jana, baadhi yao walizungumza na waandishi wa habari katika mkutano kati ya Mganga Mkuu wa Serikali, Dk Donan Mmbando na vyombo vya habari.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani