Ugonjwa wa ebola unavyoitikisa Afrika
Wakati wakuu wa mataifa ya Guinea, Sierra Leone na Liberia wanakutana kwenye mji mkuu wa Guinea, Conakry kwa ajili ya kungalia jinsi gani ya kupambana na ugonjwa wa ebola, Shirika la Afya Dunia (WHO), limetangaza kutoa Dola za Kimarekani 100 milioni ili kukabiliana na janga hili ambalo hadi sasa limegharimu maisha ya Waafrika zaidi ya 730.Â
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi29 Jan
‘Ugonjwa wa ebola umeonyesha udhaifu mkubwa nchi za Afrika’
11 years ago
Michuzi
Afrika ni salama pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola — Rais Kikwete


10 years ago
CloudsFM01 Dec
DIAMOND AUNGANA NA WASANII BARANI AFRIKA KUREKODI WIMBO WA KUPINGA UGONJWA WA EBOLA
Diamond Platnumz ni miongoni mwa wasanii wa Afrika watakaosikika kwenye wimbo wa pamoja wa kampeni ya kupinga ugonjwa wa Ebola ‘Africa Against Ebola’ wasanii walioshiriki katika kampeni hiyo akiwemo, Iyanya, Donald,Banky W,Kcee,Mafikizolo,Sean Tizzle na wengineo.
11 years ago
Michuzi21 Sep
11 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
TISHIO UGONJWA WA EBOLA
Kikosi kazi chaanza mafunzo maalumu
NA WAANDISHI WETUMIKAKATI ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola inazidi kushika kasi, ambapo serikali imetoa mafunzo kwa mamia ya watumishi wa afya watakaokwenda kuhudumia abiria wanaoingia na kutoka nje ya nchi.Pia vifaa ya kudhibiti ugonjwa huo vinatarajiwa kuingia nchini muda wowote, ikiwemo mashine maalumu za kutambua virusi vya Ebola ndani ya mwili, hata kama aliyeambukizwa bado hajaanza kuonyesha dalili.Kwa upande wa mafunzo, ambayo yameanza kutolewa...
11 years ago
Mwananchi24 Aug
Mungu inusuru Tanzania na ugonjwa wa ebola
11 years ago
BBCSwahili06 Sep
Ebola:Damu ya waliopona kutibu ugonjwa
11 years ago
BBCSwahili21 Jun
MSF;Ugonjwa wa Ebola haudhibitiki tena
11 years ago
Vijimambo26 Oct