Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ebola imeleta changamoto ya kifedha Afrika’

BAADA ya kuzuka kwa ugonjwa wa Ebola, imeelezwa kuwa dunia itayumba kiuchumi kutokana na kushindwa kuendesha shughuli za kibiashara kutoka nchi moja hadi nyingine. Akizungumza katika mahafali Chuo cha Fedha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Changamoto zilizopo Afrika

Ni namna gani mataifa ya Afrika yamejiandaa na mlipuko wa ugonjwa wa corona.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Manufaa, changamoto za Soko la Pamoja Afrika Mashariki

JULAI Mosi, mwaka 2010 Mataifa ya Afrika Mashariki  yalikubaliana kuanzishwa kwa Soko la pamoja la Afrika Mashariki  baada ya wakuu wa nchi hizo wanachama; Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi...

 

10 years ago

Michuzi

LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA - ZUMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma makabrasha ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU unaofanyika kwa siku mbili jijini Addis Ababa kuanzia leo. Nyuma ya Mhe. Rais ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb). Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Sophia Simba (Mb) na Balozi wa Tanznia nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz (mwenye ushungi).
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Changamoto za gharama ya intaneti barani Afrika

Fahamu changamoto za kimtandao kipindi hiki cha corona barani Afrika

 

10 years ago

Vijimambo

LICHA YA CHANGAMOTO NYINGI BARA LA AFRIKA LINAPIGA HATUA, ZUMA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akisoma makabrasha ya Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa AU unaofanyika kwa siku mbili jijini Addis Ababa kuanzia leo. Nyuma ya Mhe. Rais ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb). Waziri wa Jinsia na Maendeleo ya Jamii, Mhe. Sophia Simba (Mb) na Balozi wa Tanznia nchini Ethiopia, Mhe. Naimi Aziz (mwenye ushungi).
Na Ally Kondo, Addis AbabaWakuu wa Nchi za Afrika wamekumbushwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Sauti za Busara 2014: Tamasha kubwa Afrika lenye changamoto lukuki

>Unapozungumzia tamasha la Sauti za Busara, unazungumzia tamasha la Bara la Afrika na dunia nzima. Maana yake ni tamasha linalokusanya maelfu ya wageni wanaolishuhudia kila mwaka.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Changamoto za wanakijiji Afrika Kusini wanaokabilwa na maambukizi

Kijiji kimoja Afrika kusini chajitahidi kukabiliana na corona licha ya umaskini

 

10 years ago

Dewji Blog

Tanzania yashiriki mkutano wa kujadili changamoto za maendeleo Afrika mjini Abijah-Ivory Coast

IMG_8637

Gavana wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Katika Benki ya Maendeleo ya Afrika, Dkt. Servicus B.Likwelile ambaye pia ni Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mlipaji Mkuu wa Serikali akisikiliza majadiliano kwenye kikao cha magava wa nchi za Afrika wakati wa kujadili masuala mbalimbali ya maendeleo Mjini Abijah-Ivory.

IMG_8630

Rais wa Benki wa Maendeleo ya Afrika (AfDB) Dkt. Donald Kaberuka akiwa kwenye kikao na Magavana wa Afrika wakijadiliana changamoto mbalimbali za maendeleo zilizojitoketeza katika...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri wa Fedha Tanzania na ujumbe wake wakutana na MD wa Afrika Group na uongozi wa mfuko Changamoto za Milenia

DSC_5293

Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati  akiandika maelezo na hoja kutoka Mkurugenzi Mtendaji wa kundi la Afrika ( Afrika Group 1 Constituency)Bi.Chileshe Mpundu Kapwepwe(hayupo kwenye picha). kutoka kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha  na Mlipaji Mkuu wa Serikali  Dr. Servacius Likwelile na kutoka kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya fedha Zanzibar Bw. Khamis Mussa na akifuatiwa  na Gavana msaidizi wa Benki kuu ya Tanzania  Bi. Natu Mwamba.

DSC_5299

Waziri wa Fedha  Mhe. Saada Salum...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani