Video- Al shabab waua watu 15 Mogadishu
Utawala nchini Somalia unasema kuwa takriban watu 15 wameuwa wanamgambo waliposhambulia hoteli moja mjini Mogadishu
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBC![](http://c.files.bbci.co.uk/741E/production/_83762792_81128360.jpg)
Al-Shabab launch Mogadishu attack
Somali jihadist group al-Shabab launches a major attack on an intelligence headquarters in the capital Mogadishu.
9 years ago
BBCSwahili27 Dec
Al shabab waua polisi 2 Kenya
Maafisa 2 wa polisi wa Kenya wameuawa katika shambulizi la wapiganaji kutoka kundi la Kiislamu al-Shabab kutoka Somalia.
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Mlipuko wawaua watu 12 Mogadishu
Mlipuaji wa kujitolea muhanga ameligongesha gari lake na lile la kijeshi katika mji mkuu wa Somalia Mogadishu na kusababisha mlipuko mkubwa.
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Watu kadha wauawa shambulio Mogadishu
Watu kadha wameuawa kwenye shambulio la bomu na risasi mjini Mogadishu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/L5FNdOkpk1Y*ZL3cxWNNeTAO70hI-4e3d4gTcgMbzjMScYzLvaAhS4MtZ7ZyMyG7CjxMkwDX6vp33W*NYBj4MgD3ZyeLuboZ/somalia_hotel_attack.jpg?width=650)
SOMALIA: AL SHABAAB YASHAMBULIA NA KUUA WATU 9 MOGADISHU
Maofisa wa Polisi nchini Somalia wakiingia ndani ya jengo lililovamiwa na Al Shabaab ili kukabiliana nao. Watu 9 wameripotiwa kuuawa katika jengo ya Wizara ya Elimu mjini Mogadishu, Somalia. Vyombo vya habari mjini Mogadishu vimeripoti kuwa wavamizi hao walilipua bomu lililotegwa ndani ya gari kwenye ukuta wa jengo la waizara ya elimu nchini humo. Kabla ya wavamizi kadhaa kuingia ndani ya jengo walianza kwa  kupiga risasi za...
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
Magaidi waua watu 6 Kenya
Polisi mjini Nairobi Kenya wamedhibitisha watu 6 wameauawa baada ya shambulizi la kigaidi katika mtaa wa Eastleigh
9 years ago
BBCSwahili18 Aug
Mlipuko wa kipindupindu waua watu 3 TZ
Watu 3 wameaga dunia na wengine 30 wamelazwa hospitalini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu mjini Dar es salaam.
11 years ago
BBCSwahili04 Mar
Wapiganaji waua watu 29 Borno
Kundi la wapiganaji waisilamu limewaua takriban watu 29 katika mji mmoja Kaskazini Mashariki mwa Nigeria, jimbo la Borno.
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Mlipuko waua watu 27 Uturuki
Watu 27 wameuawa na 100 kujeruhiwa katika shambulizi la bomu lililotokea muda mchache uliopita katika mji wa Uturuki wa Suruc.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania