Fastjet yabeba abiria zaidi ya 30,000 kwa mwezi
KAMPUNI ya ndege ya Fastjet imesema Desemba mwaka jana ilibeba abiria 37,458, ikiwa ni idadi kubwa kwa mwezi mmoja, hivyo kwa mwaka huu imeazimia kuendelea kutoa huduma bora. Akizungumza na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog07 Dec
Usalama ni muhimu zaidi kwa Fastjet!
Ndege ya Fastjet FJA FN141 inayofanya safari kati ya Dar es Salaam na Mwanza, ikiwa imebeba abiria 142 iliruka kutoka airport ya kimataifa ya Julius Nyerere mida ya takribani saa 12:49 asubuhi siku ya Alhamisi ya tarehe 4 Disemba 2014.Muda mfupi baada ya ndege kuruka chombo hicho kilikumbana na ndege aliyekuwa akiruka. Kama sehemu ya maangalizi rubani wa ndege hiyo aliamua kugeuza safari na kurudi katika uwanja wa Julius Nyerere, Dar es Salaam.
Ndege ilitua salama bila kashikashi zozote...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Mbunge aambulia mshahara 50,000/-Â kwa mwezi
WAKATI baadhi ya watu wakiamini wabunge hulipwa zaidi ya sh milioni 10 kwa mwezi, mmoja wa wabunge wa Bunge la Muungano, amejikuta akitoka na mshahara wa sh 50,000 kwa mwezi,...
10 years ago
Dewji Blog13 Jan
Fastjet yasafirisha abiria wa milioni moja
Meneja Mkuu wa Fastjet wa kanda ya Afrika Mashariki, Jimmy Kibati (kushoto), akiwa na Grace Makazi ambaye alipokea ofa ya tiketi mbili za bure kama abiria wa milioni moja wa shirika hilo la ndege mara baada ya kutua jijini Dar esSalaam juzi, Shirika la Fastjet limetoa tiketi mbili za bure kwenda na kurudi mahali popote ndani ya nchi kwa abiria wake wa millioni moja.
Fastjet shirika la ndege la gharama nafuu limesafirisha abiria wake wa milioni moja, ndani ya kipindi cha miaka miwili tangu...
10 years ago
Habarileo08 Oct
Chupa tupu za maji zamwingizia 180,000/- kwa mwezi
MKAZI wa Manzese, Kata ya Mafiga, Manispaa ya Morogoro, Oscar Philipo amemudu kuihudumia familia yake ya watoto wawili kutokana na biashara ya kuokota na kuuza chupa tupu za maji zinazomwingizia Sh 180,000 kila mwezi, imefahamika.
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Ikulu yakanusha Rais kulipwa Dola 16,000 kwa mwezi
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s72-c/fastjet-flights.jpg)
Fastjet kuzindua safari kati ya Tanzania na Kenya mwezi huu
![](http://1.bp.blogspot.com/-YW11Xad6mLU/VoyPZFRrPoI/AAAAAAAAX3E/giECsUUh4fk/s640/fastjet-flights.jpg)
Kampuni ya Fastjet imetangaza safari yake mpya ya kimataifa ya kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi, Kenya kuwa itaanza rasmi mnamo tarehe 11 Januari 2016.Fastjet imepewa ruhusa na serikali ya Kenya kufanya safari zake nchini humo kufuatia makubaliano ya pamoja na mashirika yanayotoa huduma za usafiri wa anga kati ya nchi...
10 years ago
TheCitizen01 Dec
870,000 fly Fastjet in two years
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-x8SaRgsnhvc/U2aUk5R97mI/AAAAAAAFfkA/3RE1OxKVirQ/s72-c/Bus-bombing-in-Nairobi-le-011.jpg)
News alert: watatu wapoteza maisha zaidi ya 60 wajeruhiwa kwa mabomu kwenye mabasi ya abiria nairobi leo
![](http://2.bp.blogspot.com/-x8SaRgsnhvc/U2aUk5R97mI/AAAAAAAFfkA/3RE1OxKVirQ/s1600/Bus-bombing-in-Nairobi-le-011.jpg)
Naibu Mkuu wa Jeshi la Polisi la Kenya Bw. Moses Ombati amenukuliwa akisema kuwa mabomu hayo yamelipuka kwenye mabasi ya abiria mawili tofauti, ambapo Naibu Mkuu wa kitengo cha kutengua Mabomu, Bw, Eliud Lagat amesema milipuko hiyo imetokana na mabomu...