Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWA NINI MSICHANA WA KAZI AKUCHUKULIE MUME WAKO-2

ASALAAM aleiykhum/Bwana Yesu asifiwe.
Bila shaka wasomaji wa safu hii hamjambo na mnaendelea vema na shughuli za ujenzi wa taifa.
Kwa wale wagonjwa, nawaombea dua mpone haraka na kuuanza mwaka 2014 kwa furaha. Leo tunaendelea na mada yetu ya wiki iliyopita, nilipata ujumbe mwingi kwa njia ya simu kutoka kwa wasichana wa kazi na akina baba wenye nyumba wakiwa na mawazo tofauti. Haya ndio makosa wayafanyayo wanawake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MSICHANA WA KAZI ATIWA MBARONI KWA KUTUPA KICHANGA

Na John Gagarini, Kibaha
MSICHANA Theresia Matai (19) ambaye ni mfanyakazi wa ndani mkazi wa Kwa Mathias wilayani Kibaha mkoani Pwani anashaikiliwa na Jeshi la polisi mkoani humo kwa tuhuma za kumtupa mtoto wake aliyejifungua.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa Polisi mkoani Pwani Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Polisi (SACP) Ulrich Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea Mei 27 mwaka huu majira ya saa 3 usiku.
Kamanda Matei alisema kuwa tukio hilo lilitokea eneo la Mwembe...

 

10 years ago

GPL

KADJA: KWA MAISHA HAYA MUME WA NINI?

Musa Mateja
STAA kutoka nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Khadija Maige ‘Kadja Nito’,  hatimaye ameamua kufunguka na kusema kuwa, kwa maisha yake ya sasa ya kimuziki haoni kama kuna umuhimu wa kufikiria masuala ya kuolewa. Staa kutoka nyumba ya kukuza vipaji Tanzania ‘THT’, Khadija Maige ‘Kadja Nito’. Akizungumza na paparazi wetu mwishoni mwa wiki iliyopita Kadja...

 

9 years ago

GPL

KWA NINI MITANDAO IVURUGE NDOA UHUSIANO WAKO?

NI Jumatatu nyingine murua Mungu anatukutanisha tena kwa neema zake katika kilinge chetu cha XXLove kujuzana kuhusu maisha ya uhusiano.Wiki iliyopita tulijadili namna ambavyo huwezi kuyaepuka mapenzi kwa sababu ya maumivu uliyowahi kuyapata au unayapata ila utapumzika kwa muda tu. Leo nakukaribisha kwenye mada tamu inayohusu matumizi na mapokeo mabovu ya mitandao ya kijamii kama mada inavyojieleza.Kumekuwa na wimbi kubwa la watu...

 

10 years ago

GPL

ALIKUWA MPENZI WAKO, KWA NINI SASA UMHARIBIE?

WAPENZI wa XXXLove tunakutana tena leo kwa rehema na kudra za Maulana. Nami bila hiyana nawakaribisha wasomaji wangu kwa moyo mkunjufu, karibuni! Leo nitazungumza na watu ambao walikuwa na mahusiano mwanzoni, baadaye mapenzi yao yakafika mwisho na kila mtu kuanza maisha yake mapya. Kwa bahati nzuri mwenza wako kaolewa ama kuoa na wewe bado uko bachela, kwa nini uanze kumsumbua? Hilo ni tatizo, tena tatizo kubwa sana ambalo...

 

10 years ago

GPL

HUKATAZWI KUMFUATILIA MPENZI WAKO LAKINI KWA NINI UMFUATILIE?

Mapenzi ya zama hizi yamejaa changamoto nyingi sana. Usaliti umekuwa mwingi kiasi kwamba, kila anayeingia kwenye uhusiano anajipa asilimia chache za kutosalitiwa. Ndiyo maana leo hii hakuna anayeweza kusimama na kusema hasalitiwi na mpenzi wake, kila mmoja kwa wakati flani hujihisi kuibiwa lakini anajaribu kupotezea mawazo hayo ili asijikoseshe amani. Ni kweli, ukitaka mapenzi yakukoseshe amani, itakuwa hivyo! Utashindwa kufanya...

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwa nini Magufuli hajaanza kufanya kazi?

MTU unaponunua eneo kwa ajili ya shamba au ujenzi vitu vya kwanza kabisa ambavyo unaangalia ni ki

Lula wa Ndali Mwananzela

 

10 years ago

GPL

UZURI NA UMBO SIYO FIMBO YA KUMPIGIA MUME WAKO!

Siku zote nimeweka mdomoni neno linalosema kuwa mwanaume ni kifaa adimu kwa sababu watu wanamaliza waganga, wanafanya matambiko ili wapate waume. Cha ajabu kuna wanawake ambao Mwenyezi Mungu amewapa wanaume lakini hawajitumi, wapo wapo tu! Mfano, unakuta mume anafua mwenyewe, mume njaa inamuuma mke yupo anaangalia TV au kaenda kuzurura. Mume anavaa nguo chafu kisa mke hajali suala la kufua. Jamani mume kwa mke ni kama mtoto,...

 

5 years ago

CCM Blog

SERIKALI: NI KOSA KISHERIA KUSAJILIANA LAINI ZA SIMU, HATA AKIWA MKE AU MUME WAKO

Na Prisca Ulomi, WUUM, Iringa
Serikali imepiga marufuku kwa mwananchi yeyote kumsajilia laini ya simu ya mkononi kwa alama ya vidole kwa kutumia kitambulisho cha taifa cha NIDA mtu mwingine kwa kuwa kufanya hivyo ni kosa la kisheria.

Hayo yameelezwa na Naibu Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Atashasta Nditiye mkoani Iringa wakati akiwa kwenye mikutano ya hadhara kwenye kijiji cha Idodi na Isoliwaya mkoani humo akizindua minara ya mawasiliano kwenye kata ya Idodi, Kihesa na Ihimbo...

 

10 years ago

GPL

NINI CHA KUFANYA MPENZI WAKO ANAPOWASILIANA NA EX WAKE?-2

Shukrani ziende kwake Muumba ambaye kwa mara nyingine ametupa nafasi ya kukutana kwenye uwanja wetu huu, tukijuzana, kuelimishana na kubadilishana mawazo kuhusu mambo mbalimbali yahusuyo uhusiano wa kimapenzi. Wiki iliyopita tulianza kuijadili mada hii kama inavyosomeka kwenye kichwa cha habari kuhusu hatua unazopaswa kuzichukua unapogundua kuwa mpenzi wako, mumeo au mkeo ana mawasiliano na mpenzi wake wa zamani (ex wake)....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani