Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWA NINI MITANDAO IVURUGE NDOA UHUSIANO WAKO?

NI Jumatatu nyingine murua Mungu anatukutanisha tena kwa neema zake katika kilinge chetu cha XXLove kujuzana kuhusu maisha ya uhusiano.Wiki iliyopita tulijadili namna ambavyo huwezi kuyaepuka mapenzi kwa sababu ya maumivu uliyowahi kuyapata au unayapata ila utapumzika kwa muda tu. Leo nakukaribisha kwenye mada tamu inayohusu matumizi na mapokeo mabovu ya mitandao ya kijamii kama mada inavyojieleza.Kumekuwa na wimbi kubwa la watu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Je,unataka kuvunja uhusiano wako kwa urahisi?

Hakuna hisia mbaya zaidi inayokujia wakati unapokutana na chapisho linalokuhusisha wewe na mpenzi wako wa zamani mukijifurahisha.

 

10 years ago

GPL

KABLA YA KUANZISHA UHUSIANO MPYA, JIULIZE KWA NINI UMEACHWA?

Tumshukuru sana Mungu kwa kutujalia afya njema na kutukutanisha tena hapa kwenye XXLove kujadili na kupeana elimu ya uhusiano. Wiki iliyopita tulijadili kuhusu kuachana na kuanza kuchukiana au kuwekeana visasi. Mada ya leo inahusu kukurupuka na kuanzisha uhusiano mpya baada ya kuachwa.Si jambo jema, unapaswa kujiuliza umeachwa kwa sababu gani? Ili hata kama ukiamua kuanzisha uhusiano mpya ujue ni mpenzi wa aina gani anakufaa?...

 

11 years ago

Mwananchi

Kwa nini uko facebook na mitandao mingine ya kijamii

Hujambo ndugu yangu! Bila shaka Mungu anaendelea kukupendelea kwa maana ya kukuacha uendelee kutumia pumzi yake na hata kukupa uwezo wa kuona, maana kuna wengi wangependa hayo, lakini wameshindwa.

 

10 years ago

GPL

ALIKUWA MPENZI WAKO, KWA NINI SASA UMHARIBIE?

WAPENZI wa XXXLove tunakutana tena leo kwa rehema na kudra za Maulana. Nami bila hiyana nawakaribisha wasomaji wangu kwa moyo mkunjufu, karibuni! Leo nitazungumza na watu ambao walikuwa na mahusiano mwanzoni, baadaye mapenzi yao yakafika mwisho na kila mtu kuanza maisha yake mapya. Kwa bahati nzuri mwenza wako kaolewa ama kuoa na wewe bado uko bachela, kwa nini uanze kumsumbua? Hilo ni tatizo, tena tatizo kubwa sana ambalo...

 

11 years ago

GPL

KWA NINI MSICHANA WA KAZI AKUCHUKULIE MUME WAKO-2

ASALAAM aleiykhum/Bwana Yesu asifiwe.
Bila shaka wasomaji wa safu hii hamjambo na mnaendelea vema na shughuli za ujenzi wa taifa.
Kwa wale wagonjwa, nawaombea dua mpone haraka na kuuanza mwaka 2014 kwa furaha. Leo tunaendelea na mada yetu ya wiki iliyopita, nilipata ujumbe mwingi kwa njia ya simu kutoka kwa wasichana wa kazi na akina baba wenye nyumba wakiwa na mawazo tofauti. Haya ndio makosa wayafanyayo wanawake...

 

10 years ago

GPL

HUKATAZWI KUMFUATILIA MPENZI WAKO LAKINI KWA NINI UMFUATILIE?

Mapenzi ya zama hizi yamejaa changamoto nyingi sana. Usaliti umekuwa mwingi kiasi kwamba, kila anayeingia kwenye uhusiano anajipa asilimia chache za kutosalitiwa. Ndiyo maana leo hii hakuna anayeweza kusimama na kusema hasalitiwi na mpenzi wake, kila mmoja kwa wakati flani hujihisi kuibiwa lakini anajaribu kupotezea mawazo hayo ili asijikoseshe amani. Ni kweli, ukitaka mapenzi yakukoseshe amani, itakuwa hivyo! Utashindwa kufanya...

 

10 years ago

GPL

JE, KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA TUMBO KUJAA GESI NA MIUNGURUMO KWA MWANAUME KATIKA TENDO LA NDOA?

Watu wengi wamekuwa wakiwasiliana nasi wakihusisha haya mambo mawili hasa wanaume pasipo kujua kama yanahusiana kwa ukaribu au laa. Na kwa maana hiyo, leo watu wengi wataweza kujua uhusiano wa haya mambo mawili yaani miungurumo ya tumbo, tumbo kujaa gesi na miungurumo ya hapa na pale katika kushiriki tendo la ndoa au kupungukiwa na nguvu katika kushiriki tendo la ndoa. Tatizo hili kitaalamu huitwa constipation, yaani mtu kuwa na...

 

9 years ago

GPL

KWA NINI MWANAUME WA ZAMANI AKUVUNJIE NDOA?

BILA shaka yoyote kwamba mmeamka na afya njema na mnaendelea vizuri sana na ujenzi wa taifa, hasa kipindi hiki cha siasa kushika hatamu kuelekea uchaguzi mkuu, mwezi ujao. Mimi kura yangu ni siri yangu. Leo mada yetu ni kwa nini mwanaume wako wa zamani awe sababu ya wewe kuvunja ndoa yako? Mada ambayo imekuja kutokana na ujumbe nilioandikiwa na msomaji wangu mmoja nami kujikuta katika msukumo wa kuiandika. Simu ndiyo iliyotibua...

 

10 years ago

GPL

KWA NINI WANAWAKE WENGI WANAKOSA HAMU YA KUSHIRIKI TENDO LA NDOA?-4

Tumekuwa tukiangalia tatizo la wanawake wengi kushindwa kushiriki tendo la ndoa. Tumeangalia jinsi tatizo hili linavyoisumbua jamii yetu pia tumejua kuwa mwanamke kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa si jambo la kawaida ni tatizo linaloweza kutibika. Zifuatazo ni njia za kuondoa tatizo hilo. Wengi wanatarajia kuambiwa wameze dawa fulani ili kuondokana na tatizo hilo. Ukweli ni kwamba ili mtu kurejea katika hali ya kawaida. Kama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani