Je,unataka kuvunja uhusiano wako kwa urahisi?
Hakuna hisia mbaya zaidi inayokujia wakati unapokutana na chapisho linalokuhusisha wewe na mpenzi wako wa zamani mukijifurahisha.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPLKWA NINI MITANDAO IVURUGE NDOA UHUSIANO WAKO?
NI Jumatatu nyingine murua Mungu anatukutanisha tena kwa neema zake katika kilinge chetu cha XXLove kujuzana kuhusu maisha ya uhusiano.Wiki iliyopita tulijadili namna ambavyo huwezi kuyaepuka mapenzi kwa sababu ya maumivu uliyowahi kuyapata au unayapata ila utapumzika kwa muda tu. Leo nakukaribisha kwenye mada tamu inayohusu matumizi na mapokeo mabovu ya mitandao ya kijamii kama mada inavyojieleza.Kumekuwa na wimbi kubwa la watu...
10 years ago
Vijimambo18 Dec
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea
David De Gea
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United usajili huu utavunja rekodi ya uhamisho iliyowekwa na kipa Gianluigi Buffon aliehamia Juventus toka Parma.Huku kukiwa na taarifa De Gea anafuraha kubaki na kikosi cha Manchester United na atasaini mkataba mpya .
Timu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Guillermo Ochoa toka klabu ya Malaga kwa dau la £3milion ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet ambae...
Real Madrid wako tayari kuvunja rekodi ya usajili kwa kumsajili mlinda mlango David De Gea toka klabu ya Man United usajili huu utavunja rekodi ya uhamisho iliyowekwa na kipa Gianluigi Buffon aliehamia Juventus toka Parma.Huku kukiwa na taarifa De Gea anafuraha kubaki na kikosi cha Manchester United na atasaini mkataba mpya .
Timu ya Liverpool imefikia makubaliano ya kumsajili kipa Guillermo Ochoa toka klabu ya Malaga kwa dau la £3milion ili kuwa mbadala wa Simon Mignolet ambae...
10 years ago
GPLUMETENDWA, UNATAKA KUANZISHA UHUSIANO MPYA? SOMA HAPA!
UHALI gani mpenzi msomaji wa safu hii. Ni Jumamosi nyingine tunakutana tena katika uwanja wetu wa kujidai na kuweza kupeana darasa la uhusiano.Ni dhahiri kwamba asilimia kubwa ya watu kabla ya kufikia kwenye hatua ya kufunga ndoa, wanakuwa wamepitia maumivu mengi. Wanatendwa vya kutosha. Wanakuwa na ‘majeraha’ ya kutosha. Kuna ambao huenda mbali zaidi kimawazo hadi kufikia hatua ya kusema ‘sitapenda...
9 years ago
GPLFANYA HIVI KURUDISHA UHUSIANO WAKO UPYA-2
Nianze kwa kumshukuru Mungu kwa kuninusuru kifo, mimi na rafiki zangu katika ajali mbaya ya gari letu kugongwa na Fuso, Septemba 8, mwaka huu maeneo ya Bondeni, Mbezi-Beach jijini Dar. Hakika Mungu ana kusudi na mimi katika kukuelimisha wewe msomaji wangu wa XXLove. Nanyi nawatakia afya njema, rafiki zangu waliojeruhiwa zaidi yangu katika gari tuliyopata nalo ajali naamini tumenusurika kifo.
Wiki iliyopita tulijifunza namna ya...
10 years ago
GPLJUX BADO UNABISHA UHUSIANO WAKO NA VANESSA
STORI: WAANDISHI WETU/Mchanganyiko BAADA ya kukataa mara kwa mara juu ya uhusiano wao wa kimapenzi, hatimaye wasanii Juma Mussa ‘Jux’ na Vanessa Mdee ‘Vee Money’ juzikati walikutwa katika mkao wa kimahaba kiasi cha kuwafanya mashabiki kujiuliza kama mkali huyo wa kibao cha Uzuri wako anaweza kuendelea kubisha. Wabongo Fleva Juma Mussa ‘Jux’ na Vanessa Mdee ‘Vee Money’ wakila...
10 years ago
Mwananchi22 Feb
UHUSIANO: Mambo 11 ya kukuashiria mpenzi wako si mwaminifu
>Kila mmoja atakubaliana na mimi kwamba mahusiano baina ya wapendanao kwa kawaida yanakusudia kuwa ya upendo, maelewano, kuaminiana na urafiki wa hali ya juu ingawa hali halisi siyo hiyo katika uhusiano wa wengi. Wengi wetu wameumizwa kwa mapenzi.
10 years ago
Bongo518 Sep
Chris Brown azungumzia uhusiano wake na Karrueche na kuthibitisha kuwa wako pamoja na hawakuachana
Hivi karibuni Chris Brown na girlfriend wake Karrueche Tran waliripotiwa kuachana kwa muda kabla hawajarudiana tena, habari ambazo mara nyingi hua zinatolewa na vyanzo vya karibu na mastaa hao. Breezy amepata nafasi ya kusafisha kila kitu na kuthibitisha kuwa yeye na Karrueche wako vizuri licha ya kuwa walikuwa tayari wamethibitisha kwa picha mbalimbali za pamoja […]
11 years ago
GPLUMUHIMU WAKO KWA MWENZI WAKO UKO WAPI? -3
KAMA kuna mambo muhimu unayotakiwa kuyajua katika mapenzi ni pamoja na umuhimu wako kwa mwenzi wako. Ndugu zangu, huwezi kuwa kwenye uhusiano ambao hauna faida. Mambo yanakwenda hovyo, huthaminiwi wala kupewa kipaumbele. Katika mada hii tunaendelea kuangalia ni kwa namna gani utakuwa mwenye umuhimu kwenye uhusiano wako. Ngoja niwachekeshe kidogo; kuna wakati niliwahi kukutana na msichana mmoja ofisini akihitaji ushauri. Jambo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania