Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


JUX BADO UNABISHA UHUSIANO WAKO NA VANESSA

STORI: WAANDISHI WETU/Mchanganyiko BAADA ya kukataa mara kwa mara juu ya uhusiano wao wa kimapenzi, hatimaye wasanii Juma Mussa ‘Jux’ na Vanessa Mdee ‘Vee Money’ juzikati walikutwa katika mkao wa kimahaba kiasi cha kuwafanya mashabiki kujiuliza kama mkali huyo wa kibao cha Uzuri wako anaweza kuendelea kubisha. Wabongo Fleva Juma Mussa ‘Jux’ na Vanessa Mdee ‘Vee Money’ wakila...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Lulu autamani uhusiano wa Vanessa Mdee na Jux

wpid-10903372_860878923952023_314361227_n

Kwa mujibu wa Lulu, Vanessa Mdee na Jux ni couple bora zaidi – of course baada ya kwake mwenyewe isiyojulikana hadi sasa.

wpid-10903372_860878923952023_314361227_n

“You can’t stop loving short girls,” ameandika Lulu kwenye Instagram.

“Ukiona nakudanganya kamuulize anko Will Smith, 20 years kakwama kwa aunty jada. Fave couple….ikitoka yangu tu hii ndo inafata. Kuna mijitu itapanic basi, sasa unataka nikupende wewe na mtu wako wakati hamueleweki!

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...

 

10 years ago

Bongo5

Vanessa Mdee athibitisha uhusiano na Jux kwa picha hii?

Kwa mara kibao Vanessa Mdee na Jux wamekanusha kuwa na uhusiano wa kimapenzi licha ya kuonesha dalili nyingi ya kuwa ni item. A picture is worth a thousand words Lakini huenda mastaa hao wanataka kuufanya uhusiano wao official kwa mwaka 2015. Vee Money ametoa hint kuhusu uwezekano wa wawili hao kuwa pamoja kwenye picha aliyoweka […]

 

10 years ago

GPL

VANESSA, JUX YADAIWA NI WAPENZI

Stori: Musa Mateja aliyekuwa Tanga
MBONGO-Fleva anayefanya poa na ngoma yake ya Nitasubiri, Juma Mussa ‘Jux’ na staa mwenzake ambaye ana kofia nyingine ya utangazaji, Vanessa Mdee ‘V-Money’ wanadaiwa kuwa ni wapenzi, Risasi Jumatano limeinyaka. Juma Mussa ‘Jux’ akiwa na Vanessa Mdee ‘V-Money’ wanaodaiwa kuwa ni awapenzi. Madai ya wawili hao kuhusishwa kimapenzi yameendelea...

 

9 years ago

Mtanzania

Vanessa, Jux kutoka pamoja muda ukifika

Jux - Nikuite Nani videoNA HERIETH  FAUSTINE

MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V Money’ na Juma Jux ‘Jux’, wamesema baada ya kila mmoja kukamilisha kazi zake ndipo watatoa nyimbo zao za ushirikiano ambazo wamesharekodi.

Aliongeza kwamba, kutokana na kila mmoja kuwa na kazi zake nyingi, hawataweza kufanya kazi ya pamoja hadi kila mmoja atakapomaliza, maana wazo hilo walikuwa nalo muda mrefu na wameshalifanyia kazi, ingawa hawataki kuzitoa kwa sasa.

“Tumeshafanya nyimbo za pamoja nyingi, lakini hatutatoa...

 

10 years ago

GPL

9 years ago

Bongo Movies

Lulu Afunguka Juu ya Mahusiano ya Jux na Vanessa Mdee

lulu2342

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kusema yake ya moyoni kuhusiana na mahusiano ya mastaa wawili wa bongo fleva, Jux na Vanessa kwa kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha ya wawili hao.

Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi

Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi

“You can’t Stop Loving Short Girls 😛😛😛Ukiona nakudanganya Kamuulize Anko Will Smith😁20 years kakwama Kwa Aunty Jada🙈
FAVE COUPLE….ikitoka Yangu Tu hii Ndo inafata 😁
Kuna mijitu itapanic basi😂😂😂Sasa...

 

9 years ago

Bongo5

Vanessa adai bila Jux asingeweza kufanya video ‘Never Ever’

Vanessa Mdee amesema mpenzi wake Jux amefanya kazi kubwa katika utengenezaji wa video ya wimbo wake mpya, ‘Never Ever’. Vanessa alikiambia kipindi cha Friday Night Live (FNL) cha EATV hivi karibuni kuwa yeye na Jux wanashirikiana katika vitu vingi ingawa mpenzi wake huyo yupo nje kimasomo kwa sasa. “Yupo China anasoma, lakini tupo poa kabisa,” […]

 

9 years ago

Bongo5

Jux na Vanessa Mdee wana ngoma nne walizorekodi pamoja

Jux n vee-1

Jux na Vanessa Mdee wamesharekodi nyimbo nne pamoja.

Jux n vee-1

Jux ambaye wiki hii ameachia video ya wimbo wake ‘One More Night’ amesema nyimbo hizo zitaanza kutoka mwakani.

“Tumerekodi nyimbo kama nne zipo studio. Muda ukifika hata mwakani zitatoka. Management ya Vanessa ikiwa tayari kutoa na management yangu ikisema tayari tutoe tutashoot video na baadaye utatoka,” Jux amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani