Vanessa, Jux kutoka pamoja muda ukifika
NA HERIETH FAUSTINE
MKALI wa muziki wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘V Money’ na Juma Jux ‘Jux’, wamesema baada ya kila mmoja kukamilisha kazi zake ndipo watatoa nyimbo zao za ushirikiano ambazo wamesharekodi.
Aliongeza kwamba, kutokana na kila mmoja kuwa na kazi zake nyingi, hawataweza kufanya kazi ya pamoja hadi kila mmoja atakapomaliza, maana wazo hilo walikuwa nalo muda mrefu na wameshalifanyia kazi, ingawa hawataki kuzitoa kwa sasa.
“Tumeshafanya nyimbo za pamoja nyingi, lakini hatutatoa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo511 Dec
Jux na Vanessa Mdee wana ngoma nne walizorekodi pamoja

Jux na Vanessa Mdee wamesharekodi nyimbo nne pamoja.
Jux ambaye wiki hii ameachia video ya wimbo wake ‘One More Night’ amesema nyimbo hizo zitaanza kutoka mwakani.
“Tumerekodi nyimbo kama nne zipo studio. Muda ukifika hata mwakani zitatoka. Management ya Vanessa ikiwa tayari kutoa na management yangu ikisema tayari tutoe tutashoot video na baadaye utatoka,” Jux amekiambia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,...
10 years ago
Mwananchi03 Aug
Mbowe: Nitamzungumzia Dk Slaa muda ukifika
10 years ago
Mwananchi07 Apr
Prof. Muhongo: Nitazungumzia urais muda ukifika
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Dk Slaa: Niko salama, nitazungumza muda ukifika
11 years ago
GPL
VANESSA, JUX YADAIWA NI WAPENZI
9 years ago
Bongo518 Dec
Lulu autamani uhusiano wa Vanessa Mdee na Jux

Kwa mujibu wa Lulu, Vanessa Mdee na Jux ni couple bora zaidi – of course baada ya kwake mwenyewe isiyojulikana hadi sasa.
“You can’t stop loving short girls,” ameandika Lulu kwenye Instagram.
“Ukiona nakudanganya kamuulize anko Will Smith, 20 years kakwama kwa aunty jada. Fave couple….ikitoka yangu tu hii ndo inafata. Kuna mijitu itapanic basi, sasa unataka nikupende wewe na mtu wako wakati hamueleweki!
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na...
10 years ago
GPL
JUX BADO UNABISHA UHUSIANO WAKO NA VANESSA
9 years ago
Bongo Movies17 Dec
Lulu Afunguka Juu ya Mahusiano ya Jux na Vanessa Mdee
Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kusema yake ya moyoni kuhusiana na mahusiano ya mastaa wawili wa bongo fleva, Jux na Vanessa kwa kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha ya wawili hao.

Jux na Vaness Wakiwa Kwenye Pozi
“You can’t Stop Loving Short Girls Ukiona nakudanganya Kamuulize Anko Will Smith
20 years kakwama Kwa Aunty Jada
FAVE COUPLE….ikitoka Yangu Tu hii Ndo inafata
Kuna mijitu itapanic basiSasa...