Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chris Brown azungumzia uhusiano wake na Karrueche na kuthibitisha kuwa wako pamoja na hawakuachana

Hivi karibuni Chris Brown na girlfriend wake Karrueche Tran waliripotiwa kuachana kwa muda kabla hawajarudiana tena, habari ambazo mara nyingi hua zinatolewa na vyanzo vya karibu na mastaa hao. Breezy amepata nafasi ya kusafisha kila kitu na kuthibitisha kuwa yeye na Karrueche wako vizuri licha ya kuwa walikuwa tayari wamethibitisha kwa picha mbalimbali za pamoja […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Bongo5

Chris Brown apigwa chini tena na mpenzi wake Karrueche Tran kisa Rihanna!

Button ya uhusiano wa mwimbaji Chris Brown na mrembo wake Karrueche Tran imewekwa ‘Off’ kwa mara nyingine na sababu ni Rihanna. Siku chache zilizopita kuna shabiki mmoja alipost picha ya Chris Brown akiwa kitandani na Rihanna na kumtag Breezy ambaye naye ali ‘like’, kwa mujibu wa TMZ hiyo ni moja ya sababu ya Karrueche ku’switch […]

 

10 years ago

Bongo5

Chris Brown aachana tena na Karrueche Tran, atangaza jukwaani kuwa yupo single (Video)

Kwa mara nyingine Chris Brown na mpenzi wake Karrueche Tran wameachana, lakini safari hii Chris mwenyewe ameamua kutoa taarifa hiyo akiwa jukwaani mbele ya mashabiki kwa kusema kuwa yupo single. Breezy ametoa habari hiyo akiwa jukwaani kwenye show ya Cali Christmas ya Power 106 iliyofanyika Ijumaa Dec 5. “How many single ladies we got in […]

 

10 years ago

Bongo5

Mdogo wake na Kim Kardashian, Kendall Jenner anamzimia Chris Brown, huenda akampiku Karrueche Tran

Mdogo wake na Kim Kardashian, Kendall Jenner anadaiwa kumzimikia Chris Brown. Kuanzia Kulia: Trey Songz, Kendall Jenner, Chris Brown na Kyle Jenner Model huyo mwenye miaka 19, amekuwa akionekana kwenye picha akila bata na staa huyo miezi ya hivi karibuni na anaamini kuupeleka uhusiano wao kwenye hatua ya juu zaidi. Anasemekana kufanya kila awezalo kufanikisha […]

 

11 years ago

Bongo5

Chris Brown adai kuwa Karrueche Tran hakumpiga chini bali yeye ndiye amempiga kibuti, zifahamu sababu

Vyanzo vya karibu na mwimbaji Chris Brown vimeuambia mtandao wa TMZ kuwa Chris ameshangazwa na habari za hivi karibuni kuwa amepigwa chini na mpenzi wake wa On/Off Karrueche Tran, na kudai kuwa yeye (Chris) ndiye aliyempiga kibuti mrembo huyo. Vyanzo hivyo vimesema kuwa Breezy amemuacha Karrueche baada ya kugundua alikuwa anawasiliana na kuwatumia picha wanaume […]

 

10 years ago

GPL

KARRUECHE, CHRIS BROWN WAFIKA PABAYA!

Mtangazaji na mwanamitindo, Karrueche Tran. New York,Marekani
MTANGAZAJI na mwanamitindo, Karrueche Tran amemchana mpenzi wake wa zamani, Christopher Maurice ‘Chris Brown’ katika mitandao ya kijamii. Karrueche Tran akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Christopher Maurice ‘Chris Brown’.
Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Karrueche alimfungukia Chris kuwa asimfuatefuate kwani mapenzi yao yalishakwisha tangu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani