Mfanyabiashara Dar ajinyonga
MFANYABIASHARA, Bakari Yohana (34), mkazi wa Manzese, Dar es Salaam, amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia waya. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, alisema jana kuwa tukio...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima15 Sep
Ajinyonga hadi kufa Dar
WATU wawili wamefariki dunia jijini Dar es Salaam katika matukio tofauti likiwemo la kujinyonga. Akithibitisha kutokea kwa vifo hivyo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura alisema juzi saa...
11 years ago
Habarileo23 Dec
Mfanyabiashara wa Dar anaswa na kokeni KIA
MFANYABIASHARA wa jijini Dar es Salaam, Rukia Mohamed (29) amekamatwa na dawa za kulevya aina ya kokeni zenye uzito wa zaidi ya kilo 2 zikiwa na thamani ya mamilioni ya fedha jana usiku katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA).
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-iPvhVn-OSzo/XtpBeOtmrMI/AAAAAAALstA/qmS9eY95tYEGHNrKNEqMj2scnqKZcF_RACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
MFANYABIASHARA DAR AFIKISHWA KORTINI KWA KUISABABISHIA TRA HASARA YA SHILINGI BILIONI TATU NA UTAKATISHAJI FEDHA
![](https://1.bp.blogspot.com/-iPvhVn-OSzo/XtpBeOtmrMI/AAAAAAALstA/qmS9eY95tYEGHNrKNEqMj2scnqKZcF_RACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
MFANYABIASHARA wa Jijini Dar es Salaam, Poison Batisha (36), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na kesi ya Uhujumu yenye mashtaka ya kukwepa kodi, kuisababishia Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) hasara ya zaidi ya sh. Bilioni tatu na utakatishaji fedha.
Akisoma hati ya mashtaka wakili wa serikali Janet Magoha amedai Mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Janet Mtega kuwa, kati ya Januari Mosi 2012 na May 12, 2020 ndani ya jiji la Dar es Salaam,...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LxCNhCb0vXUiTY31yeVSavssk6mMbn9gKq0Ovejs4lWSr7TddeIX4WlwuivVRXbLyA-bjbj0lVDXVsN7ZMKPsQ9LeWzq3WB0/hausgel.jpg)
HAUSIGELI AJINYONGA!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Wri1xbSz2-5bpIq0OwpzFCEN7z53*v7tfUR7NGFFbOgDIgFeHT0mW9axe1z1vNzZ0Fldw4weCkz3X2MRX7zemD4zBIrdiPXu/AJINYONGA.jpg?width=650)
MWANAUME AJINYONGA...
11 years ago
Habarileo07 Feb
Mwalimu ajinyonga chooni
MWALIMU wa Shule ya Msingi Mwang’osha Kata ya Nyamalongo wilayani Shinyanga, Christipian Mafuru (24) amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa madai ya msongo wa mawazo.
10 years ago
Mwananchi18 Sep
Mwanafunzi ajinyonga hospitalini
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-lehIWbnAsgec-uWYQXYeXD8XKYCg1vrA6rvc-QSGeoxQHgXIs0Xe8yc3jtEzX8rPyMyKTN9SfBGVC4gWzbtO-0/Ajinyonga.jpg)
MUME AJINYONGA UKWENI
11 years ago
Tanzania Daima18 Feb
Mahabusu ajinyonga chooni
MAHABUSU, Vumi Elias (30), amefariki dunia baada ya kujinyonga kwa kutumia tambala la kupigia deki ndani ya choo cha mahabusu ya Kituo cha Polisi Tunduma. Elias, mkazi wa Maporomoko-Tunduma, aliyetuhumiwa...