Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Butiama wapanga kuingiza Sh14mil kwa mauzo ya pamba

Halmashauri ya Wilaya ya Butiama mkoani Mara, inatarajia kuingiza zaidi ya Sh14.4 milioni kwa ushuru unaotokana na ununuzi wa pamba kwa msimu wa ununuzi wa zao hilo kwa mwaka 2015/2016.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KIWANDA CHA PAMBA AMBACHO PAMBA YAKE ILITEKETEA KWA MOTO MKOANI SHINYANGA CHAPATA BIMA YAKE TOKA UAP

Baadhi ya maafisa wa Kampuni ya Bima ya UAP wakiwa na Meneja wa Kiwanda cha JIELONG Holdings Tanzania LTD Kiki Huwa Xu (kushoto) wakitenbelea kiwanda hicho kujionea shughuli za utendaji ikiwa ni pamoja na kuzungumza na uongozi wa kiwanda hicho mara baada ya kukipatia bima ya shilingi milioni themanini (80,000,000/=)  kufuatia kuunguliwa na pamba yake katika ghala la kuhifadhia lililopo kiwandani hapo.Mwanzoni mwa mwaka huu 2015 pamba iliyokuwa imehifadhiwa kwenye moja ya maghala katika...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

CHADEMA wapanga kumshtaki Dk Magufuli kwa matumizi ya ‘M4C’

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe Kwa ufupi: “Wadai amechukua nembo ya M4C na kuifanya yake” By Herieth Makwetta na Julius Mathias Saturday, September 19, 2015 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kinakusudia kumfungulia mashtaka, Dk […]

The post CHADEMA wapanga kumshtaki Dk Magufuli kwa matumizi ya ‘M4C’ appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Habarileo

Mcolombia kortini kwa kuingiza kokeni

RAIA wa Colombia, Andres Uribe (38), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akikabiliwa na mashitaka ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya kokeni zenye thamani ya Sh milioni 45.2.

 

10 years ago

Habarileo

Bandari kuingiza mapato Sh trilioni 1 kwa mwaka

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) Madeni Kipande akijibu baadhi ya hoja zilizokuwa zikiibuliwa na wabunge wakati wa kikao cha kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Mamlaka hiyo.MKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), Madeni Kipande amesema bandari hiyo ina uwezo wa kuingiza kipato kinachofikia Sh trilioni moja kwa mwaka, kama baadhi ya vikwazo vitashughulikiwa.

 

11 years ago

Habarileo

Kortini kwa kuingiza vifaa nchini bila leseni

RAIA wa Lebanon, Mohammed Alli Attwi (27) amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam akikabiliwa na mashtaka sita likiwamo la kuingiza vifaa vya mawasiliano ya kimataifa bila ya kuwa na leseni na kulisababishia taifa hasara ya zaidi ya Sh bilioni 2.1.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magadi soda kuingiza bil. 480/- kwa mwaka

SHIRIKA la Taifa la Maendeleo (NDC) limegudua kiasi kikubwa cha madini ya magadi soda katika Bonde la Engaruka, Wilaya ya Monduli, Arusha. Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa NDC, Abel Ngapemba,...

 

11 years ago

Mwananchi

Jezi za Ronaldo zaongoza kwa mauzo

Jumla ya jezi milioni 1 za mchezaji wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo ziliuzwa msimu wa mwaka 2013/14 na kuzidi jezi za timu nzima ya Bayern Munich ambayo iliuza jezi 880,000.

 

5 years ago

BBCSwahili

Mwanamke wa Indonesia anusurika kifungo jela kwa kuingiza mbwa msikitini

Kanda ya video ya mwanamke huyo mwenye akili punguani akiingia msikitini nchini Indonesia ilisambaa sana mwaka uliopita

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani