Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHADEMA wapanga kumshtaki Dk Magufuli kwa matumizi ya ‘M4C’

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe Kwa ufupi: “Wadai amechukua nembo ya M4C na kuifanya yake” By Herieth Makwetta na Julius Mathias Saturday, September 19, 2015 Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimesema kinakusudia kumfungulia mashtaka, Dk […]

The post CHADEMA wapanga kumshtaki Dk Magufuli kwa matumizi ya ‘M4C’ appeared first on Mzalendo.net.

Mzalendo Zanzibar

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Chadema wapanga kumshtaki Dk Magufuli matumizi ya M4C

Chama cha Chadema, kimesema kinakusudia kumfungulia mashtaka Dk John Magufuli kwa madai ya kutumia nembo yake ya ‘M4C Movement For Change’ ikiwa na maana “Vuguvugu la Mabadiliko” na kuigeuza kuwa ‘Magufuli for Change’ kwa muundo uleule.

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli asema M4C ni ‘Magufuli for Change’

Mgombea urais wa CCM, Dk John Magufuli amesema maana na neno M4C, linalotumia na Chadema ni ‘Magufuli for Change” akimaanisha ndiye atakayeleta mabadiliko.

 

9 years ago

Habarileo

‘M4C inamaanisha Magufuli For Change’

MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amepangua kauli mbiu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) maarufu kama M4C kwa kusema herufi hizo zimesimama kwa niaba ya Magufuli For Change.

 

10 years ago

Dewji Blog

Chadema Singida wapanga kumburuza mahakamani msimamizi wa uchaguzi

DSC02992

Mjumbe wa kamati ya utendaji CHADEMA manispaa ya Singida, Vicent Mughwai (katikati) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kusudio la chama hicho kumfungulia shitaka msimamizi wa uchaguzi wa serikali za mitaa manispaa ya Singida, kwa tuhuma ya kukiuka kanuni za uchaguzi huo. Vicent ndugu yake na mbunge wa jimbo la Singida mashariki na mnadhimu mkuu wa sheria CHADEMA, Tundu Lissu, ametangaza rasmi kumng’oa mbunge wa CCM jimbo la Singida mjini Mohammed Gullam Dewji, kwenye uchaguzi...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA YA SHERIA: UWEZEKANO WA KUMSHTAKI KWA JINAI ALIYEVAMIA ARDHI YAKO

Na  Bashir  Yakub.
Katika  migogoro  ya  ardhi  yapo  mambo  mengi  ambayo  hujitokeza. Yumkini  hii  yote  huwa  ni  katika  kusaka  haki.  Liko  jambo  moja  ambalo  ni  muhimu  watu  kulijua  hasa  wale  ambao   tayari  wamejikuta  katika  migogoro  ya  ardhi.  Mara  nyingi  imekuwa  ikitokea  pale  ambapo  mtu  fulani  ana  mgogoro  wa  ardhi  na  mtu  mwingine  kumwendea  polisi  na  kumshitaki  kwa  jinai  ya  kuvamia  ardhi  yake( criminal trespass). Ni  kweli  jambo  hili  lipo...

 

11 years ago

Michuzi

Mkutano wa M4C Operesheni Pamoja Daima,Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe Atua Kibaha na Chopa Nakuhutubia Mamia ya Wananchi wa Mji wa Kibaha

 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe akiwahutubia wananchi wa mji wa Kibaha, katika mkutano wa hadhara wa Operesheni M4C Pamoja Daima, uliofanyika mjini Kibaha, Pwani jana. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, akimkabidhi kadi ya chama hicho, aliyekuwa Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM wilaya ya Kibaha Mjini, ambaye pia alikuwa Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji ya UVCCM Kata ya Kongowe, Joseph Baziry, wakati wa mkutano...

 

9 years ago

Bongo5

Exclusive: Diva apanga kumshtaki Diamond kwa madai ya kudhalilishwa na kutishiwa kupigwa

Mtangazaji wa Clouds FM, Diva aka The Bawse amedai kupanga kumfungulia mashtaka Diamond Platnumz kwa madai kuwa staa huyo alimdhalilisha live kwenye redio na kumtishia kumpiga. Tukio hilo lilitokea jana mchana kwenye kipindi cha XXL ambapo mtangazaji wa kipindi hicho, Bdozen alitaka kujua kwanini wawili hao hawaelewani. Diamond alidai kuwa Diva amekuwa akimuongelea vibaya kwenye […]

 

9 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAMPONGEZA RAIS DK. MAGUFULI NA WASAIDIZI WAKE, NI KWA KUSIMAMIA VYANZO VYA MAPATO YA SERIKALI, KUDHIBITI MATUMIZI YA SERIKALI NA UHIMIZAJI WANANCHI KUFANAYA KAZI KWA BIDII



Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akizungumza na Waandishi wa Habari, leo kwenye ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. (Picha na Bashir Nkoromo)IFUATAYO NI TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KAMA ILIVYOWASILISHWA LEO NA KINANA  Jana tarehe 07/12/2015 Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ilifanya kikao chake cha kawaida mjini Dar es salaam kwa siku moja. Kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

9 years ago

Mwananchi

Butiama wapanga kuingiza Sh14mil kwa mauzo ya pamba

Halmashauri ya Wilaya ya Butiama mkoani Mara, inatarajia kuingiza zaidi ya Sh14.4 milioni kwa ushuru unaotokana na ununuzi wa pamba kwa msimu wa ununuzi wa zao hilo kwa mwaka 2015/2016.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani