Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wanasa vilipuzi Uganda

Polisi nchini Uganda wamenasa vilipuzi na washukiwa 19 kufuatia jaribio la shambulizi la kigaidi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

POLISI WANASA MILIPUKO UGANDA

POLISI nchini Uganda wamekamata kiasi kikubwa cha milipuko walipokuwa wakifanya operesheni ya kutibua jaribio la shambulizi la kigaidi la wanamgambo wa al-Shabab. Hadi sasa, watu 19 wamekamatwa na Jeshi la Polisi na wanahojiwa kuhusiana na nia yao kutekeleza vitendo vya kigaidi, kulingana na msemaji wa polisi. Wiki iliyopita, ubalozi ya Marekani mjini Kampala ulionya kuwa kulikuwa na uwezekano wa shambulizi la kulipiza kisasi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanasa kilo 2 za Heroin Kenya

Watu watano wamekamatwa baada ya kupatikana na kilo mbili za mihadarati aina ya heroin, huku raia mmoja wa Uingereza akisakawa Kenya

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wanasa silaha zingine Mombasa

Polisi mjini Mombasa Pwani ya Kenya wanasema wamepata silaha nyingine zaidi ikiwemo mabomu katika msikiti wa tatu ambao ulifanyiwa msako

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi wanasa Sh2 bil bandia

Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limekamata noti bandia zenye thamani ya Dola 164 milioni za Marekani, sawa na takriban Sh2 bilioni.

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wanasa vifaa vya milipuko

>Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga linawashikilia watu saba kwa tuhuma za kukamatwa na waumini kwenye nyumba za ibada wakiwa na zana za kutengenezea milipuko pamoja na silaha za jadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Polisi wanasa sehena ya Silaha Kenya

Maafisa wa Ulinzi wa Kenya wamenasa shehena ya silaha kufuatia operesheni dhidi ya wapiganaji wa Al Shabaab Kaskazini mwa Kenya

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wanasa magunia 20 ya bangi Longido

Jeshi la Polisi mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na askari wa Kampuni ya Jumuiya ya Jamii wamefanikiwa kukamata magunia 20 ya dawa za kulevya aina ya Bangi yaliyotelekezwa kwenye Kijiji cha Olteres wilayani Longido.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi wanasa ‘dada poa’ 15 Dom

JESHI la Polisi Mkoa wa Dodoma limewakamata wanawake 15 wanaodaiwa kufanya biashara ya kuuza miili yao ‘dada poa’ kutoka mikoa mbalimbali nchini. Wanawake hao wamekamatwa wakati wa msako unaoendelea kwenye...

 

11 years ago

Habarileo

Polisi wanasa bastola nyumba ya wageni

JESHI la Polisi wilayani Igunga mkoani Tabora limefanikiwa kukamata bastola katika nyumba ya kulala wageni ambayo inadhaniwa imesahaulika na majambazi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani