Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam: kila mechi Kwetu ni fainali

azam-1NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa Azam FC umesema kwamba kuelekea kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kila mechi watakayocheza itakuwa kama fainali.

Klabu hiyo ipo nafasi ya pili kwenye ligi hiyo ikiwa na tofauti ya pointi moja nyuma ya klabu ya Yanga, ambayo ina pointi 30 baada ya kucheza michezo 12.

Akizungumza na MTANZANIA, Msemaji wa klabu hiyo, Jafari Iddi, alisema kwamba wapo katika maandalizi ya mechi yao dhidi ya Kagera Sugar Jumapili hii.

“Kwa sasa timu inajiandaa kuingia...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KWETU HOUSE- WASHIRIKI 6 KUYAAGA MASHINDANO USIKU HUU USIKOSE KUANGALIA KWETU HOUSE AZAM TV (TWO) SAA TATU NA NUSU USIKU

Msimu wa Pili wa Kwetu House Unaendelea washiriki wanaendelea kuchuana vikali ndani ya Nyumba, Vipajivinaonekana na Ushabiki wa Soka wanaonekana pia. Kama unakumbuka Washiriki waliobahatika kuingia kwenye Nyumba walikuwa 30 baada ya Bootcamp kumalizika na Baada ya hapo Washiriki wameendelea kuyaaga mashindano haya kwa msimu huu wa pili na Wiki hii washiriki 18 ndio wamebaki kwenye Nyumba lakini 6 kati ya hao 18 watayaaga mashindano usiku huu. Kocha ananafasi ya kumuokoa Mshiriki Moja kurudi...

 

10 years ago

GPL

AZAM TV YAZINDUA MSIMU WA PILI WA ‘KWETU HOUSE’

Mkurugenzi Mkuu wa kituo cha Azam TV,  Rhys Torrington, akielezea namna zoezi la kutafuta washindi 20 watakaoingia kwenye mjengo wa Kwetu House kwa mwaka huu kwenye uzinduzi huo ambao umefanyika ndani ya ofisi hizo zilizopo Tazara jijini Dar es Salaam. Meza kuu ya mkutano huo ikisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari. Mkuu wa Kipindi cha…

 

10 years ago

Vijimambo

Mgope Kiwanga Meneja wa Mauzo na Masoko Azam Media Akiongelea Kwetu House







Mgope Kiwanga Meneja wa Mauzo na Masoko Azam Media Akitoa Wito Kwa Watu Wengi Kujitokeza Na Faida Watakazopata Baada Ya Kushiriki Shindano La Kwetu House 2015

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za kufuzu fainali za kombe Afrika

Mechi za kufuzu tiketi ya kushiriki michuano ya Kombe la Afrika zaendelea

 

9 years ago

Raia Mwema

Kila siku wanadai eti vijana hatuna uzalendo. Wao wana uzalendo kwetu?

Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke, mipango miji, machinga, kero vijijini na waishiwa,

Hidaya

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani