Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAYARI KISHALIA HAPA.....

 Gari la kubeba wagonjwa la Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es salaam lenye nambari za usajili SM 9058 likiwa limeigonga kwa nyuma gari nyingine aina ya Toyota Mark II lenye nambari za usajili T 230 ATW kwenye makutano ya mtaa wa Uhuru na Msimbaji.Madereza wa magari yote mawili wakiwa kwenye maelewani mara baada ya kutokea ajali hiyo,mchana wa leo.

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

kishalia hapa usiku huu

Muendesha bodaboda (alieshika kiuno) akizungumza na mmiliki wa gari mara baada ya kupigwa pasi na kupiga mweleka barabarani katika eneo la geti kuu wa kuingilia Mlimani City jijini Dar es salaam usiku huu.Mwenye gari hiyo alikuwa akiingia Mlimani city huku muendesha bodaboda hiyo akiwa barabara kuu akitokea Ubunge kuelekea Mwenge.

 

10 years ago

Vijimambo

HAPA HUDDAH HAPA ZARI BILA DIAMOND HUKO KENYA KULIKONI

Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye pati iliyoandaliwa na Zari na Huddah [Boss Lady wa Uganda na Kenya]. Pati ilifanyika kwenye mgahawa wa Art Of Luxury #Skylux Lounge iliyopo Kenya. Watonyaji wali ng'atana sikio kuhusu mchumba wa Zari kutoka Tanzania mbona akuonekana pembeni na vipi mbona kimbwida cha Zari akionekani hewani kama mkungu wa ndizi au mambo ya Project hadi tumboni?. Jitiririshe na picha za warembo hao hapa chini na ufunge mdomo kimya kimya.   

 

10 years ago

Vijimambo

PICHA 5 ZA USHAHIDI KUWA MAGUFULI HAKAMATIKI HIZI HAPA ONA LIVE DODOMA HAPA!!




Dr Magufuli ndiyo habari ya mjini hii ni ndani ya Dodoma na kutoa ujumbe wakusema kuwa Wafanyakazi wazembe,Nitalala nao mbeleeeeee

 

11 years ago

Tanzania Daima

Baby Madaha: Diamond wa hapa hapa

MWANADADA anayetamba kimataifa kupitia kazi zake, Baby Joseph ‘Baby Madaha’, amedai mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ hamuwezi kwa lolote kwani yeye yupo kimataifa zaidi....

 

10 years ago

Vijimambo

HII HAPA INAMHUSU YULE KIKONGWE ALIYEVUNJA HISTORIA KWA KUJIANDALIA JENEZA, HIZI HAPA SABABU ZINAZOMFANYA AJIANDAE KWA KIFO

Mkazi wa Kijiji cha Lundusi, Kata ya Peramiho, wilayani Songea, Mkoa wa Ruvuma, Bibi Scholastica Mhagama amejiandalia jeneza lake ambalo litatumika kumzikia siku atakayoaga dunia. Bibi Scholastica Mhagama(76) ambaye amejiandalia jeneza lake litakalotumika kumzikia.Akizungumza na gazeti hili mwishoni mwa wiki iliyopita, Scholastica alisema alilitengeneza jeneza hilo zaidi ya miaka mitano iliyopita baada ya kuona anaishi kwa dhiki na anatengwa na baadhi ya watu.“Nilijitengenezea jeneza langu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani