HAPA HUDDAH HAPA ZARI BILA DIAMOND HUKO KENYA KULIKONI
Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye pati iliyoandaliwa na Zari na Huddah [Boss Lady wa Uganda na Kenya]. Pati ilifanyika kwenye mgahawa wa Art Of Luxury #Skylux Lounge iliyopo Kenya. Watonyaji wali ng'atana sikio kuhusu mchumba wa Zari kutoka Tanzania mbona akuonekana pembeni na vipi mbona kimbwida cha Zari akionekani hewani kama mkungu wa ndizi au mambo ya Project hadi tumboni?. Jitiririshe na picha za warembo hao hapa chini na ufunge mdomo kimya kimya.
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo23 Apr
KUHUSU NDOA YA DIAMOND NA ZARI WAGANDA WAZOGOA JITIRIRISHE HAPA CHINI
![](http://t.b5z.net/i/u/2001091/i/swolnft.jpg)
Hapa chini jitiririshe kilichosemwa na chombo kimoja cha habari cha huko kwa majirani zetu Uganda, kama Kikristo kinapanda basi shuka na hii nyatu nyatu hapa chini na utofautishe nini tofauti ya supu na mchuzi.
It's official, Zari and Diamond Platnumz are married. The two lovers tied the knot in TZ at the countries registrar's office. In Tanzania, you must have a certificate of no impediment from your country prior to getting married, the certificate states that there is no impediment to your...
10 years ago
Vijimambo19 Dec
HAPA NA PALE YALIYOJIRI USIKU WA ZARI NA VIVAZI VYEUPE DIAMOND NDANI YA KAMPALA
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/10864893_374359276063658_1036335938_n.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0000.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0001.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0003.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0004.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0007.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0008.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0012.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0013.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0014.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0015.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0016.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/IMG-20141219-WA0017.jpg)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/Screenshot_2014-12-19-01-28-34.png)
![](http://djchokamusic.com/wp-content/uploads/2014/12/Screenshot_2014-12-19-01-28-48.png)
Credit @chokadj
10 years ago
CloudsFM01 May
Picha: Interview ya Zari na Diamond ikiendelea muda huu endelea kutuma maswali yako hapa ‪#‎PB360‬ ‪#‎ZariAllWhiteParty‬
![](http://api.ning.com/files/vlKUFPodnGWNFdGEQSuZgvf8Tkwqd5A1Of4mTXBhfSUP8ymf2PyamFlzA-B258TvGKM72y2wZGgk71n4Eu6dgYR4UUsll3Yk/zari6.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/vlKUFPodnGWoOEssREugtGocRDLAmwklCnGOKduYpPZNWCagfqAOt3lhqk8fTfWBCxyzkMV92gGpWSYlewKV*OqNhajmdK9K/zari5.jpg?width=750)
11 years ago
Tanzania Daima27 Jan
Baby Madaha: Diamond wa hapa hapa
MWANADADA anayetamba kimataifa kupitia kazi zake, Baby Joseph ‘Baby Madaha’, amedai mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nassib Abdul ‘Diamond Platinum’ hamuwezi kwa lolote kwani yeye yupo kimataifa zaidi....
10 years ago
Bongo510 Jan
Huddah amkana mwanaume aliyedai kuwa mpenzi wake, aliyemtangazia Diamond dau la $40,000 ili amuache Zari