Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao wa rushwa mahakamani huu hapa

>Mahakama ni chombo kilichoanzishwa, kwa mujibu wa Katiba na chenye mamlaka kisheria ya kutoa haki katika jamii kuhusu mashauri mbalimbali ya kijinai, mauaji au madai ili mkosaji aadhibiwe na asiye na hatia aachiwe.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mtandao wa rushwa mahakamani uvunjwe

Jana katika safu ya ‘Ndani ya Habari’ tulichapisha habari za uchunguzi zinazothibitisha kwamba kuna mtandao mkubwa ambao umeota mizizi katika mahakama zetu nchini.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kero la rushwa mahakamani TZ

Wiki hii katika Haba na Haba tunaangalia tatizo la rushwa katika mfumo wa mahakama nchini Tz

 

9 years ago

Habarileo

Hakimu mahakamani kwa rushwa

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Shinyanga imemfikisha mahakamani Hakimu Mfawidhi wa Mahakama ya Mwanzo Isungang’holo iliyopo kijiji cha Gimagi kata ya Shaghila wilaya ya Kishapu kwa mashitaka ya kuomba na kupokea rushwa.

 

9 years ago

BBCSwahili

FIFA: Sexwale mahakamani kuhusu rushwa

Tokyo Sexwale amefika mbele ya majaji wa Marekani katika jiji la New York, kama sehemu ya uchunguzi unaoendelea kuhusiana na madai ya ulaji rushwa ndani ya FIFA.

 

10 years ago

Mwananchi

Kulipa faini kwa mtandao kutapunguza rushwa, kero

Rais Jakaya Kikwete, ameliagiza Baraza la Taifa la Usalama Barabarani kuanzisha mfumo wa ulipaji faini za makosa ya madereva kwa njia ya benki na mitandao ya simu za mkononi, ili kupunguza ushawishi wa rushwa kwa askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Polisi: Idris Sultan kupandishwa mahakamani kwa makosa ya mtandao kesho

Msemaji wa polisi nchini humo, David Misime ameiambia BBC kuwa upelelezi wa makosa ya kimtandao huchukua muda lakini wapo tayari kwa kesho kumpeleka mahakamani.

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI MTANDAO IMEPUNGUZA GHARAMA ZA HUDUMA KWA WANANCHI NA MIANYA YA RUSHWA SERIKALINI-Dkt.MWANJELWA

Na. Aaron Mrikaria-Dodoma Utoaji huduma kupitia Serikali Mtandao katika Taasisi za Umma nchini umekuwa na tija kwa wananchi kwa kuwapunguzia gharama za kusafiri umbali mrefu kufuata huduma katika Taasisi za Umma, ikiwa ni pamoja na kupunguza mianya ya rushwa kwa watumishi wanaowahudumia wananchi  katika taasisi za umma. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Dkt. Mary Mwanjelwa jijini DODOMA wakati akizungumzia maboresho ya huduma...

 

5 years ago

Michuzi

TAKUKURU KUWAFIKISHA MAHAKAMANI WATUMISHI SABA TPA ,WAKILI WA KUJITEGEMA KWA TUHUMA ZA MAKOSA YA RUSHWA, UHUJUMU UCHUMI NA WIZI WA SH.BILIONI NANE


Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WATUMISHI saba wa Mamlaka ya Bandari Tanzania(TPA) pamoja na Wakili wa Kujitegemea kutoka Kampuni ya Mnengele &Associates na ELA Advocatee watafikishwa mahakamani wakati wowote kwa kushtakiwa kwa tuhuma za makosa ya rushwa na uhujumu uchumi.
Hayo yameelezwa leo Juni 12 mwaka 2020 na Kaimu Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU) Mkoa wa Mwanza Daud Ndyamukama kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari ambapo amefafanua watumishi hao tayari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani