Wiki ya Werema, Muhongo, Maswi
MACHO na masikio wiki hii yataelekezwa zaidi mjini Dodoma, kujua hatma ya watuhumiwa wanaodaiwa kuchota zaidi ya sh bilioni 300, zilizohifadhiwa kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-HSuUDFknyEQ/U-2bMXdFksI/AAAAAAAF_uc/6rgPuiaI4MM/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
Wachina waonesha nia kuwekeza sekta ya madini, wakutana na Muhongo, Maswi, muhongo asisitiza hakuna kusafirisha madini ghafi
10 years ago
VijimamboWerema,Maswi,Mboma wapumulia mashine
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inatarajia kuwahoji Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick...
11 years ago
Tanzania Daima02 Jul
Shida si Jaji Werema, Maswi bali JK
MATUSI, vitisho na kauli za rejereja zilizotolewa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Fredrick Werema na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi dhidi ya wabunge David...
11 years ago
Mwananchi28 Jun
MVUTANO: Werema, Maswi, Kafulila ngoma nzito
10 years ago
Vijimambo19 Nov
Ushiriki wa Werema,Maswi IPTL huu hapa
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Warema-November19-2014.jpg)
Joto la uchunguzi wa hamisho la zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme baina ya Kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) likizidi kupanda, taarifa za kiuchunguzi zinaonyesha kuwa kazi itakuwa nzito kwa wakuu wa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Wizara ya Nishati na Madini na Benki Kuu...
11 years ago
Tanzania Daima31 May
Sendeka: Muhongo, Maswi wezi
WABUNGE jana waligeuza Ukumbi wa Bunge sehemu ya mnyukano baada ya baadhi yao kushambuliana, huku wakituhumiana kwa wizi na wamehongwa na uongozi wa Kampuni ya kufua umeme wa dharura ya...
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Ole Sendeka awashukia Muhongo, Maswi
10 years ago
Habarileo09 May
Profesa Muhongo, Katibu Maswi safi
UCHUNGUZI dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo na aliyekuwa Katibu wake, Eliakim Maswi, umebaini kuwa viongozi hao hawakukiuka maadili yoyote katika sakata la utoaji wa karibu Sh bilioni 300 zilizokuwa katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyokuwa Benki Kuu (BoT).