Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lissu ahoji Werema kuwafumbia macho vigogo wanaotajwa Escrow

Baada ya kumshambulia Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, wapinzani sasa wamemshukia Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema na kumbana, wakidai ameshindwa kuchukua hatua yoyote dhidi ya vigogo wa serikali waliotajwa kuhusika katika kashfa ya kampuni ha IPTL ya uchotwaji wa Sh. bilioni 306 katika akaunti ya Tegeta Escrow, iliyoko Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Vigogo hao ni pamoja na mawaziri wa sasa na wa zamani, mwanasheria mkuu wa serikali wa zamani, majaji wa mahakama kuu na Gavana...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Jaji Werema ampongeza Lissu

>Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amempongeza Mnadhimu wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu, kwa kile alichokiita kuwa ni kuwa na kifua kipana cha kujali masilahi ya Taifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lissu, Werema wavutana bungeni

WANASHERIA nguli, Tundu Lissu na Frederick Werema, jana walizusha mvutano mkubwa bungeni juu ya Mamlaka ya Bunge Maalumu la Katiba.  Mvutano huo ulitokana na uwasilishaji mada uliofanywa na Werema juu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Lissu amchapa Jaji Werema

MNADHIMU  wa Kambi Rasmi ya Upinzani, Tundu Lissu, amemvaa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, (AG), Jaji Fedrick Werema kuwa  ameliingiza hasara taifa kwa kushindwa kuzuia  wizi wa fedha zaidi y ash bilioni 300, zilizohifadhiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Escrow yamng`oa Werema

  Kikwete amkubali kujiuzuluMwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema, amejiuzulu.Jaji Werema amelazimika kujiuzulu kufuatia shinikizo kubwa kutoka kwa makundi kadhaa ya jamii na ushauri wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Rais Jakaya Kikwete, kutaka amfute kazi kutokana na kuhusishwa kwake na kashfa ya wizi wa zaidi ya Sh. bilioni 300 kutoka akaunti ya Tegeta Escrow katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Jaji Werema alijiuzulu jana kupitia barua yake aliyomwandikia Rais...

 

10 years ago

Daily News

Werema resigns over Escrow saga


Daily News
Werema resigns over Escrow saga
Daily News
THE Attorney General, Judge Frederick Werema, has resigned – effective on Tuesday. According to a statement sued by the Directorate of Presidential Communications in Dar es Salaam last night, President Jakaya Kikwete has accepted the resignation.

 

10 years ago

Habarileo

Werema asisitiza fedha za Escrow si za umma

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Jaji Frederick Werema (kushoto) akisalimiana na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma jana. Katikati ni Mbunge wa Bariadi Magharibi, Andrew Chenge. (Na Mpigapicha Wetu).MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Jaji Federick Werema, amesema kwa msimamo wake, fedha za akaunti ya Tegeta Escrow zilizokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT), hazikuwa za umma na sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL), ni upuuzi.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow yamng’oa Mwanasheria Mkuu Jaji Werema

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia jana kutokana na kuhusishwa na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Lissu amtaja JK sakata la escrow

Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu amemtaja Rais Jakaya Kikwete kuwa sehemu ya mgogoro mzima wa Kampuni ya kufua umeme ya IPTL tangu ilipoingia nchini mwaka 1994.

 

10 years ago

Mtanzania

Vigogo kizimbani mgawo Escrow

2Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, limeanza kuchukua sura mpya baada ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuwafikisha mahakamani vigogo wawili wa Serikali.
Vigogo hao, waliofikishwa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana, ni Mhandisi Mkuu wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA), Theophillo Bwakea na Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani