Lissu adai wajumbe 201 ni janja ya CCM
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema wamejiridhisha kuwa CCM ilitumia ujanja kuongeza wanachama wake kupitia nafasi 201 za wajumbe wateule wa rais.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog04 Sep
Wajumbe Kundi la 201 watoa tamko dhidi ya wanaolichafua Bunge Maalum la Katiba na Wajumbe wa kundi hilo
Askofu Amos Muhagachi akitoa tamko juu ya tuhuma mbalimbali dhidi ya kundi la 201 la wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba jana 03 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Spika, Mjini Dodoma.
Na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma.
WAWAKILISHI wa Taasisi za dini wa Bunge Maalum la Katiba toka wajumbe 201 wametoa tamko lao dhidi ya tuhuma mbalimbali zinazoendelea katika kulichafua Bunge hilo ikiwemo baadhi ya wajumbe wa kundi hilo wakituhumiwa kudaiwa kupewa rushwa.
Tamko hilo limetolewa jana 03 Septemba,...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Jussa adai Sitta anawapendelea wajumbe wanaotoka CCM
11 years ago
Tanzania Daima17 Apr
Raawu yawajia juu wajumbe 201
KATIBU wa Chama cha Wafanyakazi wa Taasisi za Elimu ya Juu, Utafiti na kazi nyinginezo (Raawu) Mkoa wa Dodoma, Ramadhan Mwendwa, amewashambulia baadhi ya wajumbe wa kundi la 201 kukaa...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
‘Wajumbe 201 Bunge la Katiba wapigwe msasa’
11 years ago
Mwananchi19 Apr
Lissu adai hati iliyopelekwa bungeni ni ‘feki’
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Lissu: Wajumbe wa Bunge la Katiba hawana sifa
MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, amesema wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba walioteuliwa hivi karibuni wengi wao hawana sifa ya kuingia katika bunge hilo. Akizungumza na Tanzania Daima kwa...
11 years ago
Tanzania Daima12 May
CHADEMA yabaini janja ya CCM
ZIARA ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoani wa Geita, imeibua madudu ya kutisha yanayofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), ikiwa ni pamoja na uandikishaji wa daftari la makazi...
11 years ago
Mwananchi10 Mar
Kijo-Bisimba adai wajumbe hawaaminiani
11 years ago
Michuzi04 Sep
TAARIFA YA WAWAKILISHI WA TAASISI ZA DINI WA BUNGE MAALUM LA KATIBA TOKA WAJUMBE 201 KUHUSU MWENENDO WA SHUGHULI ZA BUNGE MAALUM LA KATIBA