Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jussa adai Sitta anawapendelea wajumbe wanaotoka CCM

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ismail Jussa Ladhu anaendelea kulia na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta kuwa anawaburuza.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lissu adai wajumbe 201 ni janja ya CCM

>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema wamejiridhisha kuwa CCM ilitumia ujanja kuongeza wanachama wake kupitia nafasi 201 za wajumbe wateule wa rais.

 

11 years ago

Mwananchi

Kijo-Bisimba adai wajumbe hawaaminiani

Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Dk. Helen-Kijo Bisimba amepinga utaratibu wa upigaji wa kura katika kupitisha Rasimu ya Katiba Mpya akisema wajumbe wengi hawaaminiani ndiyo maana kuna mvutano katika suala la kura.

 

11 years ago

TheCitizen

Jussa claims CCM main violator of the Constitution

Ruling CCM was yesterday accused of violating the Constitution Review (Amendment) Act, 2013 by sticking to its guns on the two-government Union in the new Katiba writing process.

 

10 years ago

Habarileo

Sitta ataka wajumbe kuzingatia ratiba

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amewataka wajumbe wa Bunge hilo kuzingatia ratiba waliyopewa, ili wamalize kazi iliyo mbele yao kwa muda mwafaka.

 

11 years ago

Mwananchi

Mjumbe wa Bunge la #Katiba alia na Sitta, adai ‘kawabania’ nyaraka muhimu [VIDEO]

Mjumbe wa Bunge hilo anayewakilisha Vyama vya Wafanyakazi, Ezekiah Oluoch, amesema kuwa wao walipewa randama yenye muhtasari tu wa mapendekezo yaliyowakilishwa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba, ambayo haijitoshelezi.

 

11 years ago

Mwananchi

‘Msipofuata kanuni, tusilaumiane,’ Sitta awaonya wajumbe wa #Bunge la #Katiba [VIDEO]

>Sitta aasa wajumbe wafanye kazi iliyowapeleka Dodoma bila manung’uniko wala lawama.

 

11 years ago

Habarileo

DC adai viongozi CCM wanamchafua

MKUU wa Wilaya ya Kaliua, Saveri Maketta amelalamikia viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo, kwa kile anachodai hakimpi ushirikiano, badala yake wanamchafua kwa wananchi. Maketta alisema anafanya jitihada kubwa kuhamasisha na kusimamia shughuli za maendeleo ya wananchi wa wilaya hiyo, lakini chama kinamkatisha tamaa na anachafuliwa aonekane hafai.

 

11 years ago

Mwananchi

Lipumba adai JK alitishwa CCM

Ziara ya siku 12 ya viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge, imeibua mengi kuhusu Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unaendelea nchini.

 

11 years ago

Habarileo

Sitta apita CCM

Samuel SittaKAMATI ya Uongozi ya Chama Cha Mapinduzi ( C C M ) imempitisha Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, kwa kauli moja kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani