DC adai viongozi CCM wanamchafua
MKUU wa Wilaya ya Kaliua, Saveri Maketta amelalamikia viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilayani humo, kwa kile anachodai hakimpi ushirikiano, badala yake wanamchafua kwa wananchi. Maketta alisema anafanya jitihada kubwa kuhamasisha na kusimamia shughuli za maendeleo ya wananchi wa wilaya hiyo, lakini chama kinamkatisha tamaa na anachafuliwa aonekane hafai.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi25 May
Lipumba adai JK alitishwa CCM
Ziara ya siku 12 ya viongozi wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge, imeibua mengi kuhusu Mchakato wa Mabadiliko ya Katiba unaendelea nchini.
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-RcYrUf6aI_o/VfajtJr3U3I/AAAAAAAADww/GoQ42vVVldM/s72-c/IMG_1416.jpg)
MGOMBEA MWENZA CCM APUKUTISHA UPINZANI LINDI, 61 WAJUNGA NA CCM WAMO VIONGOZI
![](http://3.bp.blogspot.com/-RcYrUf6aI_o/VfajtJr3U3I/AAAAAAAADww/GoQ42vVVldM/s640/IMG_1416.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DA7Qkg9Y5A0/VfakC6O_KWI/AAAAAAAADxQ/eOYvgEFdW5I/s640/IMG_1478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-mTwoZiCCA/VfagrcUZhzI/AAAAAAAADuo/-eLjL-E3L18/s640/IMG_1054.jpg)
9 years ago
Dewji Blog15 Sep
Mgombea mwenza CCM aupukutisha upinzani Lindi, 61 wajiunga CCM, wamo viongozi
![](http://3.bp.blogspot.com/-RcYrUf6aI_o/VfajtJr3U3I/AAAAAAAADww/GoQ42vVVldM/s1600/IMG_1416.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DA7Qkg9Y5A0/VfakC6O_KWI/AAAAAAAADxQ/eOYvgEFdW5I/s1600/IMG_1478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-mTwoZiCCA/VfagrcUZhzI/AAAAAAAADuo/-eLjL-E3L18/s1600/IMG_1054.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ukNw3QKRXiY/VfvtSzDeWdI/AAAAAAABVU8/F-LcUeczpf0/s72-c/12038431_785458398231803_3528898794948630829_n.png)
VIONGOZI WOTE WA CCM WA KATA YA MKOMAZI NA WAPIGA KURA 1,400 WA CCM WAHAMIA CHADEMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ukNw3QKRXiY/VfvtSzDeWdI/AAAAAAABVU8/F-LcUeczpf0/s640/12038431_785458398231803_3528898794948630829_n.png)
11 years ago
Mwananchi15 Apr
Lissu adai wajumbe 201 ni janja ya CCM
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Tundu Lissu amesema wamejiridhisha kuwa CCM ilitumia ujanja kuongeza wanachama wake kupitia nafasi 201 za wajumbe wateule wa rais.
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-lsB2tZ1SYBw/VfalcL8IjGI/AAAAAAAADyg/ww5dqfUWcMU/s72-c/IMG_1570.jpg)
Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Hassan apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi
.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lsB2tZ1SYBw/VfalcL8IjGI/AAAAAAAADyg/ww5dqfUWcMU/s1600/IMG_1570.jpg)
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu akizungumza na wanaCCM pamoja na wananchi viwanja vya Mnazi Mmoja.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi, Bi. Samia Suluhu.
Umati wa wanaCCM na wapenzi wa chama hicho ukiwa umefurika katika uwanja wa Mnazi Mmoja nje kidogo ya mji wa Lindi Mjini kwenye mkutano wa kampeni wa mgombea mwenza wa...
![](http://3.bp.blogspot.com/-lsB2tZ1SYBw/VfalcL8IjGI/AAAAAAAADyg/ww5dqfUWcMU/s1600/IMG_1570.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dOgyCVEL27o/VfalhQiRu5I/AAAAAAAADyo/rY8XXlFP0PI/s1600/IMG_1589.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DA7Qkg9Y5A0/VfakC6O_KWI/AAAAAAAADxQ/eOYvgEFdW5I/s1600/IMG_1478.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0-mTwoZiCCA/VfagrcUZhzI/AAAAAAAADuo/-eLjL-E3L18/s1600/IMG_1054.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SDhgST2Am3X8DkBaSEri4PU-wGi3xpc-SHT7uo1tqRol7A*HV-vA2ZKCYJRg5T9C8k8fl2bCblB*MT2ho95kgVAcpGxu-7uN/auntezekiel1.jpg)
AUNT EZEKIEL ADAI AMEZALIWA KISARAWE, SIYO CCM
Staa wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’. STAA wa Bongo Movies, Aunt Ezekiel ‘mama Cookie’ amewajia juu wanaomsema kuwa amekikacha Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kukimbilia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuwa hajazaliwa na chama hicho bali amezaliwa Kisarawe. Akiendelea kucharuka mbele ya Amani, Aunt alisema kuwa hata kama huko alipo wakishindwa atakubali matokeo kwa kuwa lazima...
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Mchungaji Msigwa adai CCM inakwepa kodi ya majengo
Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa ameituhumu CCM kuwa ni miongoni mwa taasisi zinazokwepa kulipa kodi ya majengo na kuisababishia hasara Serikali.
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Jussa adai Sitta anawapendelea wajumbe wanaotoka CCM
>Mjumbe wa Bunge la Katiba, Ismail Jussa Ladhu anaendelea kulia na Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta kuwa anawaburuza.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania