Kalapina adai akiwa mbunge hatosita kutoa kichapo kwa wenzie watakaomletea upuuzi
Rapper Kalapina ambaye anatarajia kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuusaka ubunge wa jimbo la Kinondoni, amesema kuwa akipata fursa hiyo hatosita kusambaza kichapo kwa wabunge wenzie pindi wanapokuwa na malumbano ndani ya mjengo. Akiongea kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM, Kalapina amedai kuwa atatembeza ‘nakozi’ kwakuwa anatambua hakuna sheria inayoweza kumbana kutokana na kufanya […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo506 Feb
Kalapina adai ‘Good Time’ aliyomshirikisha Ommy Dimpoz imemuongezea mashabiki wa kike
10 years ago
Dewji Blog03 Jun
Mbunge adai kwa miaka 15 hajawahi kusinzia bungeni
Mbunge wa viti maalum mkoa wa Singida, Diana Chilolo (wa kwanza kushoto) akipokelewa na kikundi cha uhamasishaji cha Nyota cha Mandewa manispaa ya Singida. Chilolo alifanya ziara ya kikazi katika manispaa ya Singida hivi karibuni na kuwataka wanawake kuondoa woga na kujitokeza kwa wingi kuomba nafasi za uongozi katika uchaguzi mkuu ujao.
Mbunge wa viti maalum mkoa na Mwenyekiti wa UWT mkoa wa Singida, Diana Chilolo,akizungumza na wajumbe wa Baraza la UWT Singida vijijini ambapo aliwataka...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1JdBK3UPWrQ/VX5WYbNumAI/AAAAAAAAQ5c/i9IiZLZM03Q/s72-c/E86A0271%2B%2528800x533%2529.jpg)
MBUNGE WA ARUMERU MASHARIKI NASSAR AISHUKURU BENKI YA NMB KWA MISAADA INAYOENDELEA KUTOA KWA WANANCHI
![](http://3.bp.blogspot.com/-1JdBK3UPWrQ/VX5WYbNumAI/AAAAAAAAQ5c/i9IiZLZM03Q/s640/E86A0271%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-xeEmQaUwEKI/VX5WS4hu_3I/AAAAAAAAQ4s/9NZmjn9DIdA/s640/E86A0199%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kUpcv3gRG4c/VX5WL5KGcYI/AAAAAAAAQ3g/pRr8uDIcsZE/s640/E86A0173%2B%2528800x533%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-xlfIIs7vNV8/VX5WOQoK2jI/AAAAAAAAQ30/mIkNJKMvXvo/s640/E86A0181%2B%2528800x533%2529.jpg)
9 years ago
Raia Mwema16 Dec
Tutapuuzwa kwa upuuzi wetu kitaifa
WIKI iliyopita niliandika makala yenye kichwa cha habari “Rais Magufuli na Slack Management Style
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mzalendo Zanzibar25 Aug
Nape: Ni UPUUZI Kwa ICC Kufuatilia Uchaguzi wa Tanzania
Tuesday, August 25, 2015 Baada ya Muendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya kimataifa ya uhalifu (ICC) kusema kuwa wanaufuatilia kwa makini uchaguzi mkuu wa Tanzania kuhakikisha hakuna haki za binadamu zitakazo kiukwa, Katibu wa itikadi na […]
The post Nape: Ni UPUUZI Kwa ICC Kufuatilia Uchaguzi wa Tanzania appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W5YYGmodFMc/U4DnAc8YLUI/AAAAAAACiBs/AP8dRzJqzxM/s72-c/Dr,+Mwanjelwa+magoti+(1).jpg)
MBUNGE VITI MAALUM MKOA WA MBEYA DKT.MARRY MWANJELWA ATEMBELEA NA KUTOA POLE KWA WAATHIRIKA WA MAFURIKO WILAYANI KYELA
![](http://4.bp.blogspot.com/-W5YYGmodFMc/U4DnAc8YLUI/AAAAAAACiBs/AP8dRzJqzxM/s1600/Dr,+Mwanjelwa+magoti+(1).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DdQ_-7NWH9A/U4Dm__AuMwI/AAAAAAACiBo/MkWxvfd7gb0/s1600/Dr.+Mwanjelwa+kabidhi.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3YX5i7K88Ay9FUvKm5M-ghX5pA2A8ZgHU2pFjkxPDwX4zaKSR9rlcA2bi9n-dm4NsaW2RK12j*45ivEsTZPB5qFD-G0Yx3qU/kiba.gif?width=650)
MSANII ADAI KUTOA MIMBA YA ALI KIBA
10 years ago
Vijimambo05 Oct
Mbunge adai watumishi wa serikali wanadhoofisha maendeleo
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Omar-Nundu--October5-2014.jpg)
Alisema halmashauri zimeshindwa kutimiza ahadi ambazo serikali imezitoa kwa wananchi kutokana na watumishi kukosa uaminifu.
Nundu ambaye aliwahi kuwa Waziri wa Uchukuzi, aliyasema hayo jana katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Tangamano mjini hapa ikiwa ni sehemu ya ziara ya Katibu Mkuu wa Chama Cha...
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Mbunge adai kuvuliwa nguo bungeni,Kenya
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10