Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tutapuuzwa kwa upuuzi wetu kitaifa

WIKI iliyopita niliandika makala yenye kichwa cha habari “Rais Magufuli na Slack Management Style

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Nani adui wa umoja wetu wa kitaifa?

HAKUNA taifa linaloweza kusimama bila ya kuwa na umoja wa kitaifa. Tanzania imesimama imara hadi leo hii kwa sababu ya umoja wa kitaifa uliojengwa na waasisi wa taifa letu. Tunasifiwa...

 

10 years ago

Vijimambo

UMOJA WETU WA KITAIFA UKIPUUZWA, TAIFA LITAANGAMIA

Tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai sisi Watanzania huku akitutia moyo wa kudumisha amani na utulivu katika taifa letu.Baada ya kusema hayo nianze mada yangu leo kwa kutahadharisha kuwa kwa hali ilivyo sasa hapa nchini, kunahitaji chombo cha kujenga umoja miongoni mwetu ili amani ambayo ni tunu ya taifa iendelee kudumu.Kwangu naona chombo hicho ni muhimu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu.Chombo hicho kisiwe chini ya vyama vya siasa, dini, ukanda wala ukabila kwani hakuna nchi...

 

10 years ago

GPL

UMOJA WETU WA KITAIFA UKIPUUZWA, TAIFA LITAANGAMIA

Tumshukuru Mungu kwa kutupa uhai sisi Watanzania huku akitutia moyo wa kudumisha  amani na utulivu katika taifa letu.Baada ya kusema hayo nianze mada yangu leo kwa kutahadharisha kuwa kwa hali ilivyo sasa hapa nchini, kunahitaji chombo cha kujenga umoja miongoni mwetu ili amani ambayo ni tunu ya taifa iendelee kudumu. Kwangu naona chombo hicho ni muhimu hasa wakati huu tunapoelekea kwenye uchaguzi mkuu.
Chombo hicho kisiwe...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Nape: Ni UPUUZI Kwa ICC Kufuatilia Uchaguzi wa Tanzania

Tuesday, August 25, 2015 Baada ya Muendesha mashtaka mkuu wa Mahakama ya kimataifa ya uhalifu (ICC) kusema kuwa wanaufuatilia kwa makini uchaguzi mkuu wa Tanzania kuhakikisha hakuna haki za binadamu zitakazo kiukwa, Katibu wa itikadi na […]

The post Nape: Ni UPUUZI Kwa ICC Kufuatilia Uchaguzi wa Tanzania appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Bongo5

Kalapina adai akiwa mbunge hatosita kutoa kichapo kwa wenzie watakaomletea upuuzi

Rapper Kalapina ambaye anatarajia kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kuusaka ubunge wa jimbo la Kinondoni, amesema kuwa akipata fursa hiyo hatosita kusambaza kichapo kwa wabunge wenzie pindi wanapokuwa na malumbano ndani ya mjengo. Akiongea kwenye kipindi cha Leo Tena cha Clouds FM, Kalapina amedai kuwa atatembeza ‘nakozi’ kwakuwa anatambua hakuna sheria inayoweza kumbana kutokana na kufanya […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Tuachane na upuuzi wa picha za mitandaoni

NIMESHANGAZWA na kusikitishwa sana na habari iliyotanda kwa sasa nchini kuhusu picha za kipuuzi zinazotolewa kwenye mitandao ya kijamii. Picha hizo zimefikia hata kuliteka Bunge letu, wabunge wameharibu muda wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Upuuzi wa ubaguzi ni busara au hasara?

Kwa kusoma magazeti, ungedhani kwamba watu wote nchini wanavutiwa na hesabu tu, hesabu za Serikali na jinsi ya kuhesabu kura. Kumbe wengi hawamo kabisa katika hayo. Hebu ona barua hii.

 

9 years ago

Raia Mwema

CCM itakuwa historia ikiendeleza upuuzi huu

WIKI iliyopita nilisema kwamba haiwezekani kuwa na chama cha siasa ambacho kinataka ridhaa ya kuw

Mwandishi Wetu

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Madai ya wanasayansi kuhusu 5G ni 'upuuzi mtupu'

Madai kuhusu madhara ya 5G katika mfumo wa kinga au kusambaa kwa virusi yamelaaniwa na jamii ya wanasayansi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani