Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watumishi waliokwamisha maendeleo ya miaka mitatu ya Halmashauri kuwajibishwa.

Mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh.Joachim Wangabo amemuagiza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kuwawajibisha watumishi wote walioisababishia halmashauri hiyo kupata hati yenye shaka na kumpatia taarifa ya hatua alizochukua kwa watumishi hao ndani ya siku saba kabla ya mabaraza ya madiwani kuvunjwa.

Amesema kuwa kwa mujibu wa maelekezo ya Katibu Mkuu Ofisi ya Raisi Tawala za Miko ana Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI) yaliyotolewa tarehe 24, April, 2020 kuhusu kushughulikia hoja na mapendekezo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi yaunda Bodi mpya ya Afya yenye wajumbe 11 kwa miaka mitatu

DC

Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani, Singida Manju Msambya akizungumza na wajumbe wa bodi ya afya ya Wikaya ya Ikungi kwenye ukumbi wa Lake Hill Singida Motel, wakati wa uzinduzi wa bodi mpya ya halmashauri hiyo.

Na Hillary Shoo,IKUNGI.

Halmashauri ya Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida imeunda bodi mpya ya afya yenye wajumbe 11 na kamati za afya za vituo kwa kipindi cha miaka mitatu ili kufanikisha kuwepo kwa miundo ya kijamii na kitaasisi ambayo itaongeza madaraka na mamlaka ya jamii juu ya...

 

9 years ago

StarTV

Watumishi 9 Halmashauri ya Kigoma Ujiji wasimamishwa kazi

Ofisi ya mkuu wa mkoa wa Kigoma   imewasimimisha kazi watumishi tisa wa halmashauri ya manispaa ya Kigoma Ujiji ili  kupitisha uchunguzi zaidi juu ya tuhuma  za ubadhilifu wa fedha   unaohusisha  uuzwaji   wa jengo la KIGODECO   na viwanja 12 vya manispaa hiyo  na  kuisababishia manispaa hiyo kupata hasara ya mamilioni ya fedha.

Kusimamishwa kwa watumishi hao kunakuja ikiwa ni takribabi wiki moja tangu waziri mkuu Kasimu Majaliwa alipokuwa  mkoani kigoma kumueleza katibu tawala wa mkoa huo ...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Atupwa jela miaka mitatu

MAHAKAMA ya Wilaya Ilala imemuhukumu Mwanamuziki wa Bendi ya Achigo, Frank Ndokezi (41) kutumikia kifungo cha miaka mitatu jela kwa kosa kuiibia Ofisi ya Usaki Sacos Sh. milioni 19.8, kutakiwa kulipa faini ya fedha hizo mara baada ya kumaliza kutumikia adhabu hiyo

Hukumu hiyo ilitolewa jana Mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi Juma Hassan, Wakili wa Serikali Ferista Mosha.

Hakimu Hassan alisema upande wa mashitaka ulikuwa na mashahidi watano waliotoa ushahidi ili kuweza kuthibitisha...

 

5 years ago

Michuzi

Hoja za CAG zawaweka matatani watumishi watatu wa Halmashauri

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Wilaya ya Nkasi kuwakamata watumishi watatu wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kwa kula fedha zilizotokana na makusanyo ya Halmashauri na kujikopesha bila ya kuziwasilisha Benki na hatimae kuendelea kuibua hoja za Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG).

Mh. Wangabo ameipa TAKUKURU siku saba kuhakikisha watumishi hao waliokula kiasi cha Shilingi 27,674,300/= wanarudisha...

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU MIAKA MITATU YA MWANAHABARI MWANGOSI

Aliyekuwa Katibu wa klabu ya waandishi wa habari mkoa wa Iringa Frank Leonard (Kulia) akifungua mkutano mkuu wa IPC jana katika ukumbi wa Maktaba ya Iringa katikati ni Daud Mwangosi ambaye alikuwa ni mwenyekiti wa IPC akifikiri jambo.Aliyekuwa mwenyekiti wa IPC Daud Mwangosi (kushoto) akihojiwa na mzee wa matukio daima Bw Francis Godwin  ambaye alikuwa ni katibu msaidizi wa IPC juu ya wanahabari kudumisha umoja na mshikamano wakati wa uhai wake.

Mwandishi wa habari wa Chanel Ten mkoa wa...

 

10 years ago

Habarileo

Mkurugenzi TBS jela miaka mitatu

ALIYEKUWA Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Charles Ekelege, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela, baada ya kupatikana na hatia ya matumizi mabaya ya madaraka na kutoa msamaha wa ada ya utawala kwa kampuni mbili bila kibali.

 

10 years ago

GPL

MIAKA MITATU MUHIMBILI BILA MATIBABU

Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) anayesumbuliwa na uvimbe usoni. Na Haruni Sanchawa/Uwazi Alikuja Muhimbili ili akafanyiwe upasuaji India, alipelekwa akarudishwa bila kutibiwa, awaita ndugu zake hospitalini. Kijana Amosi Ng’arare Marale Sasi,(22) mkazi wa Kijiji cha Kizaru, Kata ya Mryaza, wilayani Musoma Vijijni amepoteza mwelekeo wa maisha baada ya ndoto yake ya kusoma hadi chuo kikuu kuishia njiani...

 

10 years ago

Mtanzania

Mwandishi atakayepotosha jela miaka mitatu

agNa Fredy Azzah, Dodoma

BUNGE limetuma salamu kwa vyombo vya habari na waandishi wa habari kwa kupitisha Muswada wa Takwimu wa Mwaka 2013, ambao pamoja na mambo mengine unataka mwandishi atakayefanya makosa kwenye kuripoti taarifa za takwimu kufungwa jela miaka mitatu ama kutozwa faini ya Sh milioni 10.

Muswada huo umepitisha wakati ambapo, Machi 31, mwaka huu Serikali inatarajiwa kuwasilisha muswada wa Sheria ya Kupata Habari wa Mwaka 2015 na ule wa Vyombo vya Habari wa Mwaka 2015, yote kwa...

 

10 years ago

Habarileo

Wivu wampeleka jela miaka mitatu

MAHAKAMA ya Wilaya ya Ilala, Dar es Salaam, imemhukumu Rebecca Nyangolema (30) kifungo cha miaka mitatu jela pamoja na kulipa fidia ya Sh 350,000 baada ya kupatikana na hatia ya kumshambulia kwa maji ya moto mlalamikaji na kumsababishia maumivu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani