VITISHO: NCCR wataka Serikali imlinde Kafulila
>Chama cha NCCR-Mageuzi kimeitaka Serikali kumpa ulinzi wa kutosha mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama kidete bungeni akitaka suala la uchotaji fedha kwenye akaunti ya Escrow kutoka Benki Kuu (BoT) lichunguzwe.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL18 Sep
9 years ago
TheCitizen01 Nov
NCCR's Kafulila to take results to court
11 years ago
Habarileo07 Jul
NCCR-Mageuzi yamkingia kifua Kafulila
KITENGO cha Vijana wa Chama cha NCCRMageuzi kimesema kinamuunga mkono mbunge wa Kigoma Kusini kupitia chama hicho, David Kafulila, kuhusu harakati za kutaka uchunguzi huru kuhusu suala la fedha za akaunti ya Escrow iliyokuwa Benki Kuu (BoT) inayoihusu kampuni ya IPTL.
10 years ago
Habarileo29 Mar
Kafulila: Sina sababu ya kuhama NCCR-Mageuzi
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila, ambaye ni Katibu Mwenezi wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amesema hana sababu yoyote ya kuhama chama chake na kujiunga na chama kipya cha siasa cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania).
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Kigoma wataka waunganishwe kesi ya Kafulila
WANANCHI wa Kigoma Kusini, wamesema wapo tayari kuunganishwa katika kesi ya mbunge wao, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), wakidai kuwa sasa kiburi cha Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inabidi kifike mwisho....
10 years ago
Mwananchi26 Jan
NCCR-Mageuzi wataka Rugemalira, Tibaijuka, Chenge wafikishwe mahakamani
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LRygVDv2v1k/VbshlAfA8GI/AAAAAAAC9HQ/q5WA-2_UKC4/s72-c/20150731001752%2B%25281%2529.jpg)
MHE.DAVID KAFULILA ACHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE TENA KATIKA JIMBO LA KIGOMA KASINI KUPITIA CHAMA CHA NCCR-MAGEUZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-LRygVDv2v1k/VbshlAfA8GI/AAAAAAAC9HQ/q5WA-2_UKC4/s640/20150731001752%2B%25281%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-1EbRIC714rs/VbshkxylXSI/AAAAAAAC9HY/aRKslwIemZk/s640/20150731001752.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-CDOdbBx4crA/VbshlrvvdJI/AAAAAAAC9HU/QQsvFOWIFjI/s640/20150731001754.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vhcWFlabuSI/Vbshmm347FI/AAAAAAAC9Hc/XIiioSl_OPw/s640/20150731001757.jpg)
11 years ago
Mwananchi05 Jul
Serikali: NCCR Mageuzi fuateni taratibu
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Kafulila adai Serikali inataka kumuua