Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kigoma wataka waunganishwe kesi ya Kafulila

WANANCHI wa Kigoma Kusini, wamesema wapo tayari kuunganishwa katika kesi ya mbunge wao, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), wakidai kuwa sasa kiburi cha Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inabidi kifike mwisho....

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

VITISHO: NCCR wataka Serikali imlinde Kafulila

>Chama cha NCCR-Mageuzi kimeitaka Serikali kumpa ulinzi wa kutosha mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama kidete bungeni akitaka suala la uchotaji fedha kwenye akaunti ya Escrow kutoka Benki Kuu (BoT) lichunguzwe.

 

10 years ago

IPPmedia

Kigoma South legislator, David Kafulila


IPPmedia
Kigoma South legislator, David Kafulila
IPPmedia
Some Members of Parliament and top government officials have been associated with tax evasion, with stakeholders demanding that the law take its course. Speaking at a 2015/16 budget review session over the weekend in Dar es Salaam, stakeholders ...

 

10 years ago

Habarileo

Mwanasheria atangaza kumvaa Kafulila Kigoma

WAKATI mchakato wa kutangaza nia ukiendelea kwa wagombea wa nafasi ya urais nchini, Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma Iddi Ndabhona ametangaza nia kuwania ubunge katika jimbo la Kigoma Kusini wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kafulila apeleka kashfa ya Escrow Kigoma

MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR Mageuzi), ameanza ziara ya wiki mbili mkoani Kigoma, akiambatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mosena Nyambabe wakipeleka kwa wananchi sakata la ufisadi...

 

10 years ago

IPPmedia

Kigoma South MP Kafulila in court over alleged use of abusive language.


IPPmedia
Kigoma South MP Kafulila in court over alleged use of abusive language.
IPPmedia
Kigoma South Member of Parliament, David Kafulila, was yesterday charged at the Kigoma District court for allegedly using abusive language against Uvinza District Commissioner, Hadija Nyembo. The Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ...

 

9 years ago

Mwananchi

Kafulila akwama Kigoma Kusini, CCM yaibuka kidedea

Mgombea ubunge wa Kigoma Kusini kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, David Kafulila ameanguka katika matokeo yaliyotangazwa jana jioni dhidi ya mpinzani wake wa CCM, Husna Mwilima.

 

10 years ago

Mwananchi

Kesi ya Kafulila, Ponda zapigwa kalenda

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana iliahirisha kusikiliza kesi ya madai ya kashfa inayomkabili Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila, hadi Machi 5, 2015.

 

9 years ago

Mtanzania

Kafulila afungua kesi Mahakama Kuu Tabora

escrowNa Murugwa Thomas, Tabora

ALIYEKUWA mgombea ubunge wa Jimbo la Kigoma Kusini, David Kafulila kupitia Chama cha NCCR – Mageuzi, amefungua kesi Mahakam Kuu Kanda ya Tabora kupinga ushindi wa Hasna Mwillima wa Chama Cha Mapindunzi (CCM), aliyetangazwa mshindi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 25, mwaka huu.

Kafulila amewasilisha pingamizi hilo jana kupitia kwa wakili wake, Daniel Lumenyela, huku akiwa ameambatanisha nakala za fomu za matokeo ya kura ya vituo vyote 382 vya jimbo hilo ambazo...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Kigoma Kusini,mhe david kafulila na jessica kishoa wameremeta mjini uvinza

 Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila akiwa na mai waifu wake Jessica Kishoa wakijiandaa kukata utepe wa kuingia katika mnuso kwenye ukumbi wa Annex uliopo Uvinza, Kigoma,  jana Jumamosi Novemba 22, 2014 Mhe David Kafulila akiwa kanisani  na mai waifu wake wa Jessica Kishoa wakati wa  kufunga ndoa katika kanisa la Roman Catholic katika Parokia ya uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014 Mhe David Kafulila na mai waifu wake Jessica Kishoa pamoja na wapambe wao Mhe. Deo Filikujombe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani