Kesi ya Kafulila, Ponda zapigwa kalenda
Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, jana iliahirisha kusikiliza kesi ya madai ya kashfa inayomkabili Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR- Mageuzi), David Kafulila, hadi Machi 5, 2015.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Mar
Kesi ya Ponda yapigwa kalenda
KESI inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shehe Ponda Issa Ponda, ambayo kwa sasa ipo kwenye hatua ya utetezi haikuendelea kusikilizwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi mkoani hapa, baada ya hakimu anayesikiliza kesi hiyo kutofika mahakamani hapo jana.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/4uLsgpBK3A*9LOHs6d1d9*4J7Z2uFcRxBI74-ReGhcn-sq7azHWn8s-GdsEK-EZZyisx5NhtvtVHoyftEgvNsOPINuk-BGgd/SHEIKHPONDANAWENZAKEMAHAKAMANI7.jpg?width=650)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iiq-5qTP3-m7kBNEfrEGpj2u4LwWzWgsNm28LWn*PShIUbb3-JuYnilpPkRDLqTFKzHeLuLBQbK-VLaWKZ3CBC-5mVUzsyuw/ponda.jpg)
KESI YA SHEIKH PONDA MORO YAPIGWA TENA KALENDA
9 years ago
Habarileo19 Nov
Hukumu ya Shehe Ponda yapigwa kalenda tena
HUKUMU ya kesi inayomkabili Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Shekhe Ponda Issa Ponda, imeshindwa kutolewa jana kutokana na Hakimu Mwandamizi wa Mahakama ya Mkoa wa Morogoro, Mary Moyo kuwa mkoani Dodoma kwa shughuli za kikazi.
11 years ago
MichuziKESI YA MRAMBA YAPIGWA KALENDA
Mapema mwaka jana Jopo la mahakimu watatu linalosikiliza kesi hiyo, likiongozwa na Jaji John...
11 years ago
Mwananchi20 May
Kesi ya Pinda yapigwa kalenda
11 years ago
Habarileo06 Mar
Kesi ya EPA yapigwa kalenda
KESI ya wizi wa Sh milioni 207 kutoka Benki Kuu ya Tanzania (BoT), katika Akaunti ya Madeni ya Nje (EPA) imeahirishwa kutokana na Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rajab Maranda anayekabiliwa na kesi hiyo, amelazwa hospitali.
11 years ago
Tanzania Daima14 Feb
Kesi ya Zitto yapigwa kalenda
KESI iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (CHADEMA) ya kupinga kujadili uanachama wake kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) imeahirishwa hadi Aprili mosi. Kesi hiyo iliahirishwa jana...
5 years ago
Bongo514 Feb
Kesi ya Scorpion yapigwa kalenda
Kesi ya inayomkabili Salum Njwete, maarufu ‘Scorpion’ ya unyang’anyi kwa kutumia silaha imeahirishwa hadi Mei 2 mwaka huu, kufuatia shahidi namba nane kwenye kesi hiyo kushindwa kufika mahakamani hapo.
Kesi hiyo iliahirishwa Jumanne hii na Hakimu Mkazi wa Mahakama ya Wilaya ya Ilala, Flora Haule, kwa kuongozwa na Wakili wa Serikali, Cheses Gavyiole, baada ya Deus Magosa (45), ambaye ni shahidi wa nane upande wa Jamhuri katika kesi hiyo ya kumjeruhi kwa kumtoboa macho Saidi Mrisho, kushindwa...