Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwanasheria atangaza kumvaa Kafulila Kigoma

WAKATI mchakato wa kutangaza nia ukiendelea kwa wagombea wa nafasi ya urais nchini, Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma Iddi Ndabhona ametangaza nia kuwania ubunge katika jimbo la Kigoma Kusini wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

news alert: CHADEMA KALENGA WAJUMBE WAMCHAGUA MWANASHERIA MWENDA KUMVAA MTOTO WA MGIMWA

Wajumbe  wa mkutano  mkuu wa kura za maoni jimbo la Kalenga  wa CHADEMA jioni hii wametegua kitendawili  cha nani kati ya  makada 13 atakayevaana na mgombea wa CCM katika uchaguzi huo baada ya kumchagua  mwanasheria Sinkala Mwenda kwa kura 132 dhidi ya kura 122 alizopata mpinzani  wake wa karibu Grace Tendega huku  Zuberi Mwachura  akiambulia   0 katika uchaguzi huo uliofanyika mjini Iringa.


 

10 years ago

Mtanzania

Mkotya atangaza rasmi kumvaa Nkamia

mkotya atangaza niaNA PENDO MANGALA, DODOMA
MHARIRI Msanifu wa gazeti la MTANZANIA, Hamisi Mkotya, ametangaza rasmi nia ya kuwania ubunge katika Jimbo la Chemba mkoani hapa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Jimbo la Chemba linaongozwa na Mbunge Juma Nkamia ambaye pia ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Mkotya alitangaza nia hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kueleza vipaumbele vyake endapo atafanikiwa kupata nafasi hiyo.
“Kipaumbele changu cha...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mwanahabari Humphrey Kisika atangaza kumvaa Kayombo mbunge wa Mbinga Mashariki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu

ggggggggggg

Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Humphrey Kisika (32).

Na Fredy Mgunda

Katika kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika octoba mwaka huu Afisa Habari na Mahusiano wilaya ya Iringa Hafley Kisika ametangaza kugombea ubunge katika jimbo la Mbinga mashariki kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM, ili kuleta maendeleo katika jimbo hilo.

Akizungumza na waandishi wa habari KISIKA amesema kuwa sababu inayompelekea kugombea ubunge katika jimbo hilo ni pamoja na kuleta siasa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kigoma wataka waunganishwe kesi ya Kafulila

WANANCHI wa Kigoma Kusini, wamesema wapo tayari kuunganishwa katika kesi ya mbunge wao, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), wakidai kuwa sasa kiburi cha Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inabidi kifike mwisho....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kafulila apeleka kashfa ya Escrow Kigoma

MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR Mageuzi), ameanza ziara ya wiki mbili mkoani Kigoma, akiambatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mosena Nyambabe wakipeleka kwa wananchi sakata la ufisadi...

 

10 years ago

IPPmedia

Kigoma South legislator, David Kafulila


IPPmedia
Kigoma South legislator, David Kafulila
IPPmedia
Some Members of Parliament and top government officials have been associated with tax evasion, with stakeholders demanding that the law take its course. Speaking at a 2015/16 budget review session over the weekend in Dar es Salaam, stakeholders ...

 

9 years ago

Mwananchi

Kafulila akwama Kigoma Kusini, CCM yaibuka kidedea

Mgombea ubunge wa Kigoma Kusini kwa tiketi ya NCCR-Mageuzi, David Kafulila ameanguka katika matokeo yaliyotangazwa jana jioni dhidi ya mpinzani wake wa CCM, Husna Mwilima.

 

10 years ago

IPPmedia

Kigoma South MP Kafulila in court over alleged use of abusive language.


IPPmedia
Kigoma South MP Kafulila in court over alleged use of abusive language.
IPPmedia
Kigoma South Member of Parliament, David Kafulila, was yesterday charged at the Kigoma District court for allegedly using abusive language against Uvinza District Commissioner, Hadija Nyembo. The Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa Kigoma Kusini,mhe david kafulila na jessica kishoa wameremeta mjini uvinza

 Mbunge wa Kigoma Kusini Mhe David Kafulila akiwa na mai waifu wake Jessica Kishoa wakijiandaa kukata utepe wa kuingia katika mnuso kwenye ukumbi wa Annex uliopo Uvinza, Kigoma,  jana Jumamosi Novemba 22, 2014 Mhe David Kafulila akiwa kanisani  na mai waifu wake wa Jessica Kishoa wakati wa  kufunga ndoa katika kanisa la Roman Catholic katika Parokia ya uvinza, Kigoma, jana Jumamosi Novemba 22, 2014 Mhe David Kafulila na mai waifu wake Jessica Kishoa pamoja na wapambe wao Mhe. Deo Filikujombe...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani