Mwanasheria atangaza kumvaa Kafulila Kigoma
WAKATI mchakato wa kutangaza nia ukiendelea kwa wagombea wa nafasi ya urais nchini, Mwanasheria wa Halmashauri ya wilaya ya Kigoma mkoani Kigoma Iddi Ndabhona ametangaza nia kuwania ubunge katika jimbo la Kigoma Kusini wakati wa uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi12 Feb
news alert: CHADEMA KALENGA WAJUMBE WAMCHAGUA MWANASHERIA MWENDA KUMVAA MTOTO WA MGIMWA
10 years ago
Mtanzania09 Jun
Mkotya atangaza rasmi kumvaa Nkamia
NA PENDO MANGALA, DODOMA
MHARIRI Msanifu wa gazeti la MTANZANIA, Hamisi Mkotya, ametangaza rasmi nia ya kuwania ubunge katika Jimbo la Chemba mkoani hapa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Jimbo la Chemba linaongozwa na Mbunge Juma Nkamia ambaye pia ni Naibu Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo.
Mkotya alitangaza nia hiyo mjini hapa jana, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari na kueleza vipaumbele vyake endapo atafanikiwa kupata nafasi hiyo.
“Kipaumbele changu cha...
10 years ago
Dewji Blog08 Jan
Mwanahabari Humphrey Kisika atangaza kumvaa Kayombo mbunge wa Mbinga Mashariki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu
Afisa Habari wa Halmashauri ya Wilaya ya Iringa, Humphrey Kisika (32).
Na Fredy Mgunda
Katika kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika octoba mwaka huu Afisa Habari na Mahusiano wilaya ya Iringa Hafley Kisika ametangaza kugombea ubunge katika jimbo la Mbinga mashariki kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi CCM, ili kuleta maendeleo katika jimbo hilo.
Akizungumza na waandishi wa habari KISIKA amesema kuwa sababu inayompelekea kugombea ubunge katika jimbo hilo ni pamoja na kuleta siasa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Kigoma wataka waunganishwe kesi ya Kafulila
WANANCHI wa Kigoma Kusini, wamesema wapo tayari kuunganishwa katika kesi ya mbunge wao, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), wakidai kuwa sasa kiburi cha Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), inabidi kifike mwisho....
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Kafulila apeleka kashfa ya Escrow Kigoma
MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR Mageuzi), ameanza ziara ya wiki mbili mkoani Kigoma, akiambatana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Mosena Nyambabe wakipeleka kwa wananchi sakata la ufisadi...
10 years ago
IPPmedia15 Jun
Kigoma South legislator, David Kafulila
IPPmedia
IPPmedia
Some Members of Parliament and top government officials have been associated with tax evasion, with stakeholders demanding that the law take its course. Speaking at a 2015/16 budget review session over the weekend in Dar es Salaam, stakeholders ...
9 years ago
Mwananchi29 Oct
Kafulila akwama Kigoma Kusini, CCM yaibuka kidedea
10 years ago
IPPmedia22 Apr
Kigoma South MP Kafulila in court over alleged use of abusive language.
IPPmedia
IPPmedia
Kigoma South Member of Parliament, David Kafulila, was yesterday charged at the Kigoma District court for allegedly using abusive language against Uvinza District Commissioner, Hadija Nyembo. The Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-aREWlR-eA9k/VHGEnhLMyRI/AAAAAAAGy_0/4qlwT_AgVnQ/s72-c/unnamed%2B(55).jpg)
Mbunge wa Kigoma Kusini,mhe david kafulila na jessica kishoa wameremeta mjini uvinza
![](http://3.bp.blogspot.com/-aREWlR-eA9k/VHGEnhLMyRI/AAAAAAAGy_0/4qlwT_AgVnQ/s1600/unnamed%2B(55).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t6DO1fQm6z8/VHGEnrI-odI/AAAAAAAGy_w/P6rZUPGaYzo/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8aKAthr2vPI/VHGEnpwKX9I/AAAAAAAGy_4/gLaVveSzvjY/s1600/unnamed%2B(57).jpg)