Mnyika, Kafulila waitoa jasho serikali
SIKU moja baada ya mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila kuwalipua mawaziri na vigogo wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusika katika ufisadi wa sh. bilioni 200 za IPTL,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania15 Dec
Ukawa waitoa jasho CCM
Na Waandishi Wetu, Dar na Mikoani UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeonekana kukitoa jasho Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji uliofanyika nchini kote jana. Licha ya kuwapo na mchuano mkali kati ya Ukawa na CCM, uchaguzi huo ulitawaliwa na dosari nyingi zilizosababisha uchaguzi usimamishwe katika maeneo kadhaa kutokana na vurugu au kukosekana vifaa vya kupigia kura. Mbali ya CCM, Chadema na CUF kuchuana vikali katika maeneo mbalimbali,...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jan
Mnyika: Serikali, TANESCO zinafilisiana
MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema kuwa serikali na TANESCO kwa pamoja zinafilisiana, na hali hiyo inasababishwa na udhaifu katika Wizara ya Nishati na Madini. Mnyika alitoa kauli hiyo...
10 years ago
Tanzania Daima03 Nov
Mnyika: Uchaguzi serikali za mitaa bado
NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema-Bara), John Mnyika, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuacha kuwapotosha wananchi kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekwishafanyika na viongozi wake...
11 years ago
Tanzania Daima04 Jun
Mwandosya anasua serikali kwa Mnyika
MBUNGE wa Rungwe Magharibi, Profesa Mark Mwandosya, amefanya maamuzi magumu ya kuinusuru Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuanguka bungeni. Mwandosya ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Kazi Maalumu,...
11 years ago
Mwananchi16 Jul
Kafulila adai Serikali inataka kumuua
10 years ago
Vijimambo16 Apr
Mnyika aipa angalizo serikali kuhusu ajali.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Myika-16April2015.jpg)
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Mnyika, ameitaka serikali kulichukulia kwa uzito tatizo la kukithiri kwa ajali za barabarani, kama ambavyo taifa linavyotumia nguvu kubwa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) yaliyofumka kwa kasi kubwa nchini.
Mnyika alisema takwimu za kiwango cha ajali zilizotokea ndani ya siku 102...
11 years ago
Mwananchi04 Jul
VITISHO: NCCR wataka Serikali imlinde Kafulila
11 years ago
Mwananchi31 May
Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
JOHN MNYIKA: Hata nikiweka maisha rehani, sitaacha kuisimamia serikali
SI lazima uwe mtu wa makamo ndio uwe kiongozi bora au mwanasiasa. Ukweli katika hilo unathibitika kwa kutazama jinsi baadhi ya vijana wanavyojikita katika siasa na kupata fursa ya kuongoza....