Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mnyika, Kafulila waitoa jasho serikali

SIKU moja baada ya mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila kuwalipua mawaziri na vigogo wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusika katika ufisadi wa sh. bilioni 200 za IPTL,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Ukawa waitoa jasho CCM

untitledNa Waandishi Wetu, Dar na Mikoani UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeonekana kukitoa jasho Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji uliofanyika nchini kote jana. Licha ya kuwapo na mchuano mkali kati ya Ukawa na CCM, uchaguzi huo ulitawaliwa na dosari nyingi zilizosababisha uchaguzi usimamishwe katika maeneo kadhaa kutokana na vurugu au kukosekana vifaa vya kupigia kura. Mbali ya CCM, Chadema na CUF kuchuana vikali katika maeneo mbalimbali,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Serikali, TANESCO zinafilisiana

MBUNGE wa Ubungo, John Mnyika (CHADEMA), amesema kuwa serikali na TANESCO kwa pamoja zinafilisiana, na hali hiyo inasababishwa na udhaifu katika Wizara ya Nishati na Madini. Mnyika alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mnyika: Uchaguzi serikali za mitaa bado

NAIBU Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema-Bara), John Mnyika, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuacha kuwapotosha wananchi kuwa uchaguzi wa Serikali za Mitaa umekwishafanyika na viongozi wake...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwandosya anasua serikali kwa Mnyika

MBUNGE wa Rungwe Magharibi, Profesa Mark Mwandosya, amefanya maamuzi magumu ya kuinusuru Serikali ya Rais Jakaya Kikwete kuanguka bungeni. Mwandosya ambaye ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Kazi Maalumu,...

 

11 years ago

Mwananchi

Kafulila adai Serikali inataka kumuua

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila amesema endapo itatokea kwa namna yoyote akafa, mhusika mkuu wa kifo chake itakuwa “Serikali ya CCM” na ameagiza kuwa kamwe wasifike kwenye msiba wake wala kutoa rambirambi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mnyika aipa angalizo serikali kuhusu ajali.

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Mnyika.
Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania Bara, John Mnyika, ameitaka serikali kulichukulia kwa uzito tatizo la kukithiri kwa ajali za barabarani, kama ambavyo taifa linavyotumia nguvu kubwa kukabiliana na mauaji ya watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) yaliyofumka kwa kasi kubwa nchini.

Mnyika alisema takwimu za kiwango cha ajali zilizotokea ndani ya siku 102...

 

11 years ago

Mwananchi

VITISHO: NCCR wataka Serikali imlinde Kafulila

>Chama cha NCCR-Mageuzi kimeitaka Serikali kumpa ulinzi wa kutosha mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila kutokana na vitisho anavyopata baada ya kusimama kidete bungeni akitaka suala la uchotaji fedha kwenye akaunti ya Escrow kutoka Benki Kuu (BoT) lichunguzwe.

 

11 years ago

Mwananchi

Mnyika aishukia Serikali utoroshaji fedha nje ya nchi

>Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imeilipua Serikali kwa kushindwa kudhibiti utoroshwaji mkubwa wa fedha kwenda nje.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JOHN MNYIKA: Hata nikiweka maisha rehani, sitaacha kuisimamia serikali

SI lazima uwe mtu wa makamo ndio uwe kiongozi bora au mwanasiasa. Ukweli katika hilo unathibitika kwa kutazama jinsi baadhi ya vijana wanavyojikita katika siasa na kupata fursa ya kuongoza....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani