Ukawa waitoa jasho CCM
Na Waandishi Wetu, Dar na Mikoani UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeonekana kukitoa jasho Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji uliofanyika nchini kote jana. Licha ya kuwapo na mchuano mkali kati ya Ukawa na CCM, uchaguzi huo ulitawaliwa na dosari nyingi zilizosababisha uchaguzi usimamishwe katika maeneo kadhaa kutokana na vurugu au kukosekana vifaa vya kupigia kura. Mbali ya CCM, Chadema na CUF kuchuana vikali katika maeneo mbalimbali,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Mnyika, Kafulila waitoa jasho serikali
SIKU moja baada ya mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila kuwalipua mawaziri na vigogo wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusika katika ufisadi wa sh. bilioni 200 za IPTL,...
10 years ago
Habarileo06 Jul
Shein apita bila jasho CCM
KIKAO cha Kamati Maalumu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM -Zanzibar kwa kauli moja imependekeza kwa Kamati Kuu jina la Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein kuteuliwa kuwania tena kiti cha Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa baadaye mwaka huu.
11 years ago
Mwananchi02 Mar
CCM, Chadema wazidi kutoana jasho Kalenga
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Uzembe TFF waitoa U- 23 Olimpiki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0Ytho6u3bXz7rRAkXx2U0AtvGBVTGkR-JrHBsdkuYHxxj-hY3yT02aIKwjmGjgXAJOptK8wV3h6cUNiYz*vEwSoq/TCHE.jpg?width=650)
Tchetche, Sure Boy waitoa udenda Ferroviario
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016
11 years ago
Habarileo07 May
CCM waivimbia Ukawa
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimetangaza kwamba hakina mpango wa kushawishi viongozi wa Serikali au viongozi wa kitaifa, wawalazimishe au wawabembeleze wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, waliojiundia kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kurudi bungeni.
9 years ago
TheCitizen20 Sep
CCM desperate : Ukawa
11 years ago
Tanzania Daima23 Jul
UKAWA, CCM wakwama
MAZUNGUMZO yanayoendelea kuhusu jinsi ya kunasua mchakato wa katiba mpya kati ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), yanaelekea kukwama kwa sababu yameingiliwa...