Tchetche, Sure Boy waitoa udenda Ferroviario

Salum Aboubakar ‘Sure Boy’. Na Hans Mloli TIMU ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji imekubali kazi iliyofanywa na wachezaji wawili wa Azam, Kipre Tchetche na Salum Aboubakar ‘Sure Boy’. Azam ilikuwa mwenyeji wa Ferroviario kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa Chamazi. Akizungumza na Championi Jumatano, Kocha Msaidizi wa Ferroviario, Victor Martin, alisema katika...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
ESTER AWATOA UDENDA MIDUME HOTELINI
10 years ago
Bongo Movies12 Apr
Ester Awatoa Udenda Midume Hotelini
Staa mrembo wa Bongo Movies, Ester Kiama, juzikati aliwatoa udenda wanaume waliokuwa ndani ya Hoteli ya Landmark iliyopo Mbezi jijini Dar baada ya kutinga akiwa amevaa kivazi cha kihasara ile mbaya.
Ester aliingia hotelini hapo akiwa amevaa shati tu na kuacha wazi eneo la kuanzia mapajani, kitendo kilichowafanya wanaume wengi kuacha shughuli zao na kumkodolea macho.
“Hee! Huyu ni Ester yule msanii wa filamu? Mama yangu weee, ndo’ kavaa kivazi gani kile sasa. Yaani huyu ipo siku atatembea...
11 years ago
TheCitizen10 Feb
Azam see off stubborn Ferroviario
11 years ago
TheCitizen17 Feb
Ferroviario send Azam packing
10 years ago
Mtanzania15 Dec
Ukawa waitoa jasho CCM
Na Waandishi Wetu, Dar na Mikoani UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeonekana kukitoa jasho Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji uliofanyika nchini kote jana. Licha ya kuwapo na mchuano mkali kati ya Ukawa na CCM, uchaguzi huo ulitawaliwa na dosari nyingi zilizosababisha uchaguzi usimamishwe katika maeneo kadhaa kutokana na vurugu au kukosekana vifaa vya kupigia kura. Mbali ya CCM, Chadema na CUF kuchuana vikali katika maeneo mbalimbali,...
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Uzembe TFF waitoa U- 23 Olimpiki
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Mnyika, Kafulila waitoa jasho serikali
SIKU moja baada ya mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila kuwalipua mawaziri na vigogo wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusika katika ufisadi wa sh. bilioni 200 za IPTL,...
11 years ago
TheCitizen11 Feb
Poulsen salutes Azam after Ferroviario win
11 years ago
Mwananchi26 Sep
Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016