Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tchetche, Sure Boy waitoa udenda Ferroviario

Salum Aboubakar ‘Sure Boy’. Na Hans Mloli
TIMU ya Ferroviario de Beira ya Msumbiji imekubali kazi iliyofanywa na wachezaji wawili wa Azam, Kipre Tchetche na Salum Aboubakar ‘Sure Boy’. Azam ilikuwa mwenyeji wa Ferroviario kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho Afrika uliopigwa juzi kwenye Uwanja wa Chamazi. Akizungumza na Championi Jumatano, Kocha Msaidizi wa Ferroviario, Victor Martin, alisema katika...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ESTER AWATOA UDENDA MIDUME HOTELINI

Hamida Hassan
Staa anayefanya poa kwenye tasnia ya filamu Bongo, Ester Kiama, juzikati aliwatoa udenda wanaume waliokuwa ndani ya Hoteli ya Landmark iliyopo Mbezi jijini Dar baada ya kutinga akiwa amevaa kivazi cha kihasara ile mbaya. Staa anayefanya poa kwenye tasnia ya filamu Bongo, Ester Kiama. Ester aliingia hotelini hapo akiwa amevaa shati tu na kuacha wazi eneo la kuanzia mapajani, kitendo kilichowafanya wanaume wengi...

 

10 years ago

Bongo Movies

Ester Awatoa Udenda Midume Hotelini

Staa mrembo wa Bongo Movies, Ester Kiama, juzikati aliwatoa udenda wanaume waliokuwa ndani ya Hoteli ya Landmark iliyopo Mbezi jijini Dar baada ya kutinga akiwa amevaa kivazi cha kihasara ile mbaya.

Ester aliingia hotelini hapo akiwa amevaa shati tu na kuacha wazi eneo la kuanzia mapajani, kitendo kilichowafanya wanaume wengi kuacha shughuli zao na kumkodolea macho.

“Hee! Huyu ni Ester yule msanii wa filamu? Mama yangu weee, ndo’ kavaa kivazi gani kile sasa. Yaani huyu ipo siku atatembea...

 

11 years ago

TheCitizen

Azam see off stubborn Ferroviario

Kipre Tchetche’s first half strike ensured that Azam FC kicked off their CAF Confederation Cup campaign on a high note.

 

11 years ago

TheCitizen

Ferroviario send Azam packing

>Tanzania’s flag bearers in the CAF Confederation Cup, Azam FC, were yesterday shown the door after succumbing to a 2-0 away defeat to Ferroviario de Beira in Mozambique.

 

10 years ago

Mtanzania

Ukawa waitoa jasho CCM

untitledNa Waandishi Wetu, Dar na Mikoani UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeonekana kukitoa jasho Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji uliofanyika nchini kote jana. Licha ya kuwapo na mchuano mkali kati ya Ukawa na CCM, uchaguzi huo ulitawaliwa na dosari nyingi zilizosababisha uchaguzi usimamishwe katika maeneo kadhaa kutokana na vurugu au kukosekana vifaa vya kupigia kura. Mbali ya CCM, Chadema na CUF kuchuana vikali katika maeneo mbalimbali,...

 

10 years ago

Mwananchi

Uzembe TFF waitoa U- 23 Olimpiki

Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 23, Ngorongoro Heroes haitashiriki michezo ya Olimpiki hadi mwaka 2020 baada ya Tanzania kushindwa kuthibitisha ushiriki wake kwenye mchakato wa kusaka nafasi hiyo Afrika ulioanza jana.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mnyika, Kafulila waitoa jasho serikali

SIKU moja baada ya mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila kuwalipua mawaziri na vigogo wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusika katika ufisadi wa sh. bilioni 200 za IPTL,...

 

11 years ago

TheCitizen

Poulsen salutes Azam after Ferroviario win

Taifa Stars head coach, Kim Poulsen has hailed Azam FC following their victory against Ferroviario of Mozambique on Sunday.

 

11 years ago

Mwananchi

Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016

>Tanzania haitashiriki michezo ya soka  kimataifa hadi mwaka 2016 kutokana na timu yake ya  vijana  wa umri chini ya miaka 23  kutoshiriki michuano ya kusaka  tiketi ya kushiriki Olimpiki  msimu wa 2015/2016.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani