Uzembe TFF waitoa U- 23 Olimpiki
Timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 23, Ngorongoro Heroes haitashiriki michezo ya Olimpiki hadi mwaka 2020 baada ya Tanzania kushindwa kuthibitisha ushiriki wake kwenye mchakato wa kusaka nafasi hiyo Afrika ulioanza jana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016
10 years ago
Mwananchi27 Apr
TFF iwajibike kwa uzembe huu wa U-23
10 years ago
Mtanzania15 Dec
Ukawa waitoa jasho CCM
Na Waandishi Wetu, Dar na Mikoani UMOJA wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) umeonekana kukitoa jasho Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi wa Serikali za Mitaa, vitongoji na vijiji uliofanyika nchini kote jana. Licha ya kuwapo na mchuano mkali kati ya Ukawa na CCM, uchaguzi huo ulitawaliwa na dosari nyingi zilizosababisha uchaguzi usimamishwe katika maeneo kadhaa kutokana na vurugu au kukosekana vifaa vya kupigia kura. Mbali ya CCM, Chadema na CUF kuchuana vikali katika maeneo mbalimbali,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n7ZUxQJY0Ytho6u3bXz7rRAkXx2U0AtvGBVTGkR-JrHBsdkuYHxxj-hY3yT02aIKwjmGjgXAJOptK8wV3h6cUNiYz*vEwSoq/TCHE.jpg?width=650)
Tchetche, Sure Boy waitoa udenda Ferroviario
11 years ago
Tanzania Daima11 May
Mnyika, Kafulila waitoa jasho serikali
SIKU moja baada ya mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila kuwalipua mawaziri na vigogo wa Wizara ya Nishati na Madini kuhusika katika ufisadi wa sh. bilioni 200 za IPTL,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*2jEjt9XhzLG16*vnOKnbKCerQRzSZ2ER73n3pQbbJP9q9-fV70Pvy4bVKOsheqnDMRtHm1i3W0xlt4EgKQVya/INAUMASANA.jpg)
UZEMBE... UZEMBE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3AKtSN3VhtnChD2assk6qVj6Tz7zV73X9uc0unVz2QHdAZiEJmCo-wFXsQ5ZH-RlnrijdK4iADMj5YZFSkDDknt/ofm.jpg?width=650)
UZEMBE TUPU
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Wakerwa na uzembe Moshi
9 years ago
Mzalendo Zanzibar23 Aug
CUF ya subira na uzembe
Na Rashid Abdallah Miezi mitatu nyuma, asubuhi ya saa tano nilikuwa nimepanga foleni kusubiri kitambulisho , sasa ikaonekana mstari wetu hausogii hata kidogo, mmoja wa wenzetu akauliza; vipi mbona hatusogei?, Mwengine akamjibu kuwa “vuta subira tutafika […]
The post CUF ya subira na uzembe appeared first on Mzalendo.net.