TFF iwajibike kwa uzembe huu wa U-23
Juzi, gazeti hili liliandika habari ya kusikitisha iliyohusu timu ya Taifa ya Vijana, chini ya umri wa miaka 23 ‘Ngorongoro Heroes’ kuondolewa kwenye mchakato wa kufuzu kushiriki michezo ya Olimpiki mwakani mjini Rio de Janeiro, Brazil.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLKWA UZEMBE HUU AJALI ZITAKWISHA KWELI?
10 years ago
Mwananchi25 Apr
Uzembe TFF waitoa U- 23 Olimpiki
10 years ago
Mwananchi20 Dec
Uzembe kama huu Mv Victoria usirudiwe
10 years ago
MichuziTAARIFA KUTOKA TFF MUDA HUU
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Jamal Malinzi anashiriki katika kongamano la Fainali za Dunia kwa Wanawake zinazofanyika Vancouver- Canada kwa siku tatu kuanzia tarehe 3 - 5 Julai mwaka huu.Katika kongamano hilo Malinzi ameambatana na katibu mkuu wa Chama cha Soka la Wanawake Tanzania (TWFA), Amina Karuma.Kongamano hilo la soka la Wanawake linahudhuriwa na nchi 209 wanachama wa FIFA, ambapo hufanyika kila baada ya miaka minne, pindi zinapofanyika fainali za Dunia kwa...
11 years ago
Tanzania Daima07 Apr
Watendaji 15 mbaroni kwa uzembe
JESHI la Polisi mkoani Geita linawashikilia watendaji wa kata 15 za Wilaya ya Geita kwa tuhuma za kushindwa kuwakamata wazazi na walezi walioshindwa kuwapeleka watoto shule za sekondari. Agizo la...
10 years ago
Mwananchi10 Aug
Ubabaishaji huu TOC, TFF unaiathiri Twiga Stars
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Tigo yapigwa faini kwa uzembe
Meneja Mkuu wa Tigo, Deigo Gutierrez
Na mwandishi Wetu
KAMPUNI ya MIC Tanzania Limited (Tigo) chini ya mkurugenzi wake, Diego Gutierrez imepigwa faini ya Sh. Milioni 25 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kosa la kushindwa kudhibiti utumaji wa ujumbe wa ulaghai na udanganyifu kwa wateja wake.
Taarifa ya faini hiyo ilitolewa hivi karibuni jijini Dar na Mkurugenzi wa TCRA, Dk. Ally Simba ambapo alisema kampuni hiyo na makampuni mengine ya simu, yameshindwa kudhibiti utumaji wa...
10 years ago
Habarileo27 Nov
17 ‘jela’ kwa uzembe maabara za Kikwete
MKUU wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Festo Kiswaga amewasweka rumande watendaji 17 wa vijiji na kupewa barua za onyo kali, huku mmoja akifukuzwa kazi kwa uzembe wa kutosimamia ipasavyo ujenzi wa maabara za shule za sekondari.
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Kampuni yatozwa bil. 1/- kwa uzembe
KAMPUNI ya ujenzi ya Db Shapriya Co LTD, imepewa adhabu ya kulipa sh milioni 11 kila siku kwa siku 100 kuanzia Machi 4, mwaka huu, kutokana na kutomaliza mradi wa...