Watendaji 15 mbaroni kwa uzembe
JESHI la Polisi mkoani Geita linawashikilia watendaji wa kata 15 za Wilaya ya Geita kwa tuhuma za kushindwa kuwakamata wazazi na walezi walioshindwa kuwapeleka watoto shule za sekondari. Agizo la...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Mar
Kampuni yatozwa bil. 1/- kwa uzembe
KAMPUNI ya ujenzi ya Db Shapriya Co LTD, imepewa adhabu ya kulipa sh milioni 11 kila siku kwa siku 100 kuanzia Machi 4, mwaka huu, kutokana na kutomaliza mradi wa...
9 years ago
Global Publishers02 Jan
Tigo yapigwa faini kwa uzembe
Meneja Mkuu wa Tigo, Deigo Gutierrez
Na mwandishi Wetu
KAMPUNI ya MIC Tanzania Limited (Tigo) chini ya mkurugenzi wake, Diego Gutierrez imepigwa faini ya Sh. Milioni 25 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kosa la kushindwa kudhibiti utumaji wa ujumbe wa ulaghai na udanganyifu kwa wateja wake.
Taarifa ya faini hiyo ilitolewa hivi karibuni jijini Dar na Mkurugenzi wa TCRA, Dk. Ally Simba ambapo alisema kampuni hiyo na makampuni mengine ya simu, yameshindwa kudhibiti utumaji wa...
10 years ago
Habarileo14 Nov
Washushwa vyeo kwa uzembe maabara za JK
MKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini, kutoa adhabu kali kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Madimba na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mayanga wilayani humo kwa madai ya kushindwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa maabara.
11 years ago
Tanzania Daima24 May
Kuwakumbuka waliokufa kwa uzembe wa watawala
Na Charles Misango WIKI hii yametokea mambo mawili makubwa hapa nchini, lakini kwa bahati mbaya hayakupewa uzito stahiki. Huko Mtwara, mamia ya wakazi wake walikuwa katika maombolezo mazito ya ndugu...
10 years ago
Mwananchi27 Apr
TFF iwajibike kwa uzembe huu wa U-23
10 years ago
Habarileo27 Nov
17 ‘jela’ kwa uzembe maabara za Kikwete
MKUU wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Festo Kiswaga amewasweka rumande watendaji 17 wa vijiji na kupewa barua za onyo kali, huku mmoja akifukuzwa kazi kwa uzembe wa kutosimamia ipasavyo ujenzi wa maabara za shule za sekondari.
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
Wizara ya Ardhi inaongoza kwa uzembe — Mbunge
MBUNGE wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (CUF), amesema kuwa kati ya Wizara ambazo zinalalamikiwa kwa uzembe ni Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Khalifa, aliyasema hayo bungeni jana...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dj7KjSQgc-TNILQgM3k*YlBOF9VePRlsYCj2JeMibeSubgD3OhqoSzH5xp1e8xF5Kj0FJMooNUzQr*7LkKfsB13Vif5gIIan/magari.jpg?width=650)
KWA UZEMBE HUU AJALI ZITAKWISHA KWELI?
11 years ago
Mwananchi21 Jul
Mifuko ya saruji kujengea zahanati yaganda kwa uzembe