Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watendaji 15 mbaroni kwa uzembe

JESHI la Polisi mkoani Geita linawashikilia watendaji wa kata 15 za Wilaya ya Geita kwa tuhuma za kushindwa kuwakamata wazazi na walezi walioshindwa kuwapeleka watoto shule za sekondari. Agizo la...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kampuni yatozwa bil. 1/- kwa uzembe

KAMPUNI ya ujenzi ya Db Shapriya Co  LTD, imepewa adhabu ya kulipa sh milioni 11 kila siku  kwa siku 100 kuanzia Machi 4, mwaka huu, kutokana na kutomaliza mradi wa...

 

9 years ago

Global Publishers

Tigo yapigwa faini kwa uzembe

????????????????????????????????????

Meneja Mkuu wa Tigo, Deigo Gutierrez

Na mwandishi Wetu
KAMPUNI ya MIC Tanzania Limited (Tigo) chini ya mkurugenzi wake, Diego Gutierrez imepigwa faini ya Sh. Milioni 25 na Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa kosa la kushindwa kudhibiti utumaji wa ujumbe wa ulaghai na udanganyifu kwa wateja wake.

Taarifa ya faini hiyo ilitolewa hivi karibuni jijini Dar na Mkurugenzi wa TCRA, Dk. Ally Simba ambapo alisema kampuni hiyo na makampuni mengine ya simu, yameshindwa kudhibiti utumaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

Washushwa vyeo kwa uzembe maabara za JK

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara, Wilman NdileMKUU wa Wilaya ya Mtwara, Wilman Ndile amemwagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara Vijijini, kutoa adhabu kali kwa Ofisa Mtendaji wa Kata ya Madimba na Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Kutwa ya Mayanga wilayani humo kwa madai ya kushindwa kusimamia kikamilifu ujenzi wa maabara.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kuwakumbuka waliokufa kwa uzembe wa watawala

Na Charles Misango WIKI hii yametokea mambo mawili makubwa hapa nchini, lakini kwa bahati mbaya hayakupewa uzito stahiki. Huko Mtwara, mamia ya wakazi wake walikuwa katika maombolezo mazito ya ndugu...

 

10 years ago

Mwananchi

TFF iwajibike kwa uzembe huu wa U-23

Juzi, gazeti hili liliandika habari ya kusikitisha iliyohusu timu ya Taifa ya Vijana, chini ya umri wa miaka 23 ‘Ngorongoro Heroes’ kuondolewa kwenye mchakato wa kufuzu kushiriki michezo ya Olimpiki mwakani mjini Rio de Janeiro, Brazil.

 

10 years ago

Habarileo

17 ‘jela’ kwa uzembe maabara za Kikwete

MKUU wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Festo Kiswaga amewasweka rumande watendaji 17 wa vijiji na kupewa barua za onyo kali, huku mmoja akifukuzwa kazi kwa uzembe wa kutosimamia ipasavyo ujenzi wa maabara za shule za sekondari.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Ardhi inaongoza kwa uzembe — Mbunge

MBUNGE wa Gando, Khalifa Suleiman Khalifa (CUF), amesema kuwa kati ya Wizara ambazo zinalalamikiwa kwa uzembe ni Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Khalifa, aliyasema hayo bungeni jana...

 

10 years ago

GPL

KWA UZEMBE HUU AJALI ZITAKWISHA KWELI?

DEREVA wa basi la Abood linalofanya safari zake Dar-Moro akijaribu kuyapita magari manne akiwa mwendo kasi katika maeneo ya Kibamba - Darajani jijini Dar leo huku mbele yake likija lori kwa kasi. Ili kuepusha ajali hiyo, ilibidi madereva wa magari yaliyokuwa mbele waingie pembezoni mwa barabara ili kulinusuru basi hilo lisigongane uso kwa uso na lori. Je, kwa hali hii ni kweli ajali zitakwisha nchini? (Picha na Global Whatsapp...

 

11 years ago

Mwananchi

Mifuko ya saruji kujengea zahanati yaganda kwa uzembe

Mifuko ya saruji 125 iliyonunuliwa kwa fedha za Serikali kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kiboriani, Wilaya ya Mpwapwa imeganda baada ya halmashauri kuukataa ushauri wa viongozi wa kijiji hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani