Mifuko ya saruji kujengea zahanati yaganda kwa uzembe
Mifuko ya saruji 125 iliyonunuliwa kwa fedha za Serikali kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kiboriani, Wilaya ya Mpwapwa imeganda baada ya halmashauri kuukataa ushauri wa viongozi wa kijiji hicho.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uFXyvjPCVPo/VNcV1jR6PRI/AAAAAAAHCbg/eshgsCgQ__o/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
WANAKWAYA WA CENTRAL MIRERANI WAKABIDHI MSAADA WA MIFUKO 34 YA SARUJI KUJENGEA CHOO CHA SHULE YA ENDIAMTU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0041.jpg)
ULEGA AKABIDHI MIL.3 NA MIFUKO YA SARUJI 140 KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4hlU3um542s/Xrv6oeDjl2I/AAAAAAALqEs/QUjoR8fdYL84Nt3--UpSTJsuhHjDCKoPACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vz8TUxr_N5k/Xrv6ogL-SSI/AAAAAAALqEw/Xw59A8vb0PYIO3IjqCak7sptYI3bIPWMACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0043.jpg)
Zoezi hilo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi mbalimbali alizozitoa mbunge Ulega kwenye miradi ya maendeleo.
Miradi iliyonufaika ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Lukanga saruji mifuko 50, ujenzi wa zahanati Yavayava saruji mifuko 50, ujenzi wa kivuko Churwi 30, ujenzi...
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Kampuni ya Pan African Energy yatoa msaada wa mifuko 1500 ya Saruji kwa wilaya ya Kilwa
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-yLnL7vEcd8k/Va3lwgYCTRI/AAAAAAAASig/c91DBTiY86E/s72-c/11709601_10153511100892938_3918727445950212145_n.jpg)
NASSARI ASHIRIKI UJENZI WA DARAJA LA KWA POLE,ATOA MIFUKO 50 YA SARUJI NA VIPANDE 30 VYA NONDO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-yLnL7vEcd8k/Va3lwgYCTRI/AAAAAAAASig/c91DBTiY86E/s640/11709601_10153511100892938_3918727445950212145_n.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-y95inVzkEnI/Va3lv1L-V-I/AAAAAAAASis/Q6aM8sHyWiE/s640/11705369_10153511102137938_5247209604509754294_n.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-NG_5yoVbSaM/Va3lw0sWAfI/AAAAAAAASik/ZxEJ3SGACRM/s640/11743007_10153511101427938_3598942863258596882_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-wYBksCO7x1g/Va3lut06rPI/AAAAAAAASiM/UsZXtK21beA/s640/11694771_10153511100737938_1941814336703242686_n.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-o-4T_zDr8YY/Va3lx7as-EI/AAAAAAAASiw/Tdwr5axdpMo/s640/11745459_10153511101932938_1915725732152340799_n.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-FTj9hxP2Hx0/Va3lu_CLaWI/AAAAAAAASiU/QbqV-fOrWeE/s640/11695987_10153511101752938_3529203723152088777_n.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s72-c/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
BENKI YA TPB YAKABIDHI MIFUKO 200 YA SARUJI KWA MBUNGE VITI MAALUM CCM KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA YA SHULE MKOANI RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s640/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CKhNmnl7XZg/XnzAvRB0cxI/AAAAAAALlLA/FjP43vwrzqIGdg_Hi4ZFverU0LT27DvswCLcBGAsYHQ/s640/68e6f189-975b-4668-939d-2a9e70933b7d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DoY0D6OK0J0/XnzAvPurn5I/AAAAAAALlK8/dItvTUx8ev4yxEsdYbHRusxZkf6p7nxcgCLcBGAsYHQ/s640/22756c47-29a9-4b27-9784-a512f764c20a.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima24 Oct
Mkinga wapewa saruji mifuko 1,000
KAMPUNI ya saruji Tanga imekabidhi mifuko 1,000 ya saruji kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa maabara za sayansi shule za Sekondari wilayani Mkinga mkoani hapa. Msaada huo wenye thamani ya...
10 years ago
Habarileo25 May
Nasari atoa mifuko 320 ya saruji
MBUNGE wa Arumeru Mashariki, Joshua Nasari amechangia mifuko 320 ya saruji kwa ajili ya ukarabati wa chanzo cha maji kwenye mfereji wa Kipilipili na kuzuia upotevu wa maji uliopo baada ya kuharibika.
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Meya atoa mifuko ya saruji 50 kukarabati bweni
Na Sheila Katikula, Mwanza
MEYA wa Halmashauri ya Jiji la Mwanza, Stanslaus Mabula ametoa mifuko ya saruji 50 yenye thamani ya Sh milion moja, kwa ajili ya ukarabati wa mabweni katika shule ya sekondari ya a Nsumba iliyopo jijini Mwanza.
Msaada huo, umetolewa jana kwenye mahafali ya 18 ya kidato cha sita ya shule hiyo, ambapo alimuagiza mkandarasi wa Jiji kukamilisha ujenzi huo.
Alisema lengo la kutoa msaada huo, ni kutokana na shule hiyo kuwa chakavu katika maeneo muhimu kama kwenye mabweni...
10 years ago
Habarileo19 Nov
Kampuni ya gesi yasaidia mifuko 1,500 ya saruji
KAMPUNI ya uchimbaji wa gesi ya Pan African Energy imetoa msaada wa mifuko 1,500 ya saruji yenye thamani ya Sh milioni 18 kwa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa ili kuwezesha ujenzi wa maabara katika shule zake za sekondari.