Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WANAKWAYA WA CENTRAL MIRERANI WAKABIDHI MSAADA WA MIFUKO 34 YA SARUJI KUJENGEA CHOO CHA SHULE YA ENDIAMTU

Na Joseph Lyimo, MireraniShule ya msingi Endiamtu ya Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, yenye upungufu wa matundu 19 ya choo, imepatiwa msaada wa mifuko 34 ya saruji iliyotolewa na kwaya ya Mirerani Central ya Kanisa la Wasabato SDA. Katibu wa Kanisa hilo, Benson Nyaura akizungumza jana wakati akikabidhi mifuko hiyo 34 ya saruji kwa Diwani wa kata ya Endiamtu Lucas Zacharia alisema kanisa ni taasisi inayojali mahitaji ya jamii hivyo wamejitoa ili kusaidia wanafunzi hao.  Nyaura alisema...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mifuko ya saruji kujengea zahanati yaganda kwa uzembe

Mifuko ya saruji 125 iliyonunuliwa kwa fedha za Serikali kwa ajili ya ujenzi wa zahanati ya Kijiji cha Kiboriani, Wilaya ya Mpwapwa imeganda baada ya halmashauri kuukataa ushauri wa viongozi wa kijiji hicho.

 

5 years ago

Michuzi

WANAWAKE CHUO KIKUU MZUMBE WAKABIDHI JENGO LA CHOO CHA WAVULANA SHULE YA MSINGI MZUMBE


Ikiwa zimebaki siku chache kuelekea kilele cha maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo huadhimishwa  Machi 8 kila mwaka, Jumuiya ya Wanawake ya Chuo Kikuu Mzumbe wakiongozwa na Makamu Mkuu wa Chuo wamekabidhi choo cha Wavulana kwa shule ya msingi Mzumbe baada ya kukifanyia ukarabati.
Akizungumza kwa niaba ya Makamu Mkuu wa Chuo wakati wa hafla ya makabidhiano, Naibu Makamu Mkuu wa Chuo Fedha na Utawala Prof. Ernest Kihanga, ameipongeza Jumuiya ya Wanawake wafanyakazi wa Chuo Kikuu...

 

5 years ago

Michuzi

DC CHONJO AKABIDHI MIFUKO 50 YA SARUJI SHULE YA MSINGI MJI MKUU


Na Farida Saidy, Morogoro.

Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo, amekabidhi mifuko 50 ya Saruji (Cement)  kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Mji Mkuu  kwa ajili ya ujenzi na ukarabati  wa madarasa  katika  shule hiyo iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Tukio hilo la kukabidhi  mifuko hiyo ya Saruji 50 kwa ajili ya Ujenzi wa Madarsa,  limefanyika leo Februari 25,2020  katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mkuu.

Dc Chonjo, amekabidhi mifuko hiyo kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Mji...

 

10 years ago

Michuzi

PPF YASAIDIA SHULE YA SEKONDARI IDODI-IRINGA MIFUKO 220 YA SARUJI

Mifuko ya saruji  220 yenye thamani ya Zaidi Tsh milioni 3. Meneja wa kanda ya nyanda za juu kusini wa PPF Bw. Ephrahim Mwaikenda  akimkabidhi msaada wa saruji mifuko 220 yenye thamani ya Zaidi Tsh milioni 3 kwa  Mkuu wa shule ya Sekondari Idodi, Christopher Mwasomola  kwaajili ya kujengea majengo yaliyoungua moto katika shule ya Sekondari Idodi iliyopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa.

 

5 years ago

Michuzi

DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI

Charles James, Michuzi TV

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.

DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.

Akizungumza na wananchi wa kata...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kampuni ya Pan African Energy yatoa msaada wa mifuko 1500 ya Saruji kwa wilaya ya Kilwa

IMG_1708

Meneja wa Uwajibikaji na Huduma za Jamii wa Kampuni ya uchimbaji wa gesi ya Pan African Energy, Andrew Kashangaki (kwanza kushoto) akimkabidhi Kaimu Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Peter Malekela (kulia) msaada wa saruji 1,500 yenye thamani ya shilingi milioni 18 kwa halmashauri ya wilaya ya Kilwa, Lindi ili kuwezesha ujenzi wa maabala 59 katika shule zake za sekondari zipatazo 24. Pembeni wanaoshuhudia ni viongozi wa halmashauri hiyo na wafanyakazi wa Kampuni ya uchimbaji wa gesi ya Pan...

 

10 years ago

Vijimambo

CHIKAWE AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI 900 WILAYA YA NACHINGWEA KUJENGA MAABARA SHULE ZA SEKONDARI

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe (wapili kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Nachingwea, Pololet Mgema msaada wa mifuko 900 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa Maabara za Shule za Sekondari wilayani humo. Tukio hilo la makabidhiano lilifanyika mjini Nachingwea leo Katibu wa Mbunge wa Jimbo la Nachingwea, Michinge Mchopa akionesha sehemu ya msaada wa mifuko ya sarufi 900 iliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, ambaye...

 

5 years ago

Michuzi

Shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha lakabithi mifuko 100 ya saruji shule ya sekondari Felix Mrema


Kushoto Ni meneja wa shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha, Ladislaus Bamanyisa akimkabithi mifuko Mia moja ya saruji Jana mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema ,Reginaldo Msendekwa aliyepo kulia katikati ni Mwenyekiti wa mtaa wa Jamhuri , Hussein Dudu ,ambapo mifuko hiyo ya saruji itasaidia ukarabati wa sakafu iliyochakaa
Mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema Reginaldo Msendekwa akimuonyesha Meneja wa shirika la nyumba , Ladislaus Bamanyisa aliyeko kushoto moja ya vioo vilivyowekwa...

 

10 years ago

Vijimambo

Kampuni ya TTCL yasaidia mifuko ya saruji kituo cha yatima

Kaimu Mkuu wa Biashara TTCL Kanda ya Dar es Salaam, Bw. David Dirisha (wa pili kulia) akiwakabidhi watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, kilichopo eneo la Madale Wazo Hill nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam. Baadhi ya wafanyakazi na maofisa wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) wakiimba na kucheza na watoto wa Kituo cha watoto yatima cha Mama wa Huruma, wapopokuwa wakiwakabidhi msaada wa mifuko 70 ya saruji. Kaimu Mkuu wa Biashara TTCL Kanda ya Dar es Salaam, Bw. David Dirisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani