DC CHONJO AKABIDHI MIFUKO 50 YA SARUJI SHULE YA MSINGI MJI MKUU
Na Farida Saidy, Morogoro.
Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo, amekabidhi mifuko 50 ya Saruji (Cement) kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Mji Mkuu kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa madarasa katika shule hiyo iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Tukio hilo la kukabidhi mifuko hiyo ya Saruji 50 kwa ajili ya Ujenzi wa Madarsa, limefanyika leo Februari 25,2020 katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mkuu.
Dc Chonjo, amekabidhi mifuko hiyo kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Mji...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboCHIKAWE AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI 900 WILAYA YA NACHINGWEA KUJENGA MAABARA SHULE ZA SEKONDARI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JZqvYhLuz-c/XvLrTFpFCVI/AAAAAAALvJQ/j2Rc5xgsg_gxfU9RdT84FGwZRs5xg290wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.48.50%2BPM.jpeg)
DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI
Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.
DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.
Akizungumza na wananchi wa kata...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200513-WA0041.jpg)
ULEGA AKABIDHI MIL.3 NA MIFUKO YA SARUJI 140 KWA AJILI YA MIRADI YA MAENDELEO
![](https://1.bp.blogspot.com/-rXthJ5PT8qM/Xrv6oXFhG0I/AAAAAAALqEo/X_bV8yh3Jmw5X2ykHPWc-YfVLpOfuwr7QCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0041.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-4hlU3um542s/Xrv6oeDjl2I/AAAAAAALqEs/QUjoR8fdYL84Nt3--UpSTJsuhHjDCKoPACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0042.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vz8TUxr_N5k/Xrv6ogL-SSI/AAAAAAALqEw/Xw59A8vb0PYIO3IjqCak7sptYI3bIPWMACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200513-WA0043.jpg)
Zoezi hilo ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi mbalimbali alizozitoa mbunge Ulega kwenye miradi ya maendeleo.
Miradi iliyonufaika ni pamoja na ujenzi wa kituo cha afya Lukanga saruji mifuko 50, ujenzi wa zahanati Yavayava saruji mifuko 50, ujenzi wa kivuko Churwi 30, ujenzi...
10 years ago
Michuzi![](http://lh3.googleusercontent.com/-zBzOA3R0QU4/VY5NzUpoeCI/AAAAAAAB-Wg/xq6bfJdUl7s/s72-c/blogger-image-662351295.jpg)
PPF YASAIDIA SHULE YA SEKONDARI IDODI-IRINGA MIFUKO 220 YA SARUJI
![](http://lh3.googleusercontent.com/-zBzOA3R0QU4/VY5NzUpoeCI/AAAAAAAB-Wg/xq6bfJdUl7s/s640/blogger-image-662351295.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-dtSYquW6Hq8/VY5NsKAX43I/AAAAAAAB-WY/ih79BqLgb3M/s640/blogger-image--1351823774.jpg)
![](http://lh3.googleusercontent.com/-aP7tNc4Emz8/VY5NgXQ2q1I/AAAAAAAB-WQ/bVaW4_FtDmk/s640/blogger-image-210816910.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-uFXyvjPCVPo/VNcV1jR6PRI/AAAAAAAHCbg/eshgsCgQ__o/s72-c/unnamed%2B(3).jpg)
WANAKWAYA WA CENTRAL MIRERANI WAKABIDHI MSAADA WA MIFUKO 34 YA SARUJI KUJENGEA CHOO CHA SHULE YA ENDIAMTU
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x9rDR_0wJsY/Xk5mSuHr1TI/AAAAAAAAIIY/XgYWmEDBWcMc7xUmHW9883qJ-96uQ2vnQCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200218-WA0031.jpg)
Shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha lakabithi mifuko 100 ya saruji shule ya sekondari Felix Mrema
![](https://1.bp.blogspot.com/-x9rDR_0wJsY/Xk5mSuHr1TI/AAAAAAAAIIY/XgYWmEDBWcMc7xUmHW9883qJ-96uQ2vnQCEwYBhgL/s640/IMG-20200218-WA0031.jpg)
Kushoto Ni meneja wa shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha, Ladislaus Bamanyisa akimkabithi mifuko Mia moja ya saruji Jana mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema ,Reginaldo Msendekwa aliyepo kulia katikati ni Mwenyekiti wa mtaa wa Jamhuri , Hussein Dudu ,ambapo mifuko hiyo ya saruji itasaidia ukarabati wa sakafu iliyochakaa
![](https://1.bp.blogspot.com/-4KTfBRI1VAQ/Xk5mSmBZfSI/AAAAAAAAIIU/OFkDgAU5jvwcmsmi_zrSXgLxAJMcZkjkwCEwYBhgL/s640/1582195948450_IMG-20200218-WA0026.jpg)
Mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema Reginaldo Msendekwa akimuonyesha Meneja wa shirika la nyumba , Ladislaus Bamanyisa aliyeko kushoto moja ya vioo vilivyowekwa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s72-c/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
BENKI YA TPB YAKABIDHI MIFUKO 200 YA SARUJI KWA MBUNGE VITI MAALUM CCM KUKAMILISHA UJENZI WA MADARASA YA SHULE MKOANI RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-K3Q8zwIWm_M/XnzAuz-cH6I/AAAAAAALlK4/SDILuIz_qzc9WSMgOgVuuOMt0ZGuMubLACLcBGAsYHQ/s640/16fb722e-fb03-4955-a7db-e69eb9560f2f.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CKhNmnl7XZg/XnzAvRB0cxI/AAAAAAALlLA/FjP43vwrzqIGdg_Hi4ZFverU0LT27DvswCLcBGAsYHQ/s640/68e6f189-975b-4668-939d-2a9e70933b7d.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-DoY0D6OK0J0/XnzAvPurn5I/AAAAAAALlK8/dItvTUx8ev4yxEsdYbHRusxZkf6p7nxcgCLcBGAsYHQ/s640/22756c47-29a9-4b27-9784-a512f764c20a.jpg)
9 years ago
MichuziWanafunzi wa shule msingi International School of Tanganyika (IST) Alyanz Nasser na Shilen Dawda watengeneza mifuko mipya
Mkurugenzi Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Ofisi ya Mazingira, Bwana Julius Ningu (kulia) akiwapongeza Vijana wa Shule ya International School of Tanganyika (IST) mbele ya Waandishi wa Habari leo 23 Desemba, 2015 katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) kwa ubunifu wa kutengeneza mifuko kwa ajili ya utunza mazingira dhidi ya utupaji taka ovyo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko Limited, Bwana Constantine Majavika, anaemfuatia ni Alyanz Nasser na mwenzie Shilen Dauda (wa pili ...
11 years ago
Dewji Blog14 Apr
Miss Ilala 2013 Doris Mollel akabidhi vitabu 50 shule ya msingi Pugu Dar
Miss Ilala 2013, Doris Mollel ijumaa ya wiki iliyopita alitembelea shule ya msingi Pugu jijini Dar es Salaam na kukabidhi vitabu 50 za hadithi kwa wanafunzi wa shule hiyo katika harakati zake binafsi za kuwajengea wanafunzi na watoto utamaduni na tabia ya kujisomea kwenye umri mdogo.
Miss Ilala huyo wa mwaka 2013 alitumia nafasi hiyo kuwahamasisha wanafunzi kujisomea kama ufunguo wa maisha yao ya baadaye.
Miss Ilala 2013, Doris Mollel, akisaini kitabu cha wageni baada ya kutembea shule...