Wanafunzi wa shule msingi International School of Tanganyika (IST) Alyanz Nasser na Shilen Dawda watengeneza mifuko mipya
Mkurugenzi Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Ofisi ya Mazingira, Bwana Julius Ningu (kulia) akiwapongeza Vijana wa Shule ya International School of Tanganyika (IST) mbele ya Waandishi wa Habari leo 23 Desemba, 2015 katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO) kwa ubunifu wa kutengeneza mifuko kwa ajili ya utunza mazingira dhidi ya utupaji taka ovyo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko Limited, Bwana Constantine Majavika, anaemfuatia ni Alyanz Nasser na mwenzie Shilen Dauda (wa pili ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAHAFALI DARASA LA SABA SHULE YA MSINGI YA ST.MARY'S INTERNATIONAL SCHOOL JIJINI MBEYA
Kwa picha zaidi na Jamiimoja blog BOFYA HAPA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6w3BKvQnS5w/VN22jCjmtHI/AAAAAAAHDb4/AWSOHA6nUKw/s72-c/unnamed%2B(22).jpg)
wanafunzi wa Edugates International School iliyoko Jeddah washerehekea International Day
![](http://3.bp.blogspot.com/-6w3BKvQnS5w/VN22jCjmtHI/AAAAAAAHDb4/AWSOHA6nUKw/s1600/unnamed%2B(22).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mMxQgn3HVMM/VN22jv7aDSI/AAAAAAAHDcA/69Wihn1pPvc/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
5 years ago
MichuziDC CHONJO AKABIDHI MIFUKO 50 YA SARUJI SHULE YA MSINGI MJI MKUU
Na Farida Saidy, Morogoro.
Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Mhe. Regina Chonjo, amekabidhi mifuko 50 ya Saruji (Cement) kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Mji Mkuu kwa ajili ya ujenzi na ukarabati wa madarasa katika shule hiyo iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.
Tukio hilo la kukabidhi mifuko hiyo ya Saruji 50 kwa ajili ya Ujenzi wa Madarsa, limefanyika leo Februari 25,2020 katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mji Mkuu.
Dc Chonjo, amekabidhi mifuko hiyo kwa Uongozi wa Shule ya Msingi Mji...
10 years ago
Michuzi22 Nov
10 years ago
MichuziWANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MUHIMBILI 1988 WAIKUMBUKA SHULE YAO.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JZqvYhLuz-c/XvLrTFpFCVI/AAAAAAALvJQ/j2Rc5xgsg_gxfU9RdT84FGwZRs5xg290wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.48.50%2BPM.jpeg)
DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI
Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.
DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.
Akizungumza na wananchi wa kata...
10 years ago
Vijimambo08 Oct
FNB YAKABIDHI MADARASA BAADA YA KUFANYIA UKARABATI NA MADAWATI NA MIKOBA YA SHULE KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MSASANI B
![](https://3.bp.blogspot.com/-8ODlrrxpUIo/VDRJ42tYilI/AAAAAAAAOt4/NIP3B_E-UbQ/s1600/IMG_8488fnb.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-ScVFR97yrXU/VDRKJLbdYFI/AAAAAAAAOuA/s9-IdQPPTQU/s1600/IMG_8950fnb.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Oct
Hotel ya Double Tree By Hilton Tanzania wadhamini siku ya chakula iliyofanyika kwenye viwanja vya International School Tanganyika
Hotel ya Double Tree By Hilton Tanzania Tarehe 18.10.2014 walidhamini Siku ya maonesho ya chakula Iliyofanyika kwenye viwanja vya shule ya International Schools Tanganyika. Akielezea madhumuni ya kuandaa siku hiyo Mkurugenzi wa Mauzo wa Hotel za Double Tree By Hilton Tanzania Bwana Florenso Kirambata alisema kuwa nia yao kubwa ni kuweza kuyapa fursa makampuni mbali mbali na wajasiriamali wadogo wadogo kuweza kuonyesha uwezo wao na bidhaa wanazotengeneza.
Bw. Florenso akaongeza kuwa zaidi...
9 years ago
MichuziWANAFUNZI 94 WAHITIMU ELIMU YA MSINGI SHINNING SCHOOL SONGWE MBEYA