PPF YASAIDIA SHULE YA SEKONDARI IDODI-IRINGA MIFUKO 220 YA SARUJI
![](http://lh3.googleusercontent.com/-zBzOA3R0QU4/VY5NzUpoeCI/AAAAAAAB-Wg/xq6bfJdUl7s/s72-c/blogger-image-662351295.jpg)
Mifuko ya saruji 220 yenye thamani ya Zaidi Tsh milioni 3.
Meneja wa kanda ya nyanda za juu kusini wa PPF Bw. Ephrahim Mwaikenda akimkabidhi msaada wa saruji mifuko 220 yenye thamani ya Zaidi Tsh milioni 3 kwa Mkuu wa shule ya Sekondari Idodi, Christopher Mwasomola kwaajili ya kujengea majengo yaliyoungua moto katika shule ya Sekondari Idodi iliyopo tarafa ya Idodi mkoani Iringa.
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV16 Nov
 Mwanafunzi Shule ya Sekondari Idodi Iringa afariki dunia
Mwanafunzi wa kidato cha nne katika shule ya sekondari Idodi mkoani Iringa amefariki dunia baada ya kupigwa na radi wakati akicheza mpira uwanjani na wanafunzi wenzake.
Radi hiyo pia imejeruhi wanafunzi wengine saba na mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Idodi aliyekuwa anaokota kuni jirani na uwanja huo kabla mvua iliyoambatana na radi haijaanza kunyesha.
Tukio hilo la Ijumaa ni la pili kwa kipindi cha siku mbili ambapo siku moja kabla, mkazi wa kijiji cha Kibena Iringa vijijini akiwa...
10 years ago
Vijimambo10 Feb
MOTO WATEKETEZA BWENI LA WASICHANA SHULE YA SEKONDARI IDODI, IRINGA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JZqvYhLuz-c/XvLrTFpFCVI/AAAAAAALvJQ/j2Rc5xgsg_gxfU9RdT84FGwZRs5xg290wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.48.50%2BPM.jpeg)
DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI
Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.
DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.
Akizungumza na wananchi wa kata...
10 years ago
VijimamboCHIKAWE AKABIDHI MIFUKO YA SARUJI 900 WILAYA YA NACHINGWEA KUJENGA MAABARA SHULE ZA SEKONDARI
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x9rDR_0wJsY/Xk5mSuHr1TI/AAAAAAAAIIY/XgYWmEDBWcMc7xUmHW9883qJ-96uQ2vnQCEwYBhgL/s72-c/IMG-20200218-WA0031.jpg)
Shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha lakabithi mifuko 100 ya saruji shule ya sekondari Felix Mrema
![](https://1.bp.blogspot.com/-x9rDR_0wJsY/Xk5mSuHr1TI/AAAAAAAAIIY/XgYWmEDBWcMc7xUmHW9883qJ-96uQ2vnQCEwYBhgL/s640/IMG-20200218-WA0031.jpg)
Kushoto Ni meneja wa shirika la nyumba la Taifa mkoani Arusha, Ladislaus Bamanyisa akimkabithi mifuko Mia moja ya saruji Jana mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema ,Reginaldo Msendekwa aliyepo kulia katikati ni Mwenyekiti wa mtaa wa Jamhuri , Hussein Dudu ,ambapo mifuko hiyo ya saruji itasaidia ukarabati wa sakafu iliyochakaa
![](https://1.bp.blogspot.com/-4KTfBRI1VAQ/Xk5mSmBZfSI/AAAAAAAAIIU/OFkDgAU5jvwcmsmi_zrSXgLxAJMcZkjkwCEwYBhgL/s640/1582195948450_IMG-20200218-WA0026.jpg)
Mkuu wa shule ya sekondari Felix Mrema Reginaldo Msendekwa akimuonyesha Meneja wa shirika la nyumba , Ladislaus Bamanyisa aliyeko kushoto moja ya vioo vilivyowekwa...
10 years ago
Habarileo19 Nov
Kampuni ya gesi yasaidia mifuko 1,500 ya saruji
KAMPUNI ya uchimbaji wa gesi ya Pan African Energy imetoa msaada wa mifuko 1,500 ya saruji yenye thamani ya Sh milioni 18 kwa Halmashauri ya wilaya ya Kilwa ili kuwezesha ujenzi wa maabara katika shule zake za sekondari.
10 years ago
Vijimambo07 Jul
Kampuni ya TTCL yasaidia mifuko ya saruji kituo cha yatima
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F07%2FTTCL408.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F07%2FIMG_0397.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thehabari.com%2Fwp-content%2Fuploads%2F2015%2F07%2FIMG_04151.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
10 years ago
GPL![](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/TTCL408.jpg)
KAMPUNI YA TTCL YASAIDIA MIFUKO YA SARUJI KITUO CHA YATIMA
10 years ago
Dewji Blog12 Feb
Mkuu wa shule ya sekondari Idodi amkimbia mbunge Chiku Abwao
Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Iringa, Chiku Abwao akikagua jengo la shule sekondari Idodi lililokumbwa na ajali ya moto.
Mbunge CHIKU ABWAO akiwa katika eneo la nje ya jengo lililoungua
Mbunge wa viti maalumu kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) CHIKU ABWAO alisikitiswa na uongozi wa shule ya sekondari ya idodi kushindwa kumpokea kama mbunge na mama aliyeguswa na ajali ya moto katika shule kwa kuwa alikuwa ameshatoa taarifa...