Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWA UZEMBE HUU AJALI ZITAKWISHA KWELI?

DEREVA wa basi la Abood linalofanya safari zake Dar-Moro akijaribu kuyapita magari manne akiwa mwendo kasi katika maeneo ya Kibamba - Darajani jijini Dar leo huku mbele yake likija lori kwa kasi. Ili kuepusha ajali hiyo, ilibidi madereva wa magari yaliyokuwa mbele waingie pembezoni mwa barabara ili kulinusuru basi hilo lisigongane uso kwa uso na lori. Je, kwa hali hii ni kweli ajali zitakwisha nchini? (Picha na Global Whatsapp...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

TFF iwajibike kwa uzembe huu wa U-23

Juzi, gazeti hili liliandika habari ya kusikitisha iliyohusu timu ya Taifa ya Vijana, chini ya umri wa miaka 23 ‘Ngorongoro Heroes’ kuondolewa kwenye mchakato wa kufuzu kushiriki michezo ya Olimpiki mwakani mjini Rio de Janeiro, Brazil.

 

11 years ago

Michuzi

Jaji adai fidia ya milioni 300/= kwa ajali ya uzembe wa dereva

Jaji wa Mahakama Kuu, Grace Mwakipesile amefungua kesi ya madai ya kulipwa fidia ya Sh milioni 300 kutokana na majeraha na maumivu aliyoyapata katika ajali aliyoipata mkoani Shinyanga.
Amefungua kesi hiyo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu dhidi ya dereva Kamota Hassan, Michael Mosha na kampuni ya bima ya Zanzibar. Kesi hiyo itatajwa Agosti 4 mwaka huu mbele ya Hakimu Mkazi Hellen Riwa.
Katika hati ya madai, Jaji Grace anaiomba mahakama iamuru walalamikiwa hao wamlipe fedha hizo kutokana...

 

10 years ago

Michuzi

KAMANDA MPINGA-MADEREVA WALIOSABABISHA AJALI KWA UZEMBE KUFUTIWA LESENI ZAO.

 Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama Barabarani Mohammed Mpinga,akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo. Baadhi ya waandishi wa habari waliohudhuria mkutano  na Kamanda wa Polisi wa kikosi cha usalama  barabarani Mohammed Mpinga  jijini Dar leo.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
KIKOSI cha Usalama Barabarani kimesema wanazifuta leseni zote kwa madereva waliosababisha ajali kwa uzembe zikiwemo ajali za hivi karibuni.
Hayo ameyasema leo...

 

10 years ago

Mwananchi

10 years ago

Mwananchi

Uzembe kama huu Mv Victoria usirudiwe

Jana katika gazeti hili tulichapisha habari iliyokuwa ikielezea watumiaji wanaotegemea meli ya Mv Victoria, Jumatano walipata adha ya usafiri baada ya kusitishwa kwa safari ya kuelekea Mwanza, hatua iliyochukuliwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra) kwamba ilitoroshwa bila kukaguliwa.

 

5 years ago

BBCSwahili

Huu ndio urafiki wa kweli kati ya mbwa na mwanadamu?

Mwana mitindo wa Ukraine Anastasiya Zinchenko, amekataa kuondolewa Wuhan baada ya kuambiwa mbwa wake Misha hangeweza kuokolewa pamoja nae.

 

5 years ago

Michuzi

Jumuika katika mchezo huu ambao ni mfano halisi wa upendo wa kweli

KASINO ya Meridian inakuletea Sloti halisi ambayo ni bomba kuliko –hii ni Immortal Romance! Muonekano wa kuvutia, hadithi ya kimapenzi, rekodi ya sauti nzuri za asili na ndiyo, sloti hii ya mfano halisi wa mapenzi ya kweli ni sloti ya kusisimua kabisa ya mtandaoni!
Kwa ushirikiano na Microgaming Kasino ya Mtandaoni ya Meridian imekuletea hii bora zaidi, Immortal Romance. Mchezo huu kimsingi upo katika mazingira ya hadithi za kisayansi, mapenzi ya bashasha na imani za haiba tofauti za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watendaji 15 mbaroni kwa uzembe

JESHI la Polisi mkoani Geita linawashikilia watendaji wa kata 15 za Wilaya ya Geita kwa tuhuma za kushindwa kuwakamata wazazi na walezi walioshindwa kuwapeleka watoto shule za sekondari. Agizo la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani