Jumuika katika mchezo huu ambao ni mfano halisi wa upendo wa kweli
![](https://1.bp.blogspot.com/--Cw8P2HQOsE/XuRqkpTqQWI/AAAAAAALtqA/g82GeP9XkBYDh4ZF_9l9JxROe4aHD2LaACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.53.13%2BAM.jpeg)
KASINO ya Meridian inakuletea Sloti halisi ambayo ni bomba kuliko –hii ni Immortal Romance! Muonekano wa kuvutia, hadithi ya kimapenzi, rekodi ya sauti nzuri za asili na ndiyo, sloti hii ya mfano halisi wa mapenzi ya kweli ni sloti ya kusisimua kabisa ya mtandaoni!
Kwa ushirikiano na Microgaming Kasino ya Mtandaoni ya Meridian imekuletea hii bora zaidi, Immortal Romance. Mchezo huu kimsingi upo katika mazingira ya hadithi za kisayansi, mapenzi ya bashasha na imani za haiba tofauti za...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/_2K4mum7YfI/default.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
Wawakilishi wawe mfano wa kusema kweli
MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) wa Zanzibar, Ibrahim Mzee, hivi karibuni aliwataka watumishi wa umma kutokutoa maelezo ya uwongo kwa wajumbe wa Kamati za Baraza la Wawakilishi (BLW). Akitoa mada juu...
11 years ago
Habarileo22 Dec
Huu ni mfano mzuri wa kuwajibika
USIKU wa Ijumaa Desemba 20, Watanzania walishuhudia kutenguliwa kwa uteuzi wa mawaziri wanne baada ya Rais Jakaya Kikwete kukubaliana na kilio cha wabunge cha kumtaka awawajibishe mawaziri hao kutokana na makovu mabaya yaliyotokana na Operesheni Tokomeza Ujangili.
9 years ago
Bongo502 Oct
Utafiti: Huu ndio umri ambao binadamu anakuwa na furaha zaidi
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/jGmKO4CQ56c/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Drogba akanusha madai ya kujiunga na Chelsea wakati huu ambao ligi ya Marekani MLS imemalizika!
Drobga
Na Rabi Hume wa Modewjiblog na Mashirika ya Habari.
Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba (37) anayekipiga kwa sasa katika kblabu ya Montreal Impact inayoshriki ligi kuu ya Marekani MLS amekanusha uvumi uliokuwa umeanza kusambaa kuwa mchezaji huyo atajiunga na klabu yake ya Chelsea kwa mkataba wa muda mfupi wakati huu ambao ligi kuu ya Marekani imesimama.
Akizungumza na Kituo cha Habari cha Ufaransa (AFP), Drogba amesema taarifa hizo siyo sahihi kuwa atajiunga kwa muda...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
TBC iache mchezo huu mchafu
KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine. Watu wengi waliipongeza...
9 years ago
Mwananchi16 Sep
UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s72-c/download.jpg)
STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA
![](http://3.bp.blogspot.com/-V0Y5xmeOBFY/VjJbWWDA46I/AAAAAAAIDZI/2kP7IrmE-JE/s1600/download.jpg)