Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jumuika katika mchezo huu ambao ni mfano halisi wa upendo wa kweli

KASINO ya Meridian inakuletea Sloti halisi ambayo ni bomba kuliko –hii ni Immortal Romance! Muonekano wa kuvutia, hadithi ya kimapenzi, rekodi ya sauti nzuri za asili na ndiyo, sloti hii ya mfano halisi wa mapenzi ya kweli ni sloti ya kusisimua kabisa ya mtandaoni!
Kwa ushirikiano na Microgaming Kasino ya Mtandaoni ya Meridian imekuletea hii bora zaidi, Immortal Romance. Mchezo huu kimsingi upo katika mazingira ya hadithi za kisayansi, mapenzi ya bashasha na imani za haiba tofauti za...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Wawakilishi wawe mfano wa kusema kweli

MKURUGENZI wa Mashitaka (DPP) wa Zanzibar, Ibrahim Mzee, hivi karibuni aliwataka watumishi wa umma kutokutoa maelezo ya uwongo kwa wajumbe wa Kamati za Baraza la Wawakilishi (BLW). Akitoa mada juu...

 

11 years ago

Habarileo

Huu ni mfano mzuri wa kuwajibika

USIKU wa Ijumaa Desemba 20, Watanzania walishuhudia kutenguliwa kwa uteuzi wa mawaziri wanne baada ya Rais Jakaya Kikwete kukubaliana na kilio cha wabunge cha kumtaka awawajibishe mawaziri hao kutokana na makovu mabaya yaliyotokana na Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

9 years ago

Bongo5

Utafiti: Huu ndio umri ambao binadamu anakuwa na furaha zaidi

Utafiti mpya umebaini kuwa kilele cha furaha kwa binadamu kipo pale anapokuwa na miaka 20 na! Hata hivyo watafiti hao pamoja na kudai kuwa kipindi kigumu zaidi ni wakati mtu ana miaka 10, kuna matumaini bado. Utafiti wao umebaini kuwa maisha hurejea tena kuwa ya furaha kwenye umri wa miaka 65! Swali ni wangapi watafika […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Drogba akanusha madai ya kujiunga na Chelsea wakati huu ambao ligi ya Marekani MLS imemalizika!

drog_1547796a Drobga

Na Rabi Hume wa Modewjiblog na Mashirika ya Habari.

Mchezaji wa zamani wa Chelsea, Didier Drogba (37) anayekipiga kwa sasa katika kblabu ya Montreal Impact inayoshriki ligi kuu ya Marekani MLS amekanusha uvumi uliokuwa umeanza kusambaa kuwa mchezaji huyo atajiunga na klabu yake ya Chelsea kwa mkataba wa muda mfupi wakati huu ambao ligi kuu ya Marekani imesimama.

Akizungumza na Kituo cha Habari cha Ufaransa (AFP), Drogba amesema taarifa hizo siyo sahihi kuwa atajiunga kwa muda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBC iache mchezo huu mchafu

KWA miaka mingi iliyopita palisikika kilio cha kutaka vyombo vya habari vya serikali vibadilike na kuacha kuwa vya propaganda za serikali, chama tawala au taasisi yoyote nyingine. Watu wengi waliipongeza...

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI LIGI KUU BARA: Je, Simba itarudi kuwa Simba halisi msimu huu?

Ukiwa shabiki wa Simba, hakuna kitu kilichoumiza kama kumuona nahodha wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’ akikabidhiwa taji la 24 la ubingwa wa Ligi Kuu Bara msimu uliopita. Uwe mbele ya televisheni ya Azam TV, au kama ulikuwa uwanjani, ilikuwa picha inayoumiza sana.

 

9 years ago

Michuzi

STARS KUCHEZA MCHEZO WA MARUDIANO NOVEMBA 17 MWAKA HUU ALGERIA

TIMU ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager, inatarajiwa kusafiri na ndege ya binafsi ya kukodi ya shirika la Fastjet kuelekea nchini Algeria kwa ajili ya mchezo wa marudiano utakaochezwa Novemba 17 mjini Algiers.Meneja Mkuu wa Shirika la Ndege la Fasjet kwa ukanda wa Afrika Mashariki, Jimmy Kibati amesema kampuni yao imefikia makubaliano na TFF ya kuwa msafirishaji rasmi wa timu ya Taifa kwa ajili ya mchezo huo wa kuwania kufuzu kwa fainali za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani