Huu ni mfano mzuri wa kuwajibika
USIKU wa Ijumaa Desemba 20, Watanzania walishuhudia kutenguliwa kwa uteuzi wa mawaziri wanne baada ya Rais Jakaya Kikwete kukubaliana na kilio cha wabunge cha kumtaka awawajibishe mawaziri hao kutokana na makovu mabaya yaliyotokana na Operesheni Tokomeza Ujangili.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi23 Jan
Forodhani: Mfano mzuri wa utalii wa chakula
10 years ago
GPLNJEMBA INAPOONYESHA MFANO MZURI WA ‘POMBE SI CHAI’!
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/--Cw8P2HQOsE/XuRqkpTqQWI/AAAAAAALtqA/g82GeP9XkBYDh4ZF_9l9JxROe4aHD2LaACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.53.13%2BAM.jpeg)
Jumuika katika mchezo huu ambao ni mfano halisi wa upendo wa kweli
![](https://1.bp.blogspot.com/--Cw8P2HQOsE/XuRqkpTqQWI/AAAAAAALtqA/g82GeP9XkBYDh4ZF_9l9JxROe4aHD2LaACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-13%2Bat%2B8.53.13%2BAM.jpeg)
Kwa ushirikiano na Microgaming Kasino ya Mtandaoni ya Meridian imekuletea hii bora zaidi, Immortal Romance. Mchezo huu kimsingi upo katika mazingira ya hadithi za kisayansi, mapenzi ya bashasha na imani za haiba tofauti za...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Sherehe zitufunze kuwajibika
KWA vifijo, nderemo na mbwewe za aina yake ambazo hazijawahi kuonekana Visiwani, hivi karibuni watu wa Zanzibar waliadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi yaliyofanyika Januari 12, 1964. Waliotayarisha wanafaa kupongezwa kwa...
11 years ago
Mwananchi03 Feb
Dk Nchimbi aeleza sababu za kuwajibika
10 years ago
Tanzania Daima19 Nov
Viongozi wajenge utamaduni wa kuwajibika
TANZANIA imepitia mapito mbalimbali tangu ilipopata uhuru wake kutoka kwa wakoloni mwaka 1961. Hadi sasa nchi yetu imepitia awamu nne za uongozi, ya kwanza ikiwa ya Baba wa Taifa, Mwalimu...
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Ghasia: Nipo tayari kuwajibika
![Hawa Ghasia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Hawa-Ghasia.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM,
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, amesema kwamba yuko tayari kuwajibika iwapo atabainika amevuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi nchini.
Waziri Ghasia aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, kuhusu taarifa ya awali ya upigaji kura katika Serikali za Mitaa.
“Nitakuwa...
9 years ago
Habarileo13 Nov
Watumishi Wizara ya Habari wakumbushwa kuwajibika
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Profesa Elisante Ole Gabriel amewakumbusha watumishi wa wizara hiyo na taasisi zake wajibu wao wa kufanya kazi kwa kuzingatia maadili na tija na kamwe wasitumie maeneo hayo kama vichaka vya kujificha.