Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


NJEMBA INAPOONYESHA MFANO MZURI WA ‘POMBE SI CHAI’!

Njemba ikiwa kando ya barabara ikiwa chakari kutokana na kinywaji kilichosadikiwa kilikuwa katika chupa inayoonekana kando. NJEMBA moja imenaswa na kamera yetu ikiwa ‘tilalila’ mchana huu kutokana na ‘kubugia’ kilevi na kujikuta, bila kujitambua, imelala pembezoni mwa barabara maeneo ya Sinza-Afrika Sana Jijini Dar, jambo ambalo ni hatari. (PICHA NA DENIS MTIMA /GPL) ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Huu ni mfano mzuri wa kuwajibika

USIKU wa Ijumaa Desemba 20, Watanzania walishuhudia kutenguliwa kwa uteuzi wa mawaziri wanne baada ya Rais Jakaya Kikwete kukubaliana na kilio cha wabunge cha kumtaka awawajibishe mawaziri hao kutokana na makovu mabaya yaliyotokana na Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

11 years ago

Mwananchi

Forodhani: Mfano mzuri wa utalii wa chakula

Moja ya maeneo yenye vivutio vikubwa kwa utalii mjini Zanzibar ni Forodhani, mbele ya jumba la makumbusho la Betel-al-jaib- Nyumba ya Maajabu.

 

5 years ago

CCM Blog

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI

Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE HONGOLI AWATOA HOFU WAKULIMA WA CHAI LUPEMBE KUHUSU MALIPO YAO YA CHAI


Mbunge wa Jimbo la Lupembe, Joramu Hongoli akihutubia mkutano wa hadhara katika Kata ya Lupembe, mkoani Njombe, ambapo pamoja na mambo mengine alisisitiza kuimarisha umoja na mshikamano kati ya wananchi na viongozi mbalimbali ili kurahisisisha kutatua kero na kuleta maendeleo katika Kata hiyo. Pia alizungumzia suluhisho la malipo ya wakulima wa chai wanaovidai viwanda . Aliwatoa hofu kwamba wasiwe na wasiwasi serikali iko pamoja nao na kwamba fedha zao watalipwa hivi punde. Kutoka kulia ni ...

 

10 years ago

Raia Mwema

10 years ago

GPL

NJEMBA ASHIKISHWA ADABU!

Gabriel Ng’osha Shika adabu yako! Njemba mmoja ambaye jina halikufahamika ameshikishwa adabu na wananchi wenye hasira kali baada ya kutembezewa kichapo ‘hevi’ alipokwapua simu ya abiria mwenzake. Kijana huyo aliyedaiwa kuwa kibaka akiwa chini ya ulinzi. Ishu hiyo ilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Mtaa wa Kongo-Kariakoo jijini Dar ndani ya basi la UDA ambapo kijana huyo alidaiwa kukwapua simu hiyo.… ...

 

11 years ago

GPL

NJEMBA ANASWA AKICHAFUA MAZINGIRA

Njemba huyu amenaswa na kamera yetu akichafua mazingira maeneo ya Tazara jijini Dar es Salaam. (Picha: Gabriel Ng’osha / GPL)

 

9 years ago

GPL

NJEMBA WAZICHAPA KAVUKAVU STENDI

Mashaka kisusi NJEMBA wawili ambao ilisemekana ni wapiga debe, wamejikuta wakizichapa kavukavu wakigombea mzigo wa abiria. Tukio hilo lililojaza watu ambao walikuwa wakishangilia wakati njemba hao ambao majina yao hayakuweza kupatikana mara moja wakizichapa, lilitokea hivi karibuni majira ya saa 6 mchana ndani ya kituo cha Mabasi cha Nyegezi, jijini Mwanza.  ...Soma zaidi===>http://goo.gl/p3Wzfx ...

 

11 years ago

GPL

ANTI LULU ANASWA NA NJEMBA

MWANADADA asiyeishiwa na matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ juzikati alinaswa ‘live’ akiwa kimalovee na mcheza soka wa zamani aitwaye Amani Simba. Wawili hao walibambwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay jijini Dar wakipunga upepo na walipowaona mapaparazi wa gazeti hili walishituka na kutaka kujificha. Akizungumzia uhusiano wake na Amani, Anti Lulu alisema: ”Jamani acheni udaku wenu, siku...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani