NJEMBA ANASWA AKICHAFUA MAZINGIRA
Njemba huyu amenaswa na kamera yetu akichafua mazingira maeneo ya Tazara jijini Dar es Salaam. (Picha: Gabriel Ng’osha / GPL)
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wxWEJX1q6dbMjjoDsYkiiLTcat9YnVvB6J-3hNknQCW*pVIYl4lhO8MHuZ60lBudtqD7OgbvefvzPfSQZ2DATRidHdeGK15a/AUNTLULU.jpg?width=650)
ANTI LULU ANASWA NA NJEMBA
MWANADADA asiyeishiwa na matukio Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ juzikati alinaswa ‘live’ akiwa kimalovee na mcheza soka wa zamani aitwaye Amani Simba. Wawili hao walibambwa kwenye ufukwe wa Coco, Oysterbay jijini Dar wakipunga upepo na walipowaona mapaparazi wa gazeti hili walishituka na kutaka kujificha. Akizungumzia uhusiano wake na Amani, Anti Lulu alisema: â€Jamani acheni udaku wenu, siku...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09UucIyvyvl7wLjB-REgOAZWlv7QaNlnryUxVqD2mPPU7n0wNi7AQ876Fjo9UW*T0e1Cho61VJqSHaG63Li3H-KO/2.jpg)
NJEMBA ANASWA WIZI WA FEDHA ZA MTANDAONI
Stori: MASHAKA KISUSI,MWANZA/Risasi
JAMAA aliyetambulika kwa jina moja la Jacob, mkazi wa Majengo wilayani Misungwi, Mkoani Mwanza, amejikuta yuko mikononi mwa polisi wakati akifanya jaribio la wizi wa fedha sh. 70, 000 kupitia huduma za fedha za mtandao wa simu. Kijana Jacob anayedaiwa kuiba kwa kutumia…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y4MVF3b94yKJXJ-TCDqkx44KPKjjTffer3doYeAaZljIQjdgHgrJ0p8FW*mYmRWT1z4IqLKKerecNJ8dyH3DszuENHHaWLXI/denti.jpg)
NJEMBA ANASWA NA DENTI WA KIUME GESTI
Stori: Richard Bukos na Issa Mnally
ISHARA za mwisho wa dunia? Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Zeb amekula kichapo na kuishia mikononi mwa polisi baada ya kunaswa katika nyumba ya kulala wageni (gesti) akiwa na dogo wa kiume aliyedaiwa kuwa ni denti wa sekondari. Njemba aliyetajwa kwa jina moja la Zeb akiwa amepigw pingu baada ya kunaswa akiwa na mwanafunzi wa kiume gesti. Aibu hiyo ya karne ilijiri juzi Jumatatu kwenye...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7pr9h1WlFsCr9nHV-9Q9Umtqw4RCsvd2XAGsihOvwK-8UTmadHPVDeny6mxik-gbhCKQ*lcS5EfcT8gyKkzIQ6c/anaswa.jpg)
ANASWA! NJEMBA ADAIWA KURUBUNI WAKE ZA WATU KINGONO
Dustan Shekidele, Morogoro Mji wa Morogoro umekumbwa na matukio mfululizo ya mafumanizi ambapo baada ya ticha wa shule ya msingi kufumaniwa na dereva wa bodaboda kisha jamaa kubondwa kwa kukutwa akifanya ngono na mke wa mtu vichakani na denti wa upadri kufumaniwa, mwanzoni mwa wiki hii fumanizi lingine kiboko la njemba mwenye asili ya Kiarabu limetokea. Wakinamama (kushoto) wakimficha mwenzao (mke wa mtu) aliyenaswa kwenye...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s72-c/mazingira+-7.jpg)
MAADHIMISHO YA WIKI YA MAZINGIRA YATOA MSISITIZO WA USIMAMIZI WA SHERIA ZA UHIFADHI WA MAZINGIRA
![](http://2.bp.blogspot.com/-l4urS6eddfw/U5DYZg317hI/AAAAAAAFn8c/crLGulvrkZE/s1600/mazingira+-7.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-ldUbXye-oxQ/U5DX_2YuZhI/AAAAAAAFn7s/N7ic53UXQ10/s1600/Mazingira+-+2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YUGzmP-Rs7o/U5DYF_vOQvI/AAAAAAAFn70/kg1SCRf0e68/s1600/Mazingira+-+3.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/ouOQcQcfbx8/default.jpg)
10 years ago
MichuziMKUU WA WILAYA YA ILALA,RAYMOND MUSHI AWAAGIZA WATAALAMU WA MAZINGIRA KUTOA ELIMU UTUNZAJI WA MAZINGIRA KWA WANANCHI
Na Avila kakingo,Globu ya Jamii.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amewaagiza watendaji na wataalamu na wenye elimu ya utunzaji wa Mazingira kutoa elimu kuhusu utunzanzaji wa mazingira na athari za mabadiliko ya tabia ya nchi kwa wananchi wote.
Akizungumza leo na Waandishi wa habari ofisini kwake jijini Dar es Salaam leo,Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema kuwa katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Said Meck Sadiki ndiye Mgeni rasmi katika maadhimisho ya Wiki ya...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KOwdycLvXTywF4ka0f1kAhAY1Sd3IAP1dw*EbO*x7KQmGwuQ9qy9r-n1eDZr84RuzO3M1v6HuR52qsFvwh7nRazDaa60LRT/njembacopy.jpg?width=650)
NJEMBA ASHIKISHWA ADABU!
Gabriel Ng’osha Shika adabu yako! Njemba mmoja ambaye jina halikufahamika ameshikishwa adabu na wananchi wenye hasira kali baada ya kutembezewa kichapo ‘hevi’ alipokwapua simu ya abiria mwenzake. Kijana huyo aliyedaiwa kuwa kibaka akiwa chini ya ulinzi. Ishu hiyo ilijiri wikiendi iliyopita maeneo ya Mtaa wa Kongo-Kariakoo jijini Dar ndani ya basi la UDA ambapo kijana huyo alidaiwa kukwapua simu hiyo.… ...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dM6a4AYRwJOfgo9-vz1JQjNZwU5OoIrkGFIMgywZ3pBwDKK9ju5qjHtqwB3DzCTRIBfUJ7o5ftvYnakSvM4gYB0J0A2SVQjI/BACKJUMAMOSIi.jpg)
MAMA AWAPA KIPONDO NJEMBA 5!
Stori: DUSTAN SHEKIDELE , Morogoro
ZAMANI kulikuwa na kasumba kwamba wanaume ndiyo huwapiga wanawake lakini hivi karibuni kibao kimegeuka ambapo mama mjasiriamali, aliyetajwa kwa jina moja la Mama Ashura ambaye ni mfanyabiashara wa viazi mviringo, anadaiwa kuwapa kipondo njemba watano kisa deni. Mama Ashura akianzisha varangati hilo. Kwa mujibu wa mashuhuda wetu, timbwili hilo ‘hevi’ lilijiri kwenye banda la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania