Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Forodhani: Mfano mzuri wa utalii wa chakula

Moja ya maeneo yenye vivutio vikubwa kwa utalii mjini Zanzibar ni Forodhani, mbele ya jumba la makumbusho la Betel-al-jaib- Nyumba ya Maajabu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Huu ni mfano mzuri wa kuwajibika

USIKU wa Ijumaa Desemba 20, Watanzania walishuhudia kutenguliwa kwa uteuzi wa mawaziri wanne baada ya Rais Jakaya Kikwete kukubaliana na kilio cha wabunge cha kumtaka awawajibishe mawaziri hao kutokana na makovu mabaya yaliyotokana na Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

10 years ago

GPL

NJEMBA INAPOONYESHA MFANO MZURI WA ‘POMBE SI CHAI’!

Njemba ikiwa kando ya barabara ikiwa chakari kutokana na kinywaji kilichosadikiwa kilikuwa katika chupa inayoonekana kando. NJEMBA moja imenaswa na kamera yetu ikiwa ‘tilalila’ mchana huu kutokana na ‘kubugia’ kilevi na kujikuta, bila kujitambua, imelala pembezoni mwa barabara maeneo ya Sinza-Afrika Sana Jijini Dar, jambo ambalo ni hatari. (PICHA NA DENIS MTIMA /GPL) ...

 

10 years ago

Mwananchi

Morogoro mnachelewa nini kuanza utalii wa chakula?

Wiki iliyopita nilikuwa na safari ya Iringa. Nikiwa njiani na kufika eneo la Lugono (almaarufu kama kituo cha kujisaidia) hadi maeneo ya Melela nimeshuhudia juhudi za vijana wa maeneo hayo na pia wageni hususani Masai, walivyoweza kubadilisha eneo hilo kuwa ni kituo cha chakula hasa nyama za kuchoma, mishikaki na vinywaji.

 

11 years ago

Mwananchi

Utalii wa chakula unaweza kuchangia maendeleo ya uchumi

Tatizo la Watanzania wengi ni kuwa wana uelewa mdogo kuhusu dhana ya utalii. Wengi wanafikiri utalii ni kwenda mbuga za wanyama na kutembelea magofu tu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Zuhura Yunus akukaribisha Forodhani

Wakati wa sherehe za miaka 50 ya mapinduzi Zanizbar kuna eneo maarufu ambalo wengi hawathibutu kukosa kufika. Ikiwa hujafika huko,basi unakosa mengi Zuhura Yunus anakukaribisha Forodhani

 

10 years ago

Mwananchi

FORODHANI : Fukwe ya mapochopocho visiwani Zanzibar

Kwa wale wanaopenda kula vyakula vya baharini au vile vyenye mahadhi ya Kizanzibari, Forodhani ndiyo mahali pake, ni sehemu tulivu iliyo kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi, lakini iliyotengenezwa kwa mandhali ya bustani kwa watu kustarehe na kupata vyakula.

 

10 years ago

Dewji Blog

Welcome 20th July at floating restaurant forodhani Zanzibar

IMG_1020Ticket za Karibu Fashion Festival zinapatikana sehemu zifuatavyo Waiz Fashion Shagahani Stree, Adam Fashion Vuga Street na Tatu Restaurant..

Kwa mawasiliano zaidi unaweza kutupigia kupitia 0764 228 855

Karibu sana.

IMG_0972Baadhi ya mavazi ya Waiz Fashion  yanayopatikana Shagahani Stree Zanzibar,

IMG_1021

 

10 years ago

Michuzi

wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI

 Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akimpa zawadi ya kinyago Naibu Meya wa jiji la Seattle nchini Marekani Bi. Kim mara baada ya kumaliza mazungumzo yao. Waziri Kivuli wa Maliasili na Utalii na Mbunge wa Iringa Mjini Mhe. Peter Msigwa akiongea katika ziara ya kutangaza vivutio vya utalii nchini katika jiji la Seattle nchini Marekani. Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dk. Adelhelm Meru (kulia) akipokea kitabu maalum...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMPUNI YA UTALII YATAKIWA KUTANGAZA UTALII NDANI NA NJE YA NCHI

IMG-20140704-WA0013Waziri wa Maliasili na utalii Mh. Lazaro Nyarandu akifungua rasmi mkutano wa 30 wa asasi ya wamiliki wa makampuni ya kusafirisha watalii TATO jijini Arusha hivi karibuni. IMG-20140704-WA0009Wadau mbalimbali wa utalii wakisikiliza mada kwa umakiniIMG-20140704-WA0004MAKAMPUNI ya kitalii hapa nchii yametakiwa kuutangaza kwa kiasi kikubwa utalii wa vivutio vyetu hapa nchini  ndani ya nchi pamoja na nje ya nchi ili kuwapa wanachi moyo wa kizalendo katika kujali vivutio walivyo navyo. Hayo yalisemwa juzi jijini Arusha na waziri...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani