Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


AJABU NA NI KWELI WAGHANA WAKIVUA SAMAKI NI KAMA MCHEZO VILE

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Watoto familia moja wafia majini wakivua samaki

WA T O T O wawili wa f a m i l i a moja wilayani hapa, wamekufa maji baada ya mtumbwi waliokuwa wakitumia kuvulia samaki, kugonga mwamba na kuzama katika Ziwa Victoria.

 

11 years ago

GPL

PENNY: DIAMOND KAMA CHIZICHIZI VILE!

Stori: Imelda Mtema na Erick Evarist
MTANGAZAJI wa Runinga ya Channel Ten, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amefunguka kuwa sifa ya aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ni kama chizichizi lakini kwa undani zaidi ni mtu makini. Penniel Mungilwa ‘Penny’ akiwa na aliyekuwa mpenzi wake, Nasibu Abdul ‘Diamond’. Penny alifunguka hayo mbele ya kinasa sauti cha Ijumaa Wikienda hivi...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbowe: Tabora ni kama vile wamepewa limbwata na CCM

>Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amesema wananchi wa Mkoa wa Tabora ni kama wamepewa limbwata na CCM na kuendelea kutoa majimbo yote 10 kwa chama hicho licha ya mkoa huo kuwa miongoni mwa mikoa maskini nchini.

 

11 years ago

Mwananchi

Lini tutaona kaulimbiu ya maana kama vile ULEVI KWANZA?

Ndiyo. Tumezoea sana kuimba Kilimo Kwanza, Elimu Kwanza, matokeo ya ajabu kwanza, bila kutambua ni akina nani wanaosukuma gurudumu la maendeleo, bila hata kudai kutambuliwa.

 

11 years ago

Michuzi

ujerumani leo yaigaragaza Ureno ya Cristian Ronaldo 4-0 kama wamesimama vile.....

 Na Sultani Kipingo Ushindi kwa Ujerumani ulitegemewa, ukizingatia Ureno  ni kama kwamba timu ya mtu mmoja – Ronaldo. Lakini ukweli ni kwamba isingekuwa hivyo baada ya Pepe kuoneshwa kadi nyekundu katika kipindi cha kwanza. Ila mechi hii haikuwa ni juu ya Pepe, na wala haikuwa ya Miroslav Klose, na hata haikuwa juu ya Cristiano Ronaldo. Mechi yote hii ilikuwa juu ya Thomas Muller.  Mshambuliaji huyu wa Ujerumani tayari ameshaanza mbio kuelekea kwenye mstari wa mwisho wa mfungaji bora wa...

 

11 years ago

Michuzi

ajabu na kweli: baba na binti waendesha ndege ya abiria ya Kenya Airways pamoja

Captain Mwangi na binti yake wakiendesha ndege ya Kenya Airways pamoja

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani