Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Huu ndio urafiki wa kweli kati ya mbwa na mwanadamu?

Mwana mitindo wa Ukraine Anastasiya Zinchenko, amekataa kuondolewa Wuhan baada ya kuambiwa mbwa wake Misha hangeweza kuokolewa pamoja nae.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

URAFIKI WA KWELI

 Kuku na vifaranga vyake wakisaidiana kufanya kazi ya kula wadudu waliokuwepo kwa Mbwa huyu kama kamera yetu ilivyofanikiwa kuinasa taswira hii.

 

10 years ago

Vijimambo

Utajua Marafiki wa kweli na Mburulazzz, Lulu Michael Ndio Rafiki wa Kweli

The King Of All Bongo Social Media Network, Le Mutuz ukipenda muite Mzee wa mabebezz amemshukuru mrembo na mwigizaji lulu kwa kuonyesha kumjali wakati wa matizao na kuwashukia baadhi ya marafiki zake ambao huwa wao pamoja nae wakati wa raha tu, ila wakataki washida wote hupoatea. Le mutuz alifunguka“Kwenye shida ndio utajua marafiki wa kweli na le super gademu mburulazzz ..nilipotangaza my House warming Party yanapiga simu kila dakika kuomba mualiko lakini nimesema Mama yangu anaumwa hamna...

 

9 years ago

Mwananchi

Tuico yaingilia kati mgomo wa Urafiki

Chama cha Wafanyakazi wa Viwanda na Biashara (Tuico) Mkoa wa Dar es Salaam, kimewataka wafanyakazi wa Kiwanda cha Nguo cha Urafiki kusitisha mgomo na kuendelea na kazi wakati madai yao ya nyongeza ya mishahara na posho yakiendelea kushughulikiwa na mwajiri wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Hivi kuna urafiki kati ya mwanaume na mwanamke?

Kati ya vitu vinavyowachanganya watu wengi ni swali kwamba: Je, mwanaume na mwanamke wanaweza kubaki kuwa marafiki na wasijiingize katika uhusiano wa kimapenzi?

 

10 years ago

Bongo Movies

Wolper: Mama Ndio Rafiki wa Kweli!

Mrembo na Staa wa Bongo Movie, Jacqueline Wolper amebandika andiko hili kwenye ukurasa wake wa mtandaoni.

“Mama rafiki wakweli, ukitendwa na mwanaume/mwanamke kimbilio kwa mama  tuwapende nakuwalinda  napia kwa wenzetu ambao mama zao wameshatangulia mbele za haki tuwaombee, mama yoyote ni mama tuwapende”.

Ujumbe mzuri sana huu,tuwapende wakinamama wote.

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, ni kweli uhusiano kati ya Diamond Platnumz na Tansha umefika kikomo?

Mashabiki wa muziki wa bongo Flava hasa wale wa mwanamziki Diamond Platinumz wanauliza iwapo uhusiano wa Diamond na mwanamuziki kutoka Kenya Tanasha Donna umekwisha.

 

10 years ago

GPL

KWA UZEMBE HUU AJALI ZITAKWISHA KWELI?

DEREVA wa basi la Abood linalofanya safari zake Dar-Moro akijaribu kuyapita magari manne akiwa mwendo kasi katika maeneo ya Kibamba - Darajani jijini Dar leo huku mbele yake likija lori kwa kasi. Ili kuepusha ajali hiyo, ilibidi madereva wa magari yaliyokuwa mbele waingie pembezoni mwa barabara ili kulinusuru basi hilo lisigongane uso kwa uso na lori. Je, kwa hali hii ni kweli ajali zitakwisha nchini? (Picha na Global Whatsapp...

 

10 years ago

Mwananchi

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani